Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Simba wa Kabola la Yuda haha
Siri yangu
Tarehe 7/10 mlishangilia sana hamkuona haya yanakuja.Kiubinadamu wakati umefika wa kuacha kufikiria waisrael wangapi walikufa wakati wa shambulio la Hamas na wapalestina wangapi wameshakufa tangu Israel ianze kulipiza kisasi.
Au majengo mangapi yamegeuzwa kifusi.
Kinachotakiwa sasa ni kufikiria watu wanaokufa njaa na kiu kwa kunyimwa chakula na maji kwa makusudi.
Maji, umeme na chakula vimezuiwa kuingia Gaza huku watu milioni 2.3 wanavihitaji haraka.
Ni wajibu wa kibinadamu kufikishwa mahitaji hayo haraka. Watetezi wakubwa ni wale wanaopakana na Israel na maeneo ya wapalestina.
Upo umuhimu wa kuikumbusha Israel inavyovunja haki za kibinadamu na kuipa kisogo mikataba walioingia pamoja nao. Pamoja na ukumbusho huo waipe Israel masaa 24 kufungua mipaka bila mashariti ili vyakula na maji na mafuta viwafikie watu ambao wameanza kufa kwa kuishiwa na vitu hivyo.
Kama ikiendelea kuleta ngonjera na kukazia kiburi chake waweke wazi kuwa baada ya muda huo wataacha kulinda mipaka hiyo na watakaopenda kuvuka kupeleka misaada watakuwa huru kufanya hivyo.
Si akili nzuri wala ubinadamu kumuachia mtu afe kwa kukosa chakula na maji wakati vitu hivyo vipo isipokuwa ananyimwa tu.
Nchi hizi zijifunze jinsi nchi za ulaya na Marekani zilivyolalamika na kuilaumu Urusi kuzuia ngano mpaka ikabidi waingie mkataba wa usafirishaji wa nafaka.
Walifanya hivyo kwa kuhofia madhara ya njaa kwenye nchi zao.Kwanini sasa wanaiunga mkono Israel iwanyime chakula na maji wapalestina wa Gaza. Bila kutekeleza wajibu wao wasitegemee akina Biden na Sunak na wenzao kuwatetea wapalestina.
NDIOKwani unadhani hali hiyo ya madhila itadumu siku zote.Na una tamaa hayo ayafanyayo Israel ndio imekuwa
Jua jammbo moja kubwa!Kiubinadamu wakati umefika wa kuacha kufikiria waisrael wangapi walikufa wakati wa shambulio la Hamas na wapalestina wangapi wameshakufa tangu Israel ianze kulipiza kisasi.
Au majengo mangapi yamegeuzwa kifusi.
Kinachotakiwa sasa ni kufikiria watu wanaokufa njaa na kiu kwa kunyimwa chakula na maji kwa makusudi.
Maji, umeme na chakula vimezuiwa kuingia Gaza huku watu milioni 2.3 wanavihitaji haraka.
Ni wajibu wa kibinadamu kufikishwa mahitaji hayo haraka. Watetezi wakubwa ni wale wanaopakana na Israel na maeneo ya wapalestina.
Upo umuhimu wa kuikumbusha Israel inavyovunja haki za kibinadamu na kuipa kisogo mikataba walioingia pamoja nao. Pamoja na ukumbusho huo waipe Israel masaa 24 kufungua mipaka bila mashariti ili vyakula na maji na mafuta viwafikie watu ambao wameanza kufa kwa kuishiwa na vitu hivyo.
Kama ikiendelea kuleta ngonjera na kukazia kiburi chake waweke wazi kuwa baada ya muda huo wataacha kulinda mipaka hiyo na watakaopenda kuvuka kupeleka misaada watakuwa huru kufanya hivyo.
Si akili nzuri wala ubinadamu kumuachia mtu afe kwa kukosa chakula na maji wakati vitu hivyo vipo isipokuwa ananyimwa tu.
Nchi hizi zijifunze jinsi nchi za ulaya na Marekani zilivyolalamika na kuilaumu Urusi kuzuia ngano mpaka ikabidi waingie mkataba wa usafirishaji wa nafaka.
Walifanya hivyo kwa kuhofia madhara ya njaa kwenye nchi zao.Kwanini sasa wanaiunga mkono Israel iwanyime chakula na maji wapalestina wa Gaza. Bila kutekeleza wajibu wao wasitegemee akina Biden na Sunak na wenzao kuwatetea wapalestina.
Huyo ni terror bred future terrorist. Yafe tuu.Kiubinadamu wakati umefika wa kuacha kufikiria waisrael wangapi walikufa wakati wa shambulio la Hamas na wapalestina wangapi wameshakufa tangu Israel ianze kulipiza kisasi.
Au majengo mangapi yamegeuzwa kifusi.
Kinachotakiwa sasa ni kufikiria watu wanaokufa njaa na kiu kwa kunyimwa chakula na maji kwa makusudi.
