Ajira haziwezi kuwa wazi na Kama itatokea hivyo jua hata mshahara utakuwa mnono zaidi na heshima itakuwepo kwa watumishi maana ajira itakuwa inamtaka mtu zaidi maana wapi wachache.. we angalia hata sahivi tu zikitangazwa ajira watu wanaohitajika ni wachache tu ila grupu linaloenda Sasa!.. halafu Mimi sio wakwanza kusema hivi mbona hata serikali yenu inawaambia mjiajili!!.MKUU kweli watumishi wote wakifuata ushauri wako ,je tutakua na ofis za umma zilizo imala kweli,
Nafikili waboreshewe vipato vyao na wapewe chao mapema itasaidia,
Acha wehu! Mshahara unalipwa kwa mwezi! Sasa uliona wapi mwezi unaisha June 24? Usiwe na tabia za wafunga khanga kwa meno.Tulia wewe
hujui kitu bro tuliza mshono,watu wanapewa haki zao mwezi huu walizozikosa kwa miaka sita ya bwana hamnazo!!Hiyo ya kubadilisha muundo wa madaraja inahusiana vipi na kuchelewesha mishahara?
Leo mnapewa kisingizio cha "tunabadilisha miundo ya madaraja" kitu ambacho kingeweza kufanyika bila kuchelewesha mshahara. Lakini ni dalili za uzembe na kuturudisha misri.
Kwa kutokuongeza mishahara na kupandisha watu madaraja. Pia kutokuajiri watumishi."Mtanikumbuka"
MKUU nilichokuuliza na unachojibu tofauti sijakuelewaAjira haziwezi kuwa wazi na Kama itatokea hivyo jua hata mshahara utakuwa mnono zaidi na heshima itakuwepo kwa watumishi maana ajira itakuwa inamtaka mtu zaidi maana wapi wachache.. we angalia hata sahivi tu zikitangazwa ajira watu wanaohitajika ni wachache tu ila grupu linaloenda Sasa!.. halafu Mimi sio wakwanza kusema hivi mbona hata serikali yenu inawaambia mjiajili!!.
Unawashwa?Acha wehu! Mshahara unalipwa kwa mwezi! Sasa uliona wapi mwezi unaisha June 24? Usiwe na tabia za wafunga khanga kwa meno.
ndugu zangu mtanikumbukaLeo tarehe 24 mishahara bado haijalipwa. Ieleweke kwamba vitu kama hivi ndivyo vitakavyopima uwezo wa Rais Samia kama anastahili awamu ya pili au la.
Nachelea kusema kwamba kwa mwezi kama huu (mwisho wa mwaka wa fedha) kufika tarehe 24 mishahara haijalipwa si dalili njema huko tuendako.
Huyu magufuli wenu hatutaki hata kumsikia.Kati ya vitu JPM alifanikiwa sana ni kuweka predictability na consistency katika utawala wake, na kwake suala la mishahara ya wafanyakazi hakucheza nalo. Sikutegemea kabisa kama hili la mshahara lingeanza kuchezewa mapema hivi.
Wala sio kigezo sahihi hiki. Umesahau kuwa huu ni mwezi wa mwisho wa mwaka wa fedha? Kuna stocktaking hapa na pale na hivyo lazima malipo yachelewe!!Leo tarehe 24 mishahara bado haijalipwa. Ieleweke kwamba vitu kama hivi ndivyo vitakavyopima uwezo wa Rais Samia kama anastahili awamu ya pili au la.
Nachelea kusema kwamba kwa mwezi kama huu (mwisho wa mwaka wa fedha) kufika tarehe 24 mishahara haijalipwa si dalili njema huko tuendako.
Kwa utekaji na uuaji!."Mtanikumbuka"
Sawa mkuuHii comment yako ni kutetea ujinga tu.
Umekaririshwa hiyo tarehe?Mleta mada hajielewi tarehe 24!? Unaanza kelele. Mwisho wa mwezi NI tarehe 30.
Hamna kitu kama hicho, labda kama ndio watu wasiojulikana.Mkuu nimeajiriwa,nimejiajiri na nimeajiri
Mkuu Watu wasiojulikana ?,Mimi mwalimu Tena nafundisha huku mpigamiti -liwaleHamna kitu kama hicho, labda kama ndio watu wasiojulikana.
Hamna kitu kama hicho, labda kama ndio watu wasiojulikana.Mkuu nimeajiriwa,nimejiajiri na nimeajiri
Hamna mwalimu aliyekuwa anamsifia dhalimu boss.Mkuu Watu wasiojulikana ?,Mimi mwalimu Tena nafundisha huku mpigamiti -liwale
Acha kaziTafuta uhuru wa kiuchumi mkuu acha kulalamikia boss yako kila siku.