Mbona mawardat hayupo jamani? Au mnaogopa tako lake skonsi litawapiku wote hapo juuKwema Wakuu!
Zikiwa zimebaki siku tano mwaka 2023 ukatike. Bila kujali kuwa humuwengi hatujuani na hatuna mpango wa kujuana. Lakini kuna ile kitu inaitwa Schema Yaani kujenga taswira ya kitu, jambo au mtu kabla hujamuona/hujamuona mtu huyo.
Je kwa Schema yako, unafikiri ni memba gani humu ingetokea tuzo ya u-miss JF angeshinda kwa mwaka 2023?
Wagombea ni kama ifuatavyo
1@Kalpana
2 To yeye
3. amu
4. Nifah
5. Leejay49
6. Lovebird
7. Donatila
8. FaizaFoxy
9. Mrs Besyige
10. Depal
11. Demi
Miss JF 2023. Ameng'arisha
Sasa mtu ukose kitambi kwani hushibi jamani 😅😅😅🥰Kuna watu wanavitambi hapo.
This is utter rubbish and nonsense unless you want to compose a list of 72 mythical virgins of imaginary paradise found in moslem scriptures.
Kuna support group nlikuaga zamani, ntampa namba za mwenyekiti wawasiliane, ni vizuri kuishi kwa matumaini😂🚮Kongosho langu leupee
Tumepass box la dawa kwa mgonjwa mpya
Dah 😂😂🤣🤣🤣🤣Hawezi kuwa mrembo, anahangaika humu kumtafuta mume.
Watu wana dawa na hatuambiwi jmn😂😂 natakiwa kujibu nini ndo isi sound rude? 🤣🤣🤣
Haha ila nadhani mtu atafutwe aisaidie serikali.. kumbe vitu vinapona bhana, ni sisi tu ndio hatujui.
🤣🤣 tafadhali msaada tutani.. watu waanze dose mapemaKuna support group nlikuaga zamani, ntampa namba za mwenyekiti wawasiliane, ni vizuri kuishi kwa matumaini😂🚮
Siku nitakuchapa hutaamini😂😂Kuna support group nlikuaga zamani, ntampa namba za mwenyekiti wawasiliane, ni vizuri kuishi kwa matumaini😂🚮
Hivi huijui wamata nawe ni mchuga?🤣🤣 tafadhali msaada tutani.. watu waanze dose mapema
Kabisa bloodieWanaume tumekuwa tunawa entertain sana hawa mademu ndiyo maana wamekuwa wakitupanda kichwani wakati hawana mchango wowote chanya kwenye maisha yetu
namba 5 unamjua vipi nduguNamba 5 na 10 nawajua. Hao wengine kwa sura siwajui ila kwa busara nawajua wote.
Ila nitavote kwa busara zao za kucomment. 🙈
Yooo! Mbona kama sijaelewaHivi huijui wamata nawe na mchuga?
Siku nitakuchapa hutaamini[emoji23][emoji23]
Wanaume tumekuwa tunawa entertain sana hawa mademu ndiyo maana wamekuwa wakitupanda kichwani wakati hawana mchango wowote chanya kwenye maisha yetu
Mnacheka na uzi wa MtibeliHuu uzi unachekesha jamani
Kwanini uwe na I'd ya kike, unaenjoy kutongozwa? Utakuja kushikwa nyoro, mtoto wa kiume.We umewaonea wapi? We utakuja uzungukwe nyuma, una uhakika wote hapo ni She? Mimi nina user yangu hapo ya ki-she lkn jidume na ndevu zimesimama kama mchongamaa!
@Evelyn SaltKwema Wakuu!
Zikiwa zimebaki siku tano mwaka 2023 ukatike. Bila kujali kuwa humuwengi hatujuani na hatuna mpango wa kujuana. Lakini kuna ile kitu inaitwa Schema Yaani kujenga taswira ya kitu, jambo au mtu kabla hujamuona/hujamuona mtu huyo.
Je kwa Schema yako, unafikiri ni memba gani humu ingetokea tuzo ya u-miss JF angeshinda kwa mwaka 2023?
Wagombea ni kama ifuatavyo
1@Kalpana
2 To yeye
3. amu
4. Nifah
5. Leejay49
6. Lovebird
7. Donatila
8. FaizaFoxy
9. Mrs Besyige
10. Depal
11. Demi
Miss JF 2023. Ameng'arisha