Umesema kweli mkuu.
Mie kisa changu, wakati niko chuo cha hoteli menejimenti, tulikuwa na kundi sogozi (group) la darasa letu. Sasa mtihani wa semester ya mwisho kabisa ya kozi yetu nikawa ninatakiwa kufanya mtihani wa kutimiliza (supplimentary), yaani kila nikikumbuka siku ile matokeo yalivyotoka, watu ambao hawana supp, wakawa wanatupia picha za majoho wanasherekea kuwa tayari wamekamatia vyeti vyao. Sasa hapo mie ndio nina supp sijui kama nitaitoa au ndio nita i carry nisihitimu mwaka huo husika. Ilikuwa kila nikiona watu wanavyoshangilia kwenye group mie nasononeka, mwishowe nili left kwenye group.
Mie kisa changu, wakati niko chuo cha hoteli menejimenti, tulikuwa na kundi sogozi (group) la darasa letu. Sasa mtihani wa semester ya mwisho kabisa ya kozi yetu nikawa ninatakiwa kufanya mtihani wa kutimiliza (supplimentary), yaani kila nikikumbuka siku ile matokeo yalivyotoka, watu ambao hawana supp, wakawa wanatupia picha za majoho wanasherekea kuwa tayari wamekamatia vyeti vyