mmeanz kumbuka international laws? trh 7/10 hamkujuwa kuwa kuna international laws ISRAEL UA MBWA HIZO ZILIHISI ZIPO MSUMBIJI [emoji23][emoji23]Yaonekana hujui kitu kinachoitwa WAR INTERNATIONAL LAWS.
Wapalestina kama wamevunja hizo interanational laws wamefanya mara moja tu hiyo tarehe 7Oktoba.Mbona babu zako wameshafanya kwa miaka 75 na wala hujawasema.mmeanz kumbuka international laws? trh 7/10 hamkujuwa kuwa kuna international laws ISRAEL UA MBWA HIZO ZILIHISI ZIPO MSUMBIJI [emoji23][emoji23]
Your previous comment ndio imenifanya niandike hicho nilichoandika. So kama unaona ni helpful tafuta mtu wa medani akunyambulie kidogo ila kama utaona najifurahisha achana nayo tuUmeandika kuifurahisha nafsi yako au umebuni tu?Ids fake zisikufanye ukawa na uwanda wa kumkadiria tu kila member.It's not healthy,POW!
Aninyambulie?Au ulikusudia kuandika "nimfundishe"?Your previous comment ndio imenifanya niandike hicho nilichoandika. So kama unaona ni helpful tafuta mtu wa medani akunyambulie kidogo ila kama utaona najifurahisha achana nayo tu
Oh I can see how distinguished and outstanding you're.Aninyambulie?Au ulikusudia kuandika "nimfundishe"?
wafanye chochote wanachotaka, ila discussion hizi zitakuja baada ya kumalizanana hamas, hapo ndio tutakaa na kuongea. hiyo picha sio ya watoto wa palestina, hawajakongoroka namna hiyo, hiyo ni picha ya Yemen huko ambako maustaadhi wanapigana na maustaadh wenzao. acheni uongo.Kiubinadamu wakati umefika wa kuacha kufikiria waisrael wangapi walikufa wakati wa shambulio la Hamas na wapalestina wangapi wameshakufa tangu Israel ianze kulipiza kisasi.
Au majengo mangapi yamegeuzwa kifusi.
Kinachotakiwa sasa ni kufikiria watu wanaokufa njaa na kiu kwa kunyimwa chakula na maji kwa makusudi.
Maji, umeme na chakula vimezuiwa kuingia Gaza huku watu milioni 2.3 wanavihitaji haraka.
Ni wajibu wa kibinadamu kufikishwa mahitaji hayo haraka. Watetezi wakubwa ni wale wanaopakana na Israel na maeneo ya wapalestina.
Upo umuhimu wa kuikumbusha Israel inavyovunja haki za kibinadamu na kuipa kisogo mikataba walioingia pamoja nao. Pamoja na ukumbusho huo waipe Israel masaa 24 kufungua mipaka bila mashariti ili vyakula na maji na mafuta viwafikie watu ambao wameanza kufa kwa kuishiwa na vitu hivyo.
Kama ikiendelea kuleta ngonjera na kukazia kiburi chake waweke wazi kuwa baada ya muda huo wataacha kulinda mipaka hiyo na watakaopenda kuvuka kupeleka misaada watakuwa huru kufanya hivyo.
Si akili nzuri wala ubinadamu kumuachia mtu afe kwa kukosa chakula na maji wakati vitu hivyo vipo isipokuwa ananyimwa tu.
Nchi hizi zijifunze jinsi nchi za ulaya na Marekani zilivyolalamika na kuilaumu Urusi kuzuia ngano mpaka ikabidi waingie mkataba wa usafirishaji wa nafaka.
Walifanya hivyo kwa kuhofia madhara ya njaa kwenye nchi zao.Kwanini sasa wanaiunga mkono Israel iwanyime chakula na maji wapalestina wa Gaza. Bila kutekeleza wajibu wao wasitegemee akina Biden na Sunak na wenzao kuwatetea wapalestina.
Hamas wanatumia raia km kinga ndiyo maana vifo vimekuwa vingi.Lengo la Israeli sio mashindano ya vifo kwamba wamekufa wapalestina wangapi Vs Waisraeli wangapi.
Lengo ni kudeal na hamas ikiwezekana kuwamaliza nguvu kabisa.
Ni bahati mbaya kwamba hamas wameanzisha vita maksudi halafu wanatumia kinga ya raia ili kuamsha hasira za waarabu( waislam) wawaunge mkono.
Hamas wanatumia raia km kinga ndiyo maana vifo vimekuwa vingi.Lengo la Israeli sio mashindano ya vifo kwamba wamekufa wapalestina wangapi Vs Waisraeli wangapi.
Lengo ni kudeal na hamas ikiwezekana kuwamaliza nguvu kabisa.
Ni bahati mbaya kwamba hamas wameanzisha vita maksudi halafu wanatumia kinga ya raia ili kuamsha hasira za waarabu( waislam) wawaunge mkono.
Hakuna haja ya kuonyesha maiti, Israel ametoa sharti dogo, Hamas wawaache mateka bila sharti lolote, Vita itaishia hapo, mbona hilo halisemwi, achieni mateka Vita iishe
Kama Hilo gumu, raia wameambiwa wahamie kusini ya Gaza ambako hakuna Vita, Hamas inawatishia wasihame ili waendelee kutumika kwenye propaganda za kuuwawa wanawake na watoto
Eti maji yamekatwa, nendeni kusini kwenye maji, umeme na misaada ya kutosha, Kama hamtaki damu yenu itakuwa juu yenu wenyewe
Acheni ulevi wa dini wa kijinga.Umewaona wapi.Na kule Ukingo wa magharibi nako mbona wanawaua bila sababu.
