Misri, Jordan na Syria waipe muda (ultimatum) Israel kuacha misaada iingie Gaza wakati watu wanaanza kufa kwa njaa na kiu. Wavunje mikataba baina yao

Misri, Jordan na Syria waipe muda (ultimatum) Israel kuacha misaada iingie Gaza wakati watu wanaanza kufa kwa njaa na kiu. Wavunje mikataba baina yao

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Kiubinadamu wakati umefika wa kuacha kufikiria waisrael wangapi walikufa wakati wa shambulio la Hamas na wapalestina wangapi wameshakufa tangu Israel ianze kulipiza kisasi.

Au majengo mangapi yamegeuzwa kifusi.

Kinachotakiwa sasa ni kufikiria watu wanaokufa njaa na kiu kwa kunyimwa chakula na maji kwa makusudi.
Maji, umeme na chakula vimezuiwa kuingia Gaza huku watu milioni 2.3 wanavihitaji haraka.

Ni wajibu wa kibinadamu kufikishwa mahitaji hayo haraka. Watetezi wakubwa ni wale wanaopakana na Israel na maeneo ya wapalestina.

Upo umuhimu wa kuikumbusha Israel inavyovunja haki za kibinadamu na kuipa kisogo mikataba walioingia pamoja nao. Pamoja na ukumbusho huo waipe Israel masaa 24 kufungua mipaka bila mashariti ili vyakula na maji na mafuta viwafikie watu ambao wameanza kufa kwa kuishiwa na vitu hivyo.

Kama ikiendelea kuleta ngonjera na kukazia kiburi chake waweke wazi kuwa baada ya muda huo wataacha kulinda mipaka hiyo na watakaopenda kuvuka kupeleka misaada watakuwa huru kufanya hivyo.

Si akili nzuri wala ubinadamu kumuachia mtu afe kwa kukosa chakula na maji wakati vitu hivyo vipo isipokuwa ananyimwa tu.

Nchi hizi zijifunze jinsi nchi za ulaya na Marekani zilivyolalamika na kuilaumu Urusi kuzuia ngano mpaka ikabidi waingie mkataba wa usafirishaji wa nafaka.

Walifanya hivyo kwa kuhofia madhara ya njaa kwenye nchi zao.Kwanini sasa wanaiunga mkono Israel iwanyime chakula na maji wapalestina wa Gaza. Bila kutekeleza wajibu wao wasitegemee akina Biden na Sunak na wenzao kuwatetea wapalestina.

1698264890148.png
 

Attachments

  • 1698264656699.png
    1698264656699.png
    108.4 KB · Views: 9
Awali mlishangilia sana.
Tuliwaonya kuwa hicho ndugu zenu Hamas walichokifanya, wataliowa mara 100.

Haya sasa, tulieni na mshangilie mateso haya.

Tatizo imani hii inaamini kifo cha wasio wa imani yao.
Kwani unadhani hali hiyo ya madhila itadumu siku zote.Na una tamaa hayo ayafanyayo Israel ndio imekuwa ushindi.
 
Hayo mataifa waongee na Hamas waache ugaidi, kwani wakivunja mikataba na hizo nchi watafaidika na nini? israel atapata hasara gani?

Unafikiri israel anapoishi pale middle east anamwamini mtu/ ameegemea kwa mtu kwamba akiachana tu na huyo mtu hatasurvive?

Wao wameshajijua waarabu hawawapendi hata wakisainiana chochote, ni adui anayemvizia. wala haogopi hilo.
 
Kiubinadamu wakati umefika wa kuacha kufikiria waisrael wangapi walikufa wakati wa shambulio la Hamas na wapalestina wangapi wameshakufa tangu Israel ianze kulipiza kisasi.Au majengo mangapi yamegeuzwa kifusi...
Hamas walitoa mabomba ya MAJI na kufanya malighafi ya kutengeneza market!,Israel tarehe 7 alivamiwa .raia wake wamekatwa vichwa.wamebakwa na Kila aina ya ukatili wamefanyiwa.

Kwa miaka yote walikuwa wanaipa Gaza Umeme.maji na ajira ila Hamas wamekuwa wagomvi Kila kukicha- Why awataki 2 state solution?

Dunia ya Leo mtu akizaliwa anakuwa raia wa hiyo nchi aliozaliwa. Sasa kwa sasa Israel sio mpalestina wa Waisrael waliopo pale wote ni Raia halali kwenye sheria za UN.

