cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] haina shida hata.Inashida gani hiyo comment.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] haina shida hata.Inashida gani hiyo comment.
TUngependa thread nzima ya story za enzi hizo milivyo kula bata na ikiwezekana vipicha basi tuone mambo yalivo kuwa maana inaonekana bata halikua la kitoto . Entinnes tulichea mziki hapo enzi za Clouds kipindi fulani miaka ya 1990 fulani ,Mbona sija sikia ukitaja Mbowe au kule walikweda masela zaidi?= Ettiennes, wewe itakuwa unapasikia tu hapo kwa mama George na mwanawe. Hao wagiriki walikuwa wanamiliki hotel na Restaurants mbili tatu nzuri nzuri Dar. Ikiwemo Palm beach ya leo hii na nyingine ilikuwa inaitwa Georges Grill, hii ilikuwa ubavuni na Bank kuu ya zamani, nyuma ya karadha. Wa zamani watapaelewa, vijana wa siku hizi muulize tu tuwahadithie.
Alijua vianja vyote hahahahahaha enzi hizo alikua sista dooFaizaFoxy anadai hajawahi ingia maeneo ya kikafiri
Nani wende mbowe, disko la washenzi hilo.TUngependa thread nzima ya story za enzi hizo milivyo kula bata na ikiwezekana vipicha basi tuone mambo yalivo kuwa maana inaonekana bata halikua la kitoto . Entinnes tulichea mziki hapo enzi za Clouds kipindi fulani miaka ya 1990 fulani ,Mbona sija sikia ukitaja Mbowe au kule walikweda masela zaidi?
Kwanini GENTAMYCINE nampenda na namkubali sana na mno Member Leejay49?TUngependa thread nzima ya story za enzi hizo milivyo kula bata na ikiwezekana vipicha basi tuone mambo yalivo kuwa maana inaonekana bata halikua la kitoto . Entinnes tulichea mziki hapo enzi za Clouds kipindi fulani miaka ya 1990 fulani ,Mbona sija sikia ukitaja Mbowe au kule walikweda masela zaidi?
Kwanini GENTAMYCINE nampenda na namkubali sana na mno Member Leejay49?Yangu nampa To yeye
Sijui kwa nini Mkuu niliposoma hii quote nikabakia nacheka tu. Lol.Hapana asifanye hivyo! Msimfuate huyo GENTAMYCINE mvuta bangi anayetafuta free P kama lara1 alivyokuwa anawaita.
Kubaki anonymous hapa JF ni muhimu sana kama mtu unataka kuwa na heshima zako katika jamii. Leejay49 jikalie kimya na huenda pengine wewe umri umekwenda au kabinti sura ya baba au ya mama nani anajua. Acha kila mtu ajenge hisia zake kichwani.
Usisahau sisi ndiyo sisi nje ya JF. Kuaibika hapa JF ni kuleta doa jeusi katika maisha ya kawaida.
Eeewaaaa!! 😂😂😂😂😂😂... utakuja unisaidie kushika gauni, au tushone sare kabisa
Sipigi kura maana haupo kwenye list🤦🏻♀️🤦🏻♀️🤦🏻♀️ au basi!
Kwanini GENTAMYCINE nampenda na namkubali sana na mno Member Leejay49?Sijui kwa nini Mkuu niliposoma hii quote nikabakia nacheka tu. Lol.
Ila usijali Mkuu sikuwa serious kiviile nilikuwa namtania tu huyo mdogo wangu Leejay49.
Huna baya mtu wangu😘😘❤Barikiwa sana
Pamoja sana manHuna baya mtu wangu
Mimi naomba nitumiwe picha zao Dm ili nipige Kura yangu!Kwema Wakuu!
Zikiwa zimebaki siku tano mwaka 2023 ukatike. Bila kujali kuwa humu wengi hatujuani na hatuna mpango wa kujuana. Lakini kuna ile kitu inaitwa Schema Yaani kujenga taswira ya kitu, jambo au mtu kabla hujamuona/hujamuona mtu huyo.
Je kwa Schema yako, unafikiri ni memba gani humu ingetokea tuzo ya u-miss JF angeshinda kwa mwaka 2023?
Wagombea ni kama ifuatavyo
1@Kalpana
2 To yeye
3. amu
4. Nifah
5. Leejay49
6. Lovebird
7. Donatila
8. FaizaFoxy
9. Mrs Besyige
10. Depal
11. Demi
Miss JF 2023. Ameng'arisha
Mimi naomba nitumiwe picha zao Dm ili nipige Kura yangu!
Blaza kweli kura yangu hujaiona au unataka kuiba kura [emoji23][emoji23]Piga kura Blaza
Bwana hebu piga kura, huu ni uchoyo ujue.Sipigi kura maana haupo kwenye list
mbona hujawekwa kwenye kinyang'anyiro[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nilikua natafuta comment yakoo.
Hatimaye nimeibambaa