Miss JF 2023: Nani ni Mrembo zaidi kushinda wenzake hapa JF kati ya wanawake wafuatao?

Miss JF 2023: Nani ni Mrembo zaidi kushinda wenzake hapa JF kati ya wanawake wafuatao?

Miss JF 2023: Nani ni Mrembo zaidi kushinda wenzake hapa JF kati ya wanawake wafuatao?


  • Total voters
    225
  • Poll closed .
Mungu ni mwema nkamu. Natumaini ulikuwa na sikukuu njema. Hebu mwaka mpya na ukaje na mema tupu kwako na wapendwa wako.

Tumuombe mwenye uzi aongeze jina lako nkamu maana kwa maoni yangu pengine unawazidi wote walioshindanishwa hapo ❤️🔥🏃🏿‍♂️
Mungu ni mwema imepita salama salmini tusubiri kufunga mwaka, Ameen ndugu yangu nakuombea pia baraka na mafanikio Mungu akajibu maombi yako yote.

Mimi nishakua bibi hayo mambo tuwaachie vijana, sisi watu wazima kazi yetu kupiga kura tu😄
Mungu ni mwema nkamu. Natumaini ulikuwa na sikukuu njema. Hebu mwaka mpya na ukaje na mema tupu kwako na wapendwa wako.

Tumuombe mwenye uzi aongeze jina lako nkamu maana kwa maoni yangu pengine unawazidi wote walioshindanishwa hapo ❤️🔥🏃🏿‍♂️
 
Nani wende mbowe, disko la washenzi hilo.

Watoto wa Kariakoo tulikuwa kwa circles zetu kijana.

Hayo siyo mambo ya kuandikkwa kumbukumbu, watu tunataka kusahau kabisa nyakati hizo mpaka itokee story moja kidogo hizi. Yapo ya kuandika lakini si hayo.

Tutakueleza tu kama hivyo, hapo palikuwa nini nani (who's who) alikuwa nani, na vitu kama hivyo.
Duh,kumbe Mbowe lilikua disco la wahuni ,ndio maana wazazi wetu waliona kwenda Disco uhuni sababu waliongelea sana Mbowe hahahahaahaha
 
Nani wende mbowe, disko la washenzi hilo.

Watoto wa Kariakoo tulikuwa kwa circles zetu kijana.

Hayo siyo mambo ya kuandikkwa kumbukumbu, watu tunataka kusahau kabisa nyakati hizo mpaka itokee story moja kidogo hizi. Yapo ya kuandika lakini si hayo.

Tutakueleza tu kama hivyo, hapo palikuwa nini nani (who's who) alikuwa nani, na vitu kama hivyo.

Miss JF kwa Wakongwe hujambo?
 
Back
Top Bottom