Misri, Jordan na Syria waipe muda (ultimatum) Israel kuacha misaada iingie Gaza wakati watu wanaanza kufa kwa njaa na kiu. Wavunje mikataba baina yao

Misri, Jordan na Syria waipe muda (ultimatum) Israel kuacha misaada iingie Gaza wakati watu wanaanza kufa kwa njaa na kiu. Wavunje mikataba baina yao

Yaonekana hujui kitu kinachoitwa WAR INTERNATIONAL LAWS.
mmeanz kumbuka international laws? trh 7/10 hamkujuwa kuwa kuna international laws ISRAEL UA MBWA HIZO ZILIHISI ZIPO MSUMBIJI [emoji23][emoji23]
 
mmeanz kumbuka international laws? trh 7/10 hamkujuwa kuwa kuna international laws ISRAEL UA MBWA HIZO ZILIHISI ZIPO MSUMBIJI [emoji23][emoji23]
Wapalestina kama wamevunja hizo interanational laws wamefanya mara moja tu hiyo tarehe 7Oktoba.Mbona babu zako wameshafanya kwa miaka 75 na wala hujawasema.
 
Umeandika kuifurahisha nafsi yako au umebuni tu?Ids fake zisikufanye ukawa na uwanda wa kumkadiria tu kila member.It's not healthy,POW!
Your previous comment ndio imenifanya niandike hicho nilichoandika. So kama unaona ni helpful tafuta mtu wa medani akunyambulie kidogo ila kama utaona najifurahisha achana nayo tu
 
Your previous comment ndio imenifanya niandike hicho nilichoandika. So kama unaona ni helpful tafuta mtu wa medani akunyambulie kidogo ila kama utaona najifurahisha achana nayo tu
Aninyambulie?Au ulikusudia kuandika "nimfundishe"?
 
Kiubinadamu wakati umefika wa kuacha kufikiria waisrael wangapi walikufa wakati wa shambulio la Hamas na wapalestina wangapi wameshakufa tangu Israel ianze kulipiza kisasi.

Au majengo mangapi yamegeuzwa kifusi.

Kinachotakiwa sasa ni kufikiria watu wanaokufa njaa na kiu kwa kunyimwa chakula na maji kwa makusudi.
Maji, umeme na chakula vimezuiwa kuingia Gaza huku watu milioni 2.3 wanavihitaji haraka.

Ni wajibu wa kibinadamu kufikishwa mahitaji hayo haraka. Watetezi wakubwa ni wale wanaopakana na Israel na maeneo ya wapalestina.

Upo umuhimu wa kuikumbusha Israel inavyovunja haki za kibinadamu na kuipa kisogo mikataba walioingia pamoja nao. Pamoja na ukumbusho huo waipe Israel masaa 24 kufungua mipaka bila mashariti ili vyakula na maji na mafuta viwafikie watu ambao wameanza kufa kwa kuishiwa na vitu hivyo.

Kama ikiendelea kuleta ngonjera na kukazia kiburi chake waweke wazi kuwa baada ya muda huo wataacha kulinda mipaka hiyo na watakaopenda kuvuka kupeleka misaada watakuwa huru kufanya hivyo.

Si akili nzuri wala ubinadamu kumuachia mtu afe kwa kukosa chakula na maji wakati vitu hivyo vipo isipokuwa ananyimwa tu.

Nchi hizi zijifunze jinsi nchi za ulaya na Marekani zilivyolalamika na kuilaumu Urusi kuzuia ngano mpaka ikabidi waingie mkataba wa usafirishaji wa nafaka.

Walifanya hivyo kwa kuhofia madhara ya njaa kwenye nchi zao.Kwanini sasa wanaiunga mkono Israel iwanyime chakula na maji wapalestina wa Gaza. Bila kutekeleza wajibu wao wasitegemee akina Biden na Sunak na wenzao kuwatetea wapalestina.

wafanye chochote wanachotaka, ila discussion hizi zitakuja baada ya kumalizanana hamas, hapo ndio tutakaa na kuongea. hiyo picha sio ya watoto wa palestina, hawajakongoroka namna hiyo, hiyo ni picha ya Yemen huko ambako maustaadhi wanapigana na maustaadh wenzao. acheni uongo.
 
Lengo la Israeli sio mashindano ya vifo kwamba wamekufa wapalestina wangapi Vs Waisraeli wangapi.
Lengo ni kudeal na hamas ikiwezekana kuwamaliza nguvu kabisa.

Ni bahati mbaya kwamba hamas wameanzisha vita maksudi halafu wanatumia kinga ya raia ili kuamsha hasira za waarabu( waislam) wawaunge mkono.
Hamas wanatumia raia km kinga ndiyo maana vifo vimekuwa vingi.
 
Lengo la Israeli sio mashindano ya vifo kwamba wamekufa wapalestina wangapi Vs Waisraeli wangapi.
Lengo ni kudeal na hamas ikiwezekana kuwamaliza nguvu kabisa.

Ni bahati mbaya kwamba hamas wameanzisha vita maksudi halafu wanatumia kinga ya raia ili kuamsha hasira za waarabu( waislam) wawaunge mkono.
Hamas wanatumia raia km kinga ndiyo maana vifo vimekuwa vingi.
 
Hakuna haja ya kuonyesha maiti, Israel ametoa sharti dogo, Hamas wawaache mateka bila sharti lolote, Vita itaishia hapo, mbona hilo halisemwi, achieni mateka Vita iishe

Kama Hilo gumu, raia wameambiwa wahamie kusini ya Gaza ambako hakuna Vita, Hamas inawatishia wasihame ili waendelee kutumika kwenye propaganda za kuuwawa wanawake na watoto

Eti maji yamekatwa, nendeni kusini kwenye maji, umeme na misaada ya kutosha, Kama hamtaki damu yenu itakuwa juu yenu wenyewe
 
Hakuna haja ya kuonyesha maiti, Israel ametoa sharti dogo, Hamas wawaache mateka bila sharti lolote, Vita itaishia hapo, mbona hilo halisemwi, achieni mateka Vita iishe

Kama Hilo gumu, raia wameambiwa wahamie kusini ya Gaza ambako hakuna Vita, Hamas inawatishia wasihame ili waendelee kutumika kwenye propaganda za kuuwawa wanawake na watoto

Eti maji yamekatwa, nendeni kusini kwenye maji, umeme na misaada ya kutosha, Kama hamtaki damu yenu itakuwa juu yenu wenyewe

Nimeshindwa kabisa kulewa strategists wa Hamas walifikiri nini, agenda yao wameirudisha nyuma kwa gharama kubwa mno, sasa Gaza imekuwa vipande viwili! Wataanza mapambano mengine mapya huko mbeleni kuiokomboa Gaza!
 
Umewaona wapi.Na kule Ukingo wa magharibi nako mbona wanawaua bila sababu.
Acheni ulevi wa dini wa kijinga.

Waisraeli pia wanakufa.

Mbona mko humu mnaleta propaganda nyiingi Mara Askari was Israel kikosi kizima wameliwa, mnashangilia.

Hamas wamechanganyika KTK makazi ya raia. Au unadhani KWA Vita ya ardhini ya piga nikupige Basi Israel ataacha kurusha risas sababu Kuna raia.

Tuzungumze RIPOTI YA CAG

Tuzungumze miswada ya hovyo huko bungeni.pengine haya ndiyo tulitakiwa kujitoa mayo muhanga.

Tunapigia kelele Mambo yaliyotuzidi Kimi na uwezo.
 
Kiubinadamu wakati umefika wa kuacha kufikiria waisrael wangapi walikufa wakati wa shambulio la Hamas na wapalestina wangapi wameshakufa tangu Israel ianze kulipiza kisasi.

Au majengo mangapi yamegeuzwa kifusi.

Kinachotakiwa sasa ni kufikiria watu wanaokufa njaa na kiu kwa kunyimwa chakula na maji kwa makusudi.
Maji, umeme na chakula vimezuiwa kuingia Gaza huku watu milioni 2.3 wanavihitaji haraka.

Ni wajibu wa kibinadamu kufikishwa mahitaji hayo haraka. Watetezi wakubwa ni wale wanaopakana na Israel na maeneo ya wapalestina.

Upo umuhimu wa kuikumbusha Israel inavyovunja haki za kibinadamu na kuipa kisogo mikataba walioingia pamoja nao. Pamoja na ukumbusho huo waipe Israel masaa 24 kufungua mipaka bila mashariti ili vyakula na maji na mafuta viwafikie watu ambao wameanza kufa kwa kuishiwa na vitu hivyo.

Kama ikiendelea kuleta ngonjera na kukazia kiburi chake waweke wazi kuwa baada ya muda huo wataacha kulinda mipaka hiyo na watakaopenda kuvuka kupeleka misaada watakuwa huru kufanya hivyo.

Si akili nzuri wala ubinadamu kumuachia mtu afe kwa kukosa chakula na maji wakati vitu hivyo vipo isipokuwa ananyimwa tu.

Nchi hizi zijifunze jinsi nchi za ulaya na Marekani zilivyolalamika na kuilaumu Urusi kuzuia ngano mpaka ikabidi waingie mkataba wa usafirishaji wa nafaka.

Walifanya hivyo kwa kuhofia madhara ya njaa kwenye nchi zao.Kwanini sasa wanaiunga mkono Israel iwanyime chakula na maji wapalestina wa Gaza. Bila kutekeleza wajibu wao wasitegemee akina Biden na Sunak na wenzao kuwatetea wapalestina.

MKUU KICHAPO KINAWACHANGANYA.
SI WALIKUA WANASHANGILIA OCTOBER 07
Screenshot_20231107-120716_1.jpg
 
Kiubinadamu wakati umefika wa kuacha kufikiria waisrael wangapi walikufa wakati wa shambulio la Hamas na wapalestina wangapi wameshakufa tangu Israel ianze kulipiza kisasi.

Au majengo mangapi yamegeuzwa kifusi.

Kinachotakiwa sasa ni kufikiria watu wanaokufa njaa na kiu kwa kunyimwa chakula na maji kwa makusudi.
Maji, umeme na chakula vimezuiwa kuingia Gaza huku watu milioni 2.3 wanavihitaji haraka.

Ni wajibu wa kibinadamu kufikishwa mahitaji hayo haraka. Watetezi wakubwa ni wale wanaopakana na Israel na maeneo ya wapalestina.

Upo umuhimu wa kuikumbusha Israel inavyovunja haki za kibinadamu na kuipa kisogo mikataba walioingia pamoja nao. Pamoja na ukumbusho huo waipe Israel masaa 24 kufungua mipaka bila mashariti ili vyakula na maji na mafuta viwafikie watu ambao wameanza kufa kwa kuishiwa na vitu hivyo.

Kama ikiendelea kuleta ngonjera na kukazia kiburi chake waweke wazi kuwa baada ya muda huo wataacha kulinda mipaka hiyo na watakaopenda kuvuka kupeleka misaada watakuwa huru kufanya hivyo.

Si akili nzuri wala ubinadamu kumuachia mtu afe kwa kukosa chakula na maji wakati vitu hivyo vipo isipokuwa ananyimwa tu.

Nchi hizi zijifunze jinsi nchi za ulaya na Marekani zilivyolalamika na kuilaumu Urusi kuzuia ngano mpaka ikabidi waingie mkataba wa usafirishaji wa nafaka.

Walifanya hivyo kwa kuhofia madhara ya njaa kwenye nchi zao.Kwanini sasa wanaiunga mkono Israel iwanyime chakula na maji wapalestina wa Gaza. Bila kutekeleza wajibu wao wasitegemee akina Biden na Sunak na wenzao kuwatetea wapalestina.

NANI ALIANZISHA OCTOBER 07
 
Tutaona magaidi kwenye mahandaki wataishije
Oh! very simple. Wataishi kadri ya vyakula, maji na HEWA walivyofaulu kuingia navyo na wamejiwekea akiba muda utakavyoruhusu. Ila kwa uhakika 100% wote walioingia mahandakini kwa sasa wajihesabu ni marehemu tayari na wala sio marehemu watarajiwa.
 
Back
Top Bottom