Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
Umejuaje ni wanawake kweli? Na tuta judge vipi uzuri wao bila kuona picha zao halisi?Kwema Wakuu!
Zikiwa zimebaki siku tano mwaka 2023 ukatike. Bila kujali kuwa humuwengi hatujuani na hatuna mpango wa kujuana. Lakini kuna ile kitu inaitwa Schema Yaani kujenga taswira ya kitu, jambo au mtu kabla hujamuona/hujamuona mtu huyo.
Je kwa Schema yako, unafikiri ni memba gani humu ingetokea tuzo ya u-miss JF angeshinda kwa mwaka 2023?
Wagombea ni kama ifuatavyo
1@Kalpana
2 To yeye
3. amu
4. Nifah
5. Leejay49
6. Lovebird
7. Donatila
8. FaizaFoxy
9. Mrs Besyige
10. Depal
11. Demi
Miss JF 2023. Ameng'arisha
Muhakikishe amewajibu 🤣🤣Umejuaje ni wanawake kweli? Na tuta judge vipi uzuri wao bila kuona picha zao halisi?
😂😂😂tatizo sura za baba....wana nguvu na hupiga wanaumeMbeya kuna watoto wana milima hao balaaa nimemiss vitu vizuri Mbeya
Za kupotea nkamu?
[emoji3591][emoji3591][emoji3591] Mimi nachukuguliaga haya mashindano ya urembo kama udhalilishaji - kupalilia ile dhana kwamba mwanamke ni pambo tu na chombo cha starehe hapa duniani.
Nawajulia anatulia tuli mbele yangu😂😂😂tatizo sura za baba....wana nguvu na hupiga wanaume
Glenn aione kwenye Jalada.Ndo maana nauchukia unene[emoji23][emoji23][emoji23]
Ni mmoja pekee mkuu, na yupo kwenye list tayari.Usipommention ujue wapo wengi
Robert unapoteana sasa. You need time off.Kwema Wakuu!
Zikiwa zimebaki siku tano mwaka 2023 ukatike. Bila kujali kuwa humuwengi hatujuani na hatuna mpango wa kujuana. Lakini kuna ile kitu inaitwa Schema Yaani kujenga taswira ya kitu, jambo au mtu kabla hujamuona/hujamuona mtu huyo.
Je kwa Schema yako, unafikiri ni memba gani humu ingetokea tuzo ya u-miss JF angeshinda kwa mwaka 2023?
Wagombea ni kama ifuatavyo
1@Kalpana
2 To yeye
3. amu
4. Nifah
5. Leejay49
6. Lovebird
7. Donatila
8. FaizaFoxy
9. Mrs Besyige
10. Depal
11. Demi
Miss JF 2023. Ameng'arisha
Kwani mshindi anapewa nini jamani? 😜 Robert Heriel MtibeliHadi sasa unaongoza
Nzuri Nkamu za siku tele?
Na ndiyo sehemu ya watoto wazuri kujionyesha
Mada zingine ni udhalilishaji tu [emoji706][emoji706][emoji706]
Ndoa yako na Bi Chau haitakaa ivunjwe. Pambana na jitu lako.Kumbe unafuatiliaga nyayo zangu mkuu😂😂
Siku hizi mimi mtu mpya, fujo nimemwachia dogo langu mshamba_hachekwi
Mimi ni kiumbe kipya sasa😂😂
Wamekuachaje wewe? 😳😳🤔🤔[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] warushe picha tuthibitishe kweli 🫣🫣🫣
Kwani mwamba kapona UKIMWI na gono sugu au imekuwaje? Kuna tiba ya UKIMWI? [emoji15][emoji15][emoji15][emoji870]
[emoji23][emoji23] dah!! Mrs available anaupiga mwingiii.. apewe maua hata kama yameoza [emoji1787][emoji253][emoji253]
🤭[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji477]️[emoji477]️[emoji477]️
Fresh tu mnnatunyanyasa kishenzi yani sisi wenye sura na Shepu pasonoGym 😂