Mitambo ya Bwawa la Mtera yapata hitilafu, mikoa 14 kukosa umeme

Wangesema umeme hautapatikana milele tujue moja.

Kama ni kutengeneza umeme wetu binafsi au la.
 
Kila mbuzi ale kwa urefu wa kamba yake ....kuna bibi alisikika .
 
 
Tunatema sana povu kwa machungu makubwa wahanga sisi lakini ukweli ni kua wanasoma coments zetu huku wana glass ya wine mikononi mwao huku wao waki coments KELEKE ZA VYURA HAZIWAZUII TEMBO KUTII KIU ZAO. Mbinguni sio mbali ila tutafika ndala mikononi.
 
Ndo michezo Yao hiyo [emoji4]
 
Wanaomtetea makamba waje Hapa,
Tulipewa mgao tukiambiwa mitambo inafanyiwa service, Sasa service gan ilifanyika na umeme unakatia Tena tunaambuwa mitambo mibovu
 
Unguja na pemba haziko kwenye mgao huu? Nimeuliza tu
 
Time for Generators... Ngoja wayalete... Tumemisi makelele yake mtaani... Maji tutaita mma...

Tutalia poo!..... Maninaaa
 
Hiv hawa watu hawajawahi kutembea nchi za ulaya wakaona nchi zao zilivyojengwa kila mahali?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…