Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh nimewaza nikivaa swimming costume nakuaje😂😂😂😂. Ha haaa Umenichekesha sana aiseeKama sifa hizo ni za Leejay49 AOLEWE si tunataka Mrembo akivaa swimmingsuit tuone hips
Tuone shape ya manati[emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani hata unaweza ku geuss kwa bibi ni paleeeee.
Mrembo atakayeenda social media competition kama Insta, Fb, badoo n.k
Sifa hizo hapo ana Demi
Lakini hapo awepo@Tayana-wog , Joanah na wale nimetaja.
Hao mtapiga sana kampeni. Hawauzikiiii
Wee@GENTAMYCIME hela yako italiwa na wajumbe tu
Utawapiga gap mbaya.Duh nimewaza nikivaa swimming costume nakuaje😂😂😂😂. Ha haaa Umenichekesha sana aisee
Hakika
🤠🤠🤠Ngoja nitapita naked utoe comment
Sema wee dada binamu naogopa kupiga kwako watahisi . Dada binamu nyama ya hamu😂😂😂Hata sijui kuringa mwaya 🤣
Ndio maana upo moyoni sana.Hata sijui kuringa mwaya 🤣
Haya haya.. umeeleweka 👌Sema wee dada binamu naogopa kupiga kwako watahisi . Dada binamu nyama ya hamu😂😂😂
Ila unakimbiza
Au unasemaje?🤣🤣🤣🤣🤣
Hahaa niache huko huko basi 🤍Ndio maana upo moyoni sana.
Au tuingie tallying center . Kuna uchakachuaji wa matokeo🤣🤣🤣🤣Haya haya.. umeeleweka 👌
Nailed😂😂😂 ✍️
❤️❤️❤️❤️Hahaa niache huko huko basi 🤍
Mapovu ya omo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Haya Mapouuv ya humu sasa [emoji1787][emoji2960]
Kama jana nyukaso, 🤣🤣🤣Odds 900 ambazo game ya kwanza tu kitu kizito kinatua kwa kichwa? 🤣