Iweje Wapelestina wanataka wenzao waondoke Woote wabaki mwenyewe? Inawezekana leo Tanzania akawafukuza Wahindi Woote watoke tubaki Wamatumbi. Wapogolo na Wazaramo?

Wapigwe tu mpaka wafutike kabisa
 
Hayo mataifa waongee na Hamas waache ugaidi, kwani wakivunja mikataba na hizo nchi watafaidika na nini? israel atapata hasara gani?

Unafikiri israel anapoishi pale middle east anamwamini mtu/ ameegemea kwa mtu kwamba akiachana tu na huyo mtu hatasurvive?

Wao wameshajijua waarabu hawawapendi hata wakisainiana chochote, ni adui anayemvizia. wala haogopi hilo.
Faida za kuvunja mkataba ziko wazi sana.Watu wanaoishi mipaka ya Israel watakuwa huru kwenda wanakotaka.Kwa sasa wanaotekeleza hiyo mikataba ni hao majirani peke yao.Wanaipa faida Israel kuendelea kumega ardhi zilizobki za wapalestina bila kizuizi.
 
Kiubinadamu wakati umefika wa kuacha kufikiria waisrael wangapi walikufa wakati wa shambulio la Hamas na wapalestina wangapi wameshakufa tangu Israel ianze kulipiza kisasi.

Au majengo mangapi yamegeuzwa kifusi.

Kinachotakiwa sasa ni kufikiria watu wanaokufa njaa na kiu kwa kunyimwa chakula na maji kwa makusudi.
Maji, umeme na chakula vimezuiwa kuingia Gaza huku watu milioni 2.3 wanavihitaji haraka.

Ni wajibu wa kibinadamu kufikishwa mahitaji hayo haraka. Watetezi wakubwa ni wale wanaopakana na Israel na maeneo ya wapalestina.

Upo umuhimu wa kuikumbusha Israel inavyovunja haki za kibinadamu na kuipa kisogo mikataba walioingia pamoja nao. Pamoja na ukumbusho huo waipe Israel masaa 24 kufungua mipaka bila mashariti ili vyakula na maji na mafuta viwafikie watu ambao wameanza kufa kwa kuishiwa na vitu hivyo.

Kama ikiendelea kuleta ngonjera na kukazia kiburi chake waweke wazi kuwa baada ya muda huo wataacha kulinda mipaka hiyo na watakaopenda kuvuka kupeleka misaada watakuwa huru kufanya hivyo.

Si akili nzuri wala ubinadamu kumuachia mtu afe kwa kukosa chakula na maji wakati vitu hivyo vipo isipokuwa ananyimwa tu.

Nchi hizi zijifunze jinsi nchi za ulaya na Marekani zilivyolalamika na kuilaumu Urusi kuzuia ngano mpaka ikabidi waingie mkataba wa usafirishaji wa nafaka.

Walifanya hivyo kwa kuhofia madhara ya njaa kwenye nchi zao.Kwanini sasa wanaiunga mkono Israel iwanyime chakula na maji wapalestina wa Gaza. Bila kutekeleza wajibu wao wasitegemee akina Biden na Sunak na wenzao kuwatetea wapalestina.

Unampaje adui huduma hizo huku anakuuliza watu wako? Mbona Nigeria iliwakatia umeme Niger, hamkusema ! Kama unavyoompa.mnafanya kuwa na nguvu ya kukudhuru, ni kumdhoofisha kwa kumnyima
 
Unampaje adui huduma hizo huku anakuuliza watu wako? Mbona Nigeria iliwakatia umeme Niger, hamkusema ! Kama unavyoompa.mnafanya kuwa na nguvu ya kukudhuru, ni kumdhoofisha kwa kumnyima
Waliokufa Israel 1400 dhidi ya waliokwishakufa 6570 Palestina.Jee haijatoshja hiyo.Wanataka waendelee kuuwa wangapi baada ya hapo.
 
Kiubinadamu wakati umefika wa kuacha kufikiria waisrael wangapi walikufa wakati wa shambulio la Hamas na wapalestina wangapi wameshakufa tangu Israel ianze kulipiza kisasi.

Au majengo mangapi yamegeuzwa kifusi.

Kinachotakiwa sasa ni kufikiria watu wanaokufa njaa na kiu kwa kunyimwa chakula na maji kwa makusudi.
Maji, umeme na chakula vimezuiwa kuingia Gaza huku watu milioni 2.3 wanavihitaji haraka.

Ni wajibu wa kibinadamu kufikishwa mahitaji hayo haraka. Watetezi wakubwa ni wale wanaopakana na Israel na maeneo ya wapalestina.