MKUU KICHAPO KINAWACHANGANYA.Kiubinadamu wakati umefika wa kuacha kufikiria waisrael wangapi walikufa wakati wa shambulio la Hamas na wapalestina wangapi wameshakufa tangu Israel ianze kulipiza kisasi.
Au majengo mangapi yamegeuzwa kifusi.
Kinachotakiwa sasa ni kufikiria watu wanaokufa njaa na kiu kwa kunyimwa chakula na maji kwa makusudi.
Maji, umeme na chakula vimezuiwa kuingia Gaza huku watu milioni 2.3 wanavihitaji haraka.
Ni wajibu wa kibinadamu kufikishwa mahitaji hayo haraka. Watetezi wakubwa ni wale wanaopakana na Israel na maeneo ya wapalestina.
Upo umuhimu wa kuikumbusha Israel inavyovunja haki za kibinadamu na kuipa kisogo mikataba walioingia pamoja nao. Pamoja na ukumbusho huo waipe Israel masaa 24 kufungua mipaka bila mashariti ili vyakula na maji na mafuta viwafikie watu ambao wameanza kufa kwa kuishiwa na vitu hivyo.
Kama ikiendelea kuleta ngonjera na kukazia kiburi chake waweke wazi kuwa baada ya muda huo wataacha kulinda mipaka hiyo na watakaopenda kuvuka kupeleka misaada watakuwa huru kufanya hivyo.
Si akili nzuri wala ubinadamu kumuachia mtu afe kwa kukosa chakula na maji wakati vitu hivyo vipo isipokuwa ananyimwa tu.
Nchi hizi zijifunze jinsi nchi za ulaya na Marekani zilivyolalamika na kuilaumu Urusi kuzuia ngano mpaka ikabidi waingie mkataba wa usafirishaji wa nafaka.
Walifanya hivyo kwa kuhofia madhara ya njaa kwenye nchi zao.Kwanini sasa wanaiunga mkono Israel iwanyime chakula na maji wapalestina wa Gaza. Bila kutekeleza wajibu wao wasitegemee akina Biden na Sunak na wenzao kuwatetea wapalestina.
NANI ALIANZISHA OCTOBER 07Kiubinadamu wakati umefika wa kuacha kufikiria waisrael wangapi walikufa wakati wa shambulio la Hamas na wapalestina wangapi wameshakufa tangu Israel ianze kulipiza kisasi.
Au majengo mangapi yamegeuzwa kifusi.
Kinachotakiwa sasa ni kufikiria watu wanaokufa njaa na kiu kwa kunyimwa chakula na maji kwa makusudi.
Maji, umeme na chakula vimezuiwa kuingia Gaza huku watu milioni 2.3 wanavihitaji haraka.
Ni wajibu wa kibinadamu kufikishwa mahitaji hayo haraka. Watetezi wakubwa ni wale wanaopakana na Israel na maeneo ya wapalestina.
Upo umuhimu wa kuikumbusha Israel inavyovunja haki za kibinadamu na kuipa kisogo mikataba walioingia pamoja nao. Pamoja na ukumbusho huo waipe Israel masaa 24 kufungua mipaka bila mashariti ili vyakula na maji na mafuta viwafikie watu ambao wameanza kufa kwa kuishiwa na vitu hivyo.
Kama ikiendelea kuleta ngonjera na kukazia kiburi chake waweke wazi kuwa baada ya muda huo wataacha kulinda mipaka hiyo na watakaopenda kuvuka kupeleka misaada watakuwa huru kufanya hivyo.
Si akili nzuri wala ubinadamu kumuachia mtu afe kwa kukosa chakula na maji wakati vitu hivyo vipo isipokuwa ananyimwa tu.
Nchi hizi zijifunze jinsi nchi za ulaya na Marekani zilivyolalamika na kuilaumu Urusi kuzuia ngano mpaka ikabidi waingie mkataba wa usafirishaji wa nafaka.
Walifanya hivyo kwa kuhofia madhara ya njaa kwenye nchi zao.Kwanini sasa wanaiunga mkono Israel iwanyime chakula na maji wapalestina wa Gaza. Bila kutekeleza wajibu wao wasitegemee akina Biden na Sunak na wenzao kuwatetea wapalestina.
Sasa mbona unalialia hapa..si utulieKwani unadhani hali hiyo ya madhila itadumu siku zote.Na una tamaa hayo ayafanyayo Israel ndio imekuwa ushindi.
I LOVE youAhsante kwa taarifa. tutaifanyia kazi.
Msalimie Faiza foxIsrael endelea kuwapiga hadi waseme imetosha
Oh! very simple. Wataishi kadri ya vyakula, maji na HEWA walivyofaulu kuingia navyo na wamejiwekea akiba muda utakavyoruhusu. Ila kwa uhakika 100% wote walioingia mahandakini kwa sasa wajihesabu ni marehemu tayari na wala sio marehemu watarajiwa.Tutaona magaidi kwenye mahandaki wataishije