Miss JF 2023: Nani ni Mrembo zaidi kushinda wenzake hapa JF kati ya wanawake wafuatao?

Miss JF 2023: Nani ni Mrembo zaidi kushinda wenzake hapa JF kati ya wanawake wafuatao?

Miss JF 2023: Nani ni Mrembo zaidi kushinda wenzake hapa JF kati ya wanawake wafuatao?


  • Total voters
    225
  • Poll closed .
= Ettiennes, wewe itakuwa unapasikia tu hapo kwa mama George na mwanawe. Hao wagiriki walikuwa wanamiliki hotel na Restaurants mbili tatu nzuri nzuri Dar. Ikiwemo Palm beach ya leo hii na nyingine ilikuwa inaitwa Georges Grill, hii ilikuwa ubavuni na Bank kuu ya zamani, nyuma ya karadha. Wa zamani watapaelewa, vijana wa siku hizi muulize tu tuwahadithie.
TUngependa thread nzima ya story za enzi hizo milivyo kula bata na ikiwezekana vipicha basi tuone mambo yalivo kuwa maana inaonekana bata halikua la kitoto . Entinnes tulichea mziki hapo enzi za Clouds kipindi fulani miaka ya 1990 fulani ,Mbona sija sikia ukitaja Mbowe au kule walikweda masela zaidi?
 
TUngependa thread nzima ya story za enzi hizo milivyo kula bata na ikiwezekana vipicha basi tuone mambo yalivo kuwa maana inaonekana bata halikua la kitoto . Entinnes tulichea mziki hapo enzi za Clouds kipindi fulani miaka ya 1990 fulani ,Mbona sija sikia ukitaja Mbowe au kule walikweda masela zaidi?
Nani wende mbowe, disko la washenzi hilo.

Watoto wa Kariakoo tulikuwa kwa circles zetu kijana.

Hayo siyo mambo ya kuandikkwa kumbukumbu, watu tunataka kusahau kabisa nyakati hizo mpaka itokee story moja kidogo hizi. Yapo ya kuandika lakini si hayo.

Tutakueleza tu kama hivyo, hapo palikuwa nini nani (who's who) alikuwa nani, na vitu kama hivyo.
 
TUngependa thread nzima ya story za enzi hizo milivyo kula bata na ikiwezekana vipicha basi tuone mambo yalivo kuwa maana inaonekana bata halikua la kitoto . Entinnes tulichea mziki hapo enzi za Clouds kipindi fulani miaka ya 1990 fulani ,Mbona sija sikia ukitaja Mbowe au kule walikweda masela zaidi?
Kwanini GENTAMYCINE nampenda na namkubali sana na mno Member Leejay49?

1. Ni Mrembo hakuna mfano

2. Ni Mwerevu wa uhakika

3. Ni Mstaarabu wa Kutukuka

4. Hana Dharau

5. Ni Mkarimu

6. Hana Majungu, Chuki na Wivu

7. Siyo Mnafiki na Mzandiki

Tafadhali TEAM GENTAMYCINE wote na Wengine mpeni Kura zenu nyingi mno Leejay49 ili aibuke Mshindi wa Shindano la Mrembo wa JamiiForums kwa mwaka huu wa 2023.

Kila la Kheri Leejay49 utashinda tu.
 
Kwanini GENTAMYCINE nampenda na namkubali sana na mno Member Leejay49?

1. Ni Mrembo hakuna mfano

2. Ni Mwerevu wa uhakika

3. Ni Mstaarabu wa Kutukuka

4. Hana Dharau

5. Ni Mkarimu

6. Hana Majungu, Chuki na Wivu

7. Siyo Mnafiki na Mzandiki

Tafadhali TEAM GENTAMYCINE wote na Wengine mpeni Kura zenu nyingi mno Leejay49 ili aibuke Mshindi wa Shindano la Mrembo wa JamiiForums kwa mwaka huu wa 2023.

Kila la Kheri Leejay49 utashinda tu.
 
Hapana asifanye hivyo! Msimfuate huyo GENTAMYCINE mvuta bangi anayetafuta free P kama lara1 alivyokuwa anawaita.

Kubaki anonymous hapa JF ni muhimu sana kama mtu unataka kuwa na heshima zako katika jamii. Leejay49 jikalie kimya na huenda pengine wewe umri umekwenda au kabinti sura ya baba au ya mama nani anajua. Acha kila mtu ajenge hisia zake kichwani.

Usisahau sisi ndiyo sisi nje ya JF. Kuaibika hapa JF ni kuleta doa jeusi katika maisha ya kawaida.
Sijui kwa nini Mkuu niliposoma hii quote nikabakia nacheka tu. Lol.

Ila usijali Mkuu sikuwa serious kiviile nilikuwa namtania tu huyo mdogo wangu Leejay49.
 
Sijui kwa nini Mkuu niliposoma hii quote nikabakia nacheka tu. Lol.

Ila usijali Mkuu sikuwa serious kiviile nilikuwa namtania tu huyo mdogo wangu Leejay49.
Kwanini GENTAMYCINE nampenda na namkubali sana na mno Member Leejay49?

1. Ni Mrembo hakuna mfano

2. Ni Mwerevu wa uhakika

3. Ni Mstaarabu wa Kutukuka

4. Hana Dharau

5. Ni Mkarimu

6. Hana Majungu, Chuki na Wivu

7. Siyo Mnafiki na Mzandiki

Tafadhali TEAM GENTAMYCINE wote na Wengine mpeni Kura zenu nyingi mno Leejay49 ili aibuke Mshindi wa Shindano la Mrembo wa JamiiForums kwa mwaka huu wa 2023.

Kila la Kheri Leejay49 utashinda tu.
 
Kwema Wakuu!

Zikiwa zimebaki siku tano mwaka 2023 ukatike. Bila kujali kuwa humu wengi hatujuani na hatuna mpango wa kujuana. Lakini kuna ile kitu inaitwa Schema Yaani kujenga taswira ya kitu, jambo au mtu kabla hujamuona/hujamuona mtu huyo.

Je kwa Schema yako, unafikiri ni memba gani humu ingetokea tuzo ya u-miss JF angeshinda kwa mwaka 2023?

Wagombea ni kama ifuatavyo
1@Kalpana
2 To yeye
3. amu
4. Nifah
5. Leejay49
6. Lovebird
7. Donatila
8. FaizaFoxy
9. Mrs Besyige
10. Depal
11. Demi

Miss JF 2023. Ameng'arisha
Mimi naomba nitumiwe picha zao Dm ili nipige Kura yangu!
 
Back
Top Bottom