digba sowey
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,926
- 17,880
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na bado Bibi kizee anawapeleka mchakamchaka watoto Wadogo.
Faiza anawakilisha vizuri vikongwe wenzake
Jamani😂😂😂🙌Kama sifa hizo ni za Leejay49 AOLEWE si tunataka Mrembo akivaa swimmingsuit tuone hips
Tuone shape ya manati[emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani hata unaweza ku geuss kwa bibi ni paleeeee.
Mrembo atakayeenda social media competition kama Insta, Fb, badoo n.k
Sifa hizo hapo ana Demi
Lakini hapo awepo@Tayana-wog , Joanah na wale nimetaja.
Hao mtapiga sana kampeni. Hawauzikiiii
Wee@GENTAMYCIME hela yako italiwa na wajumbe tu
Mwanamke Material uko poa?😂😂😂👍👍Jamani😂😂😂🙌
Haya bhanaMwanamke Material uko poa?😂😂😂👍👍
nimeshampigia DepalKwema Wakuu!
Zikiwa zimebaki siku tano mwaka 2023 ukatike. Bila kujali kuwa humuwengi hatujuani na hatuna mpango wa kujuana. Lakini kuna ile kitu inaitwa Schema Yaani kujenga taswira ya kitu, jambo au mtu kabla hujamuona/hujamuona mtu huyo.
Je kwa Schema yako, unafikiri ni memba gani humu ingetokea tuzo ya u-miss JF angeshinda kwa mwaka 2023?
Wagombea ni kama ifuatavyo
1@Kalpana
2 To yeye
3. amu
4. Nifah
5. Leejay49
6. Lovebird
7. Donatila
8. FaizaFoxy
9. Mrs Besyige
10. Depal
11. Demi
Miss JF 2023. Ameng'arisha
Kura za maruhani hakuna jipya.
Cha ajabu mnaemponda ndie anaongoza kura hadi sasa
GENTAMYCIME umempa nini? Si kwa kampeni hizi. Hadi anagawa hela kwa wajumbe😂😂😂Haya bhana
Depal nakupenda sana ila basi tu ni kama huelewi hisia zangu
hahahah😂😂,, nimemwambia nitagawana nae likes na comments za ushindi 😂GENTAMYCIME umempa nini? Si kwa kampeni hizi. Hadi anagawa hela kwa wajumbe😂😂😂
Umenikumbusha enzi hizo Chit-chat na Celebrity forum hatari sana….halafu hapo kwenye list kuna pisi kali imewekwa lakini hadi sasa ina point chache sana hahahhahaha……! Enzi hizo “Leo tupo hapa”Nyanga kama hizi zilifanyika way back hapa JF, tulikuwa tunasponsor, kuna promoters, wapiga debe na mwisho mshindi anakula kitita...
Hata mi nimejiuliza sana inamaana wana " ke" kwa matumizi ya nyumbani au? Yaani shindano batili sana[emoji23][emoji23]Kwa hiyo sie ndo wanawake wa kiume ?