Omulasil
JF-Expert Member
- May 5, 2015
- 8,015
- 10,269
Ila sifa ya Ukarimu amekusingizia tu. Ina maana wengine hutuoni kutufanyia ukarimu?🤣🤣🏃♂️🏃♂️🏃♂️hahahah😂😂,, nimemwambia nitagawana nae likes na comments za ushindi 😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila sifa ya Ukarimu amekusingizia tu. Ina maana wengine hutuoni kutufanyia ukarimu?🤣🤣🏃♂️🏃♂️🏃♂️hahahah😂😂,, nimemwambia nitagawana nae likes na comments za ushindi 😂
😂😂😂😂Yaani hao waliorodheshwa kuwa walimbwende wenyewe wanaona aibu.
🌺🌺😘Amri kuu ni upendo, tumeagizwa tupendane.
Nakupenda pia CF 🤍🌹
Naomba tufahamiane dear
Kampigie kura bro. Yaani unampigia kura mwingine halafu unatakula kula kwingine.Cha ajabu mnaemponda ndie anaongoza kura hadi sasa
Kura nimeisha mpa kitambo sana, kwangu FaizaFoxy ndie mwanamke mwenye stara na heshima zaidi humu JFKampigie kura bro. Yaani unampigia kura mwingine halafu unatakula kula kwingine.
Love bila grease/oil haiendi. Fanya hivyo unanishuru PM chuma unakichomoa hicho mbona?😂😂😂
Broo nisaidie mtoto nimemuelewa sana asije akaniumiza moyo wanguDepal njoo huku soma huo moyo asije akafa na una uwezo wa kumsaidia🤣🤣
Nacheka hapa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hizi Koments sasa[emoji1787][emoji2960]!
Hesabu umemkosa Depal .yaani usifie huko ule kwake. Mi kama kaka wa binti nimekataaa. Akupe casual love tuKura nimeisha mpa kitambo sana, kwangu FaizaFoxy ndie mwanamke mwenye stara na heshima zaidi humu JF
Ngoja tukae kikao cha ndugu. Ila ubadili vote🏃♂️🏃♂️Broo nisaidie mtoto nimemuelewa sana asije akaniumiza moyo wangu
Yaniii Jf stress free zone unacheka hadi basi !Nacheka hapa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji109]Wanaume tumekuwa tunawa entertain sana hawa mademu ndiyo maana wamekuwa wakitupanda kichwani wakati hawana mchango wowote chanya kwenye maisha yetu