Maji, umeme na chakula vimezuiwa kuingia Gaza huku watu milioni 2.3 wanavihitaji haraka.
Ni wajibu wa kibinadamu kufikishwa mahitaji hayo haraka. Watetezi wakubwa ni wale wanaopakana na Israel na maeneo ya wapalestina.
Upo umuhimu wa kuikumbusha Israel inavyovunja haki za kibinadamu na kuipa kisogo mikataba walioingia pamoja nao. Pamoja na ukumbusho huo waipe Israel masaa 24 kufungua mipaka bila mashariti ili vyakula na maji na mafuta viwafikie watu ambao wameanza kufa kwa kuishiwa na vitu hivyo.
Kama ikiendelea kuleta ngonjera na kukazia kiburi chake waweke wazi kuwa baada ya muda huo wataacha kulinda mipaka hiyo na watakaopenda kuvuka kupeleka misaada watakuwa huru kufanya hivyo.
Si akili nzuri wala ubinadamu kumuachia mtu afe kwa kukosa chakula na maji wakati vitu hivyo vipo isipokuwa ananyimwa tu.
Nchi hizi zijifunze jinsi nchi za ulaya na Marekani zilivyolalamika na kuilaumu Urusi kuzuia ngano mpaka ikabidi waingie mkataba wa usafirishaji wa nafaka.
Walifanya hivyo kwa kuhofia madhara ya njaa kwenye nchi zao.Kwanini sasa wanaiunga mkono Israel iwanyime chakula na maji wapalestina wa Gaza. Bila kutekeleza wajibu wao wasitegemee akina Biden na Sunak na wenzao kuwatetea wapalestina.
Yumkini bado saana. Ndo wanataka kuanza. Ukitumia sheria ya jino kwa jino na jicho kwa jicho haifai ie. unalinganisha Eti 1,400 vs 6,570 (unverifiable figures) halafu usilinganishe figures bali linganisha Thamani(Value) huwezi kuua daktari mmoja, mwalimu mmoja na Mhandisi mmoja (jumla 3)then ukalinganisha na kuua vibaka 3. Ni vyema kutumia njia ya kumuondoa adui dead or alive. Israeli alitoa 24hrs ili waungwana wajiondokee walau kwa muda waende Gaza kusini kumpisha Daudi amshughulikie Goliath. Wenye utii waliondoka. Wakaidi sasa wanafaidi siku ya Iddi.Waliokufa Israel 1400 dhidi ya waliokwishakufa 6570 Palestina.Jee haijatoshja hiyo.Wanataka waendelee kuuwa wangapi baada ya hapo.
NO MERCY 🖕🏿Huyo ni terror bred future terrorist. Yafe tuu.
Mliyaanzisha na kujitakia wenyewe.
NO MERCY 🖕🏿
I love this commentYumkini bado saana. Ndo wanataka kuanza. Ukitumia sheria ya jino kwa jino na jicho kwa jicho haifai ie. unalinganisha Eti 1,400 vs 6,570 (unverifiable figures) halafu usilinganishe figures bali linganisha Thamani(Value) huwezi kuua daktari mmoja, mwalimu mmoja na Mhandisi mmoja (jumla 3)then ukalinganisha na kuua vibaka 3. Ni vyema kutumia njia ya kumuondoa adui dead or alive. Israeli alitoa 24hrs ili waungwana wajiondokee walau kwa muda waende Gaza kusini kumpisha Daudi amshughulikie Goliath. Wenye utii waliondoka. Wakaidi sasa wanafaidi siku ya Iddi.
Kwani walivyoshtukiza kuwashambulia waisrael kulikuwa na makubaliano ya kuua wangapi?Si uislam ni dini ya pili hapo Israel vipi tena mnawafanyia mauaji ya kushtukiza ndugu zenu?Waliokufa Israel 1400 dhidi ya waliokwishakufa 6570 Palestina.Jee haijatoshja hiyo.Wanataka waendelee kuuwa wangapi baada ya hapo.
We bibi jifunze kuandikaHizo "ulimatum" ni unafik tu
Ahsante kwa taarifa. tutaifanyia kazi.We bibi jifunze kuandika
Si mnawahishwa mkafaidi mabikira 72Unaridhika wanyooshwe mpaka hawa.
View attachment 2793196
Yaonekana hujui kitu kinachoitwa WAR INTERNATIONAL LAWS.Adui aombewe njaa.Ukiona hapati njaa zuia chakula kisimfikie.Ukisikia "bweeeee" ujue dawa inafanya kazi kwa mwendo ulio mwema.Ongeza mashambulizi.
Umeandika kuifurahisha nafsi yako au umebuni tu?Ids fake zisikufanye ukawa na uwanda wa kumkadiria tu kila member.It's not healthy,POW!Yaonekana hujui kitu kinachoitwa WAR INTERNATIONAL LAWS.
Waliokufa Israel 1400 dhidi ya waliokwishakufa 6570 Palestina.Jee haijatoshja hiyo.Wanataka waendelee kuuwa wangapi baada ya hapo.