Mishahara Mwezi Huu Kwa Watumishi Kuna Nini

Ulipata advance hiyo kwasababu bank hudika wakati wanakupatia hwakuwa na taarifa kuwa mshahara wako unaenda kuahmia bank nyingine. Hilo litabaki kuwa kama deni endapo mshahara wa mwezi huu wasipochukua cha kwao na utaendelea kupata meseji kutoka kwao za kukumbusha na riba itaendelea kupanda taratibu
 
Tenda wema uende zako wewe malipi ni hapahapa huwenda hiyo 15 uliyotoa ndio ilikua rufaa kwa mola usiuache ugali who knows?
 
Bado sijashawishika kabisa kuwa Mungu anapenda sana sifa, nini kinathibbitisha hilo pasipo shaka
Ni kanuni hizo zinaendesha ulimwengu wa kiroho na zipo tatu tu, kusifu, kuabudu na kushukuru sasa utoaji wako ukifikia kiwango cha Mungu kushukuriwa na baraka zako zipo hapo na hizo zingine hivyo hivyo.
 
Pole sana huyo atakuwa siyo mtumishi wa Mungu ila mtumishi wa zaka, kikubwa mtumishi wa Mungu anatakiwa awe amejitoa kwaajili yako kwa mambo magumu ya kiroho usiyoweza kufanya wewe Kama kuomba Sababu ya wewe kukosa majibu yako kwa Mungu màana mtumishi wa Mungu ni muwakilishi wa Mungu na level zake za kuwa karibu na Mungu zinatakiwa ziwe juu na kujitoa kwaajili yako na matendo yake yanaonekana japo wengi wanajificha lakini kama huyo wako anaonyesha kabisa anajitafutia kipato tu cha kutimiza mahitaji yake. Na zaka walipewa zamani ambapo watumishi tangu utoto wao waliishi hekaluni wakiwa hawajishughulishi na chochote zaidi ya kumtafuta Mungu na kutoa majibu ya nchi inavyotakiwa kwenda na Watu pia kupata majibu yao pale wanapoona Mungu yupo mbali nao, ila Sasa wengi tunaishi nao maisha tunayoishi sisi, zamani hata kuoa au kuolewa kwa watumishi wa hekaluni haikuwepo muda wao wote ulitumika kwa Mungu.
 
Nataka nione watumishi wa umma wakijikita kwenye ujasiria mali!sitaki kuona vilio vya kusubiria mishahara mnaiaibisha serekali!!
Mshika 2 moja humponyoka biashara hizi za Sole proprietorship zinahitaji close supervision kutoka kwa muhisika halafu ofisi nyingi utumishi kupata muda ni kazi sana.imagine ofini kwetu siku tumewahi kuyoka ni sa 12 jioni Mara zote tunatoka saa 7-8 usiku na hapo bado Mara kibao tunakuwepo Jumamosi.

Ndio maana kuna ulazima wa Serikali kuwapa stahiki zinazohitajika Watumishi wa umma,maana wanakuwa wamisha chagua ujira -sasa MTU ufanye biashara na kazi za ofisini lazima productivity ofisini itapungua tu.

The only way kwa utumishi kuhimili biashara na kazi ni kupitia mfumo wa kampuni-na ukifika stage hiyo sidhani tens utahitaji kuajiliwa.
 
Ili uingize hio pesa lazima uwe na atleast 20 times hio amount katika regular business! 100 times in a major investment!

Usimcheke mtu mkuu
Wala, hata huitaji zaidi ya 100k kuingiza 500k per day , 😂😂😂😂, daa maisha haya
 
Okey!! Sikuchukua bali nilikua najaribu kuona kama naweza kuchukua!!
 
Watumishi ambao hawana posho wanaweza na kuhangaika Sana na salary wakati wenzenu wenye ma posho saizi wanawqza activities za kuhalalisha pesa kutumika yote kabla ya tarehe 30 June.
 

Umeshstoka, nenda mbio Benki! Sasa hivi nimepata Notification, mzigo unacheka Benki!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…