Website design
Member
- Sep 8, 2017
- 60
- 266
hakujui weyee huyooo...Eti kasema kuwa mie nisingepata kura hata moja
Shindano lako Mshindi anapata Fedha au Tuzo yoyote? Kama jibu ni Hapana basi wala sijali hata kama Leejay49 hatoshinda..GENTAMYCINE waombe wenye kura pungufu ya 20 wahamishe kura zao kwa mgombea wako Leejay49 . Hali sio nzuri huku Yakhee!
Mie ningepata kwa wote hujuagi tu. Sema tu sifagiliagi kupendwa sana napenda mengine sii wanadamu kunipenda
Jf wote wanashangaa wanaacha visu. Wanachukua watu mpaka campaign ilinkuwauza. Wee picha yako tu. Kura hizoooooEti kasema kuwa mie nisingepata kura hata moja
Bro mi ni mwanaume
Sawa, lakin mrembo hivyo hivyo [emoji23]Bro mi ni mwanaume
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Bro mi ni mwanaume
Kizee tenaFaizafoxy mtoe hapo ni kibibi.