Dallas green
JF-Expert Member
- Nov 17, 2019
- 1,377
- 2,800
Faizafoxy ndo mkali apo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu ni mwema imepita salama salmini tusubiri kufunga mwaka, Ameen ndugu yangu nakuombea pia baraka na mafanikio Mungu akajibu maombi yako yote.Mungu ni mwema nkamu. Natumaini ulikuwa na sikukuu njema. Hebu mwaka mpya na ukaje na mema tupu kwako na wapendwa wako.
Tumuombe mwenye uzi aongeze jina lako nkamu maana kwa maoni yangu pengine unawazidi wote walioshindanishwa hapo ❤️🔥🏃🏿♂️
Mungu ni mwema nkamu. Natumaini ulikuwa na sikukuu njema. Hebu mwaka mpya na ukaje na mema tupu kwako na wapendwa wako.
Tumuombe mwenye uzi aongeze jina lako nkamu maana kwa maoni yangu pengine unawazidi wote walioshindanishwa hapo ❤️🔥🏃🏿♂️
Shemu ndiyo nani tena, vijana mna mamboHeshima yako S for shemu
🏃🏃🏃Bwana hebu piga kura, huu ni uchoyo ujue.
Kwanini hujakata rufaa ya kutokuorodheshwa?Bwana hebu piga kura, huu ni uchoyo ujue.
Vibaya hivi unanifanyia! 😂Kwanini hujakata rufaa ya kutokuorodheshwa?
Sio kwemaVibaya hivi unanifanyia! 😂
Kwema?
Ohh! Nini imekuwa shida? Nini ninini?Sio kwema
Shida waijuaOhh! Nini imekuwa shida? Nini ninini?
Sikukuu imepita hujaja nyumbaniOhh! Nini imekuwa shida? Nini ninini?
😂😂😂 Halafu unanitafutaaaaa! 🤣Shida waijua
Ohhh that I know for sure! Kwa hii sikukuu isivyokuwa na jipya to me tuache ipite kwanza.Sikukuu imepita hujaja nyumbani
Unasubiriwa nyumbani naona umeloea mjiniOhhh that I know for sure! Kwa hii sikukuu isivyokuwa na jipya to me tuache ipite kwanza.
Au unaonaje?
Nakuja nakujaaaaa! 😀 usidhani namaanisha mengine.!Unasubiriwa nyumbani naona umeloea mjini
Na nikikupata😂😂😂 Halafu unanitafutaaaaa! 🤣
Utaniuaaaaa!Na nikikupata
Siwezi nikikuua nitakosa ninachokitafutaUtaniuaaaaa!
Duh,kumbe Mbowe lilikua disco la wahuni ,ndio maana wazazi wetu waliona kwenda Disco uhuni sababu waliongelea sana Mbowe hahahahaahahaNani wende mbowe, disko la washenzi hilo.
Watoto wa Kariakoo tulikuwa kwa circles zetu kijana.
Hayo siyo mambo ya kuandikkwa kumbukumbu, watu tunataka kusahau kabisa nyakati hizo mpaka itokee story moja kidogo hizi. Yapo ya kuandika lakini si hayo.
Tutakueleza tu kama hivyo, hapo palikuwa nini nani (who's who) alikuwa nani, na vitu kama hivyo.
Nani wende mbowe, disko la washenzi hilo.
Watoto wa Kariakoo tulikuwa kwa circles zetu kijana.
Hayo siyo mambo ya kuandikkwa kumbukumbu, watu tunataka kusahau kabisa nyakati hizo mpaka itokee story moja kidogo hizi. Yapo ya kuandika lakini si hayo.
Tutakueleza tu kama hivyo, hapo palikuwa nini nani (who's who) alikuwa nani, na vitu kama hivyo.