Upo umuhimu wa kuikumbusha Israel inavyovunja haki za kibinadamu na kuipa kisogo mikataba walioingia pamoja nao. Pamoja na ukumbusho huo waipe Israel masaa 24 kufungua mipaka bila mashariti ili vyakula na maji na mafuta viwafikie watu ambao wameanza kufa kwa kuishiwa na vitu hivyo.

Kama ikiendelea kuleta ngonjera na kukazia kiburi chake waweke wazi kuwa baada ya muda huo wataacha kulinda mipaka hiyo na watakaopenda kuvuka kupeleka misaada watakuwa huru kufanya hivyo.

Si akili nzuri wala ubinadamu kumuachia mtu afe kwa kukosa chakula na maji wakati vitu hivyo vipo isipokuwa ananyimwa tu.

Nchi hizi zijifunze jinsi nchi za ulaya na Marekani zilivyolalamika na kuilaumu Urusi kuzuia ngano mpaka ikabidi waingie mkataba wa usafirishaji wa nafaka.

Walifanya hivyo kwa kuhofia madhara ya njaa kwenye nchi zao.Kwanini sasa wanaiunga mkono Israel iwanyime chakula na maji wapalestina wa Gaza. Bila kutekeleza wajibu wao wasitegemee akina Biden na Sunak na wenzao kuwatetea wapalestina.


Waendelee tu kushambulia maana nimechoka ulimwengu wa magaika. hata kuondoa uislam katika dunia hii itapendeza zaidi.

Mlishangilia sana mlichokifanya, mkaambiwa muamr hilo eneo kuna vita na walivyoanza kulipa mkasema uislam kufa kwa DiNI yake sijuwi nini nini.!!!!

Waendelee tu kunyooshwa.
 
Waendelee tu kushambulia maana nimechoka ulimwengu wa magaika. hata kuondoa uislam katika dunia hii itapendeza zaidi.

Mlishangilia sana mlichokifanya, mkaambiwa muamr hilo eneo kuna vita na walivyoanza kulipa mkasema uislam kufa kwa DiNI yake sijuwi nini nini.!!!!

Waendelee tu kunyooshwa.
Unaridhika wanyooshwe mpaka hawa.
1698297242414.png
 
Kiubinadamu wakati umefika wa kuacha kufikiria waisrael wangapi walikufa wakati wa shambulio la Hamas na wapalestina wangapi wameshakufa tangu Israel ianze kulipiza kisasi.

Au majengo mangapi yamegeuzwa kifusi.

Kinachotakiwa sasa ni kufikiria watu wanaokufa njaa na kiu kwa kunyimwa chakula na maji kwa makusudi.
Maji, umeme na chakula vimezuiwa kuingia Gaza huku watu milioni 2.3 wanavihitaji haraka.

Ni wajibu wa kibinadamu kufikishwa mahitaji hayo haraka. Watetezi wakubwa ni wale wanaopakana na Israel na maeneo ya wapalestina.

Upo umuhimu wa kuikumbusha Israel inavyovunja haki za kibinadamu na kuipa kisogo mikataba walioingia pamoja nao. Pamoja na ukumbusho huo waipe Israel masaa 24 kufungua mipaka bila mashariti ili vyakula na maji na mafuta viwafikie watu ambao wameanza kufa kwa kuishiwa na vitu hivyo.

Kama ikiendelea kuleta ngonjera na kukazia kiburi chake waweke wazi kuwa baada ya muda huo wataacha kulinda mipaka hiyo na watakaopenda kuvuka kupeleka misaada watakuwa huru kufanya hivyo.

Si akili nzuri wala ubinadamu kumuachia mtu afe kwa kukosa chakula na maji wakati vitu hivyo vipo isipokuwa ananyimwa tu.

Nchi hizi zijifunze jinsi nchi za ulaya na Marekani zilivyolalamika na kuilaumu Urusi kuzuia ngano mpaka ikabidi waingie mkataba wa usafirishaji wa nafaka.

Walifanya hivyo kwa kuhofia madhara ya njaa kwenye nchi zao.Kwanini sasa wanaiunga mkono Israel iwanyime chakula na maji wapalestina wa Gaza. Bila kutekeleza wajibu wao wasitegemee akina Biden na Sunak na wenzao kuwatetea wapalestina.

wafe tu mbuzi hao , si hawataki amani , lzm wafundishwe umuhimu wa amani , kunguno hao
 
Back
Top Bottom