Tetesi: Mishahara mipya kwa watumishi wa umma

Status
Not open for further replies.
a
amaizing
 
Ukienda kwenye muundo wa ajira serikali kuu na ukaangalia TGS zinavyopangwa utajua naongea nn!waliosoma shahada za Miaka mitatu huanzia TGS D, Minne TGS E, mitano TGS F
Uko sahihi ila hatujaelewana padogo sana, usijali.
 
COMFIRMED.
Kwa docs nilizoziona ni kwamba hakuna badiliko lolote la mshahara.
Ndugu tujizue kuwa tunatoa taarifa za kuzusha.
Haina maana kudanganya kwenye mada serious kama hizi.
 
COMFIRMED.
Kwa docs nilizoziona ni kwamba hakuna badiliko lolote la mshahara.
Ndugu tujizue kuwa tunatoa taarifa za kuzusha.
Haina maana kudanganya kwenye mada serious kama hizi.

kweli aisee
nawewe uwe mkweli pia. du!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…