Misri, Jordan na Syria waipe muda (ultimatum) Israel kuacha misaada iingie Gaza wakati watu wanaanza kufa kwa njaa na kiu. Wavunje mikataba baina yao

Misri, Jordan na Syria waipe muda (ultimatum) Israel kuacha misaada iingie Gaza wakati watu wanaanza kufa kwa njaa na kiu. Wavunje mikataba baina yao

MKUU KICHAPO KINAWACHANGANYA.
SI WALIKUA WANASHANGILIA OCTOBER 07 View attachment 2806674
Duh! Mwamba 👆👆 kawa mpooole. Anasema eti kundi la HAMAS halikuua raia nchini Israeli 😳 😳. Asubiri kidogo kwanza halafu baadaye atapewa ushahidi. Wee Myahudi: Kazi iendelee usiangalie makunyanzi- kung'uta kweli-kweli hadi muHamasi wa mwisho ili siku nyingine wasilete za kuleta.🔨
 
Duh! Mwamba 👆👆 kawa mpooole. Anasema eti kundi la HAMAS halikuua raia nchini Israeli 😳 😳. Asubiri kidogo kwanza halafu baadaye atapewa ushahidi. Wee Myahudi: Kazi iendelee usiangalie makunyanzi- kung'uta kweli-kweli hadi muHamasi wa mwisho ili siku nyingine wasilete za kuleta.🔨
PIGA HAOOOO 🤣🤣😉😉
 
Awali mlishangilia sana.
Tuliwaonya kuwa hicho ndugu zenu Hamas walichokifanya, watalipwa mara 100.

Haya sasa, tulieni na mshangilie mateso haya.

Tatizo imani hii inaamini kifo cha wasio wa imani yao.
Antonio Gutteres " Hamas attacks didn't happen in a vacuum is due to the result of more than 50 years of Israeli aggression and occupation".
 
MKUU KICHAPO KINAWACHANGANYA.
SI WALIKUA WANASHANGILIA OCTOBER 07 View attachment 2806674
Mkuu Alwaz: Umeiangalia clip ya Interview lakini? .....Ameshindwa mno kujibu maswali aliyoulizwa, unaona wazi anakwepa ukweli. Lakini Mkuu ulitegemea atasema nini hasa? Ana Mateka watoto wadogo mikononi mwake! Watu walikuwa kwenye Bonanza ya Muziki wakacharangwa na Machine guns utajiteteaje ndugu ALWAZ.

Kama unaitetea Hamas lazima ukubali hii ilikuwa ni very wrong move, great miscalculation, nadhani walikuwa wanadhani Iran itaingia kichwa kichwa kutoa support! Iran lazima ifikiri mara mbili! Regime ya Iran inataka pia kubaki madarakani, kufungulia mlango wa direct confrontation dhidi ya Marekani na Washirika wake sio kitu rahisi! Utafungulia mlango wa Wasioitaka Regime ya Akina Ayatotollah ndani ya nchi, Ni rahisi Iran kufanya hivyo kwenye propanganda! Na kutoa Indirect support! Sio kwenye vita hal;isi! Sasa Gaza inachinjwa mchana kweupe mbele ya Iran....vifo vinafikia zaidi ya 10,000... Iran inatoa matamko tu! Wamewaangusha sana Palestina.

Mkuu jamaa zako Hamas wali act kwa jazba, kwa watu ambao tunafuatilizia ugomvi huu Kihistoria Waarabu wana poteza tena, ilifanyika 1948, 1967, 1973 na sasa 2023! Wanapoanza confrontation kubwa kama hizi huwa wanapoteza, Hii ni Nakba nyingine waliojiletea.....Inasikitisha sana.
 
Mkuu Alwaz: Umeiangalia clip ya Interview lakini? .....Ameshindwa mno kujibu maswali aliyoulizwa, unaona wazi anakwepa ukweli. Lakini Mkuu ulitegemea atasema nini hasa? Ana Mateka watoto wadogo mikononi mwake! Watu walikuwa kwenye Bonanza ya Muziki wakacharangwa na Machine guns utajiteteaje ndugu ALWAZ.

