Miss JF 2023: Nani ni Mrembo zaidi kushinda wenzake hapa JF kati ya wanawake wafuatao?

Miss JF 2023: Nani ni Mrembo zaidi kushinda wenzake hapa JF kati ya wanawake wafuatao?

Miss JF 2023: Nani ni Mrembo zaidi kushinda wenzake hapa JF kati ya wanawake wafuatao?


  • Total voters
    225
  • Poll closed .
Kwanini GENTAMYCINE nampenda na namkubali sana na mno Member Leejay49?

1. Ni Mrembo hakuna mfano

2. Ni Mwerevu wa uhakika

3. Ni Mstaarabu wa Kutukuka

4. Hana Dharau

5. Ni Mkarimu

6. Hana Majungu, Chuki na Wivu

7. Siyo Mnafiki na Mzandiki

Tafadhali TEAM GENTAMYCINE wote na Wengine mpeni Kura zenu nyingi mno Leejay49 ili aibuke Mshindi wa Shindano la Mrembo wa JamiiForums kwa mwaka huu wa 2023.

Kila la Kheri Leejay49 utashinda tu.
Ila we Jamaa Uzi mzima Ume jaa promotion zako🤔🤔😄😄
👉For real punguza bhana😄🤣🤒
 
Kaka naomba kadi ya uanachama
Jaza form Kisha copy ipeleke kwa mwenyekiti dronedrake na katibu wake mshamba_hachekwi 😄😄🤒

Screenshot_20231230-170346_1.jpg
 
Ila we Jamaa Uzi mzima Ume jaa promotion zako🤔🤔😄😄
👉For real punguza bhana😄🤣🤒

Kwanini GENTAMYCINE nampenda na namkubali sana na mno Member Leejay49?

1. Ni Mrembo hakuna mfano
2. Ni Mwerevu wa uhakika
3. Ni Mstaarabu wa Kutukuka
4. Hana Dharau
5. Ni Mkarimu
6. Hana Majungu, Chuki na Wivu
7. Siyo Mnafiki na Mzandiki

Tafadhali TEAM GENTAMYCINE wote na Wengine mpeni Kura zenu nyingi mno Leejay49 ili aibuke Mshindi wa Shindano la Mrembo wa JamiiForums kwa mwaka huu wa 2023.

Kila la Kheri Leejay49 utashinda tu.
 
Kwanini GENTAMYCINE nampenda na namkubali sana na mno Member Leejay49?

1. Ni Mrembo hakuna mfano
2. Ni Mwerevu wa uhakika
3. Ni Mstaarabu wa Kutukuka
4. Hana Dharau
5. Ni Mkarimu
6. Hana Majungu, Chuki na Wivu
7. Siyo Mnafiki na Mzandiki

Tafadhali TEAM GENTAMYCINE wote na Wengine mpeni Kura zenu nyingi mno Leejay49 ili aibuke Mshindi wa Shindano la Mrembo wa JamiiForums kwa mwaka huu wa 2023.

Kila la Kheri Leejay49 utashinda tu.
Oyaa Leejay49 Ume mlioa genta ehh😂🤣🤣😄🤔
 
FaizaFoxy anapiga comeback ya maana.
Leejay49 kazana waambie wapiga Kampeni wako wafanye mambo. Mpaka saa sita usiku matokeo yanaweza kuwa mengine
Kama Leejay49 ameongoza kwa Siku Nne ( 4 ) mfululizo hadi hii leo ya mwisho hata kama asiposhinda Yeye na akashinda huyo Mwingine bado Kwangu Mimi Mshindi wangu atakuwa ni Leejay49 tu.

Na labda nikusaidie tu kuwa kama kuna Mtu ambaye wala hakutegemewa kuwa angepata Kura nyingi hizi na Kuongoza kwa hizo Siku Nne ( 4 ) mfululizo basi ni Dada yangu Leejay49 na badala yake kuna Magwiji Wawili ndiyo walikuwa Wanategemewa na Wanajiamini kuwa ndiyo Wangeongoza kutokana na Umaarufu wao mkubwa hapa JamiiForums.

Leejay49 hata haya Matokeo yaweje ila Kwangu Mimi GENTAMYCINE najua kuwa Wewe ndiyo Mshindi Halali wa hili Shindano kwakuwa umekuwa Ukiongoza ( Ukiwatimulia Vumbi Washindani wako ambao hadi leo hawapati Usingizi ) kwa Siku Nne ( 4 ) mfululizo.

Kwanini GENTAMYCINE nampenda na namkubali sana na mno Member Leejay49?

1. Ni Mrembo hakuna mfano
2. Ni Mwerevu wa uhakika
3. Ni Mstaarabu wa Kutukuka
4. Hana Dharau
5. Ni Mkarimu
6. Hana Majungu, Chuki na Wivu
7. Siyo Mnafiki na Mzandiki

Tafadhali TEAM GENTAMYCINE wote na Wengine mpeni Kura zenu nyingi mno Leejay49 ili aibuke Mshindi wa Shindano la Mrembo wa JamiiForums kwa mwaka huu wa 2023.

Kila la Kheri Leejay49 utashinda tu.

NIMEMALIZA.
 
Back
Top Bottom