Kama unaitetea Hamas lazima ukubali hii ilikuwa ni very wrong move, great miscalculation, nadhani walikuwa wanadhani Iran itaingia kichwa kichwa kutoa support! Iran lazima ifikiri mara mbili! Regime ya Iran inataka pia kubaki madarakani, kufungulia mlango wa direct confrontation dhidi ya Marekani na Washirika wake sio kitu rahisi! Utafungulia mlango wa Wasioitaka Regime ya Akina Ayatotollah ndani ya nchi, Ni rahisi Iran kufanya hivyo kwenye propanganda! Na kutoa Indirect support! Sio kwenye vita hal;isi! Sasa Gaza inachinjwa mchana kweupe mbele ya Iran....vifo vinafikia zaidi ya 10,000... Iran inatoa matamko tu! Wamewaangusha sana Palestina.

Mkuu jamaa zako Hamas wali act kwa jazba, kwa watu ambao tunafuatilizia ugomvi huu Kihistoria Waarabu wana poteza tena, ilifanyika 1948, 1967, 1973 na sasa 2023! Wanapoanza confrontation kubwa kama hizi huwa wanapoteza, Hii ni Nakba nyingine waliojiletea.....Inasikitisha sana.
HAWEZI KUUKUBALI HUU UKWELI
 
Inashangaza sana wachokozi wanaposhikamana kutetea maovu yao,ibilisi ana nguvu aisee!
 
Tunasubiri Mkuu, lakini kinachoumiza ni kuwa Hamas kwa kujua au kutojua imeleta maangamizi Gaza.....
Wewe hujajua kuwa Hamas ndio wametia nguvu wimbi la ukombozi wa Palestina
Wangezembea padogo sana ingekuwa ndio mwisho.Wamewawekea kisiki Saudi Arabia na wamechagua muda muafaka wababe wa kivita wako taabani kutokana na kuchokozana na kutumia nguvu kubwa kupigana.
 
Wewe hujajua kuwa Hamas ndio wametia nguvu wimbi la ukombozi wa Palestina
Wangezembea padogo sana ingekuwa ndio mwisho.Wamewawekea kisiki Saudi Arabia na wamechagua muda muafaka wababe wa kivita wako taabani kutokana na kuchokozana na kutumia nguvu kubwa kupigana.

Wamepata nini Mkuu, wameongeza hata nchi moja ya ardhi...Wataanza upya kuidai Gaza....ambayo walipewa 2005.
 
Kwani unadhani hali hiyo ya madhila itadumu siku zote.Na una tamaa hayo ayafanyayo Israel ndio imekuwa ushindi.

Mashallah una imani, una huruma, kwa kweli unawapambania sana ndugu zetu wapalestina, kuna baadhi ya waislamu hawana habari nao, wengine tunao humu humu mitandaoni hatuoni wakichangia chochote, wapo kidunia, Allah akulipe kila la kheri ndugu yangu Alwaz

Pia Malaria 2 FaizaFoxy adriz @ Ritz na waislamu wote, Allah awalipeni..... Aamiin!
 
1700849126132.png
 

Malaria.....

Kwa hiyo unakubali huu sio ugomvi wa land...Bali ni kuitii Quran....Iko wazi mno....

Goals of the HAMAS:------------------'The Islamic Resistance Movement is a distinguished Palestinian movement, whose allegiance is to Allah, and whose way of life is Islam. It strives to raise the banner of Allah over every inch of Palestine.' (Article 6)On the Destruction of Israel:-----------------------------'Israel will exist and will continue to exist until Islam will obliterate it, just as it obliterated others before it.' (Preamble)
The Exclusive Moslem Nature of the Area:The land of Palestine is an Islamic Waqf [Holy Possession]consecrated for future Moslem generations until Judgment Day. No one can renounce it or any part, or abandon it or any part of it.'(Article 11)'Palestine is an Islamic land... Since this is the case, the Liberation of Palestine is an individual duty for every Moslem wherever he may be.' (Article 13)The Call to Jihad:------------------'The day the enemies usurp part of Moslem land, Jihad becomes the individual duty of every Moslem. In the face of the Jews' usurpation is compulsory that the banner of Jihad be raised.' (Article 15)

Kwa mantiki hii, hata siku moja Hamas hawawezi kushindwa....Wataishia kama ISIS tu!
 
Back
Top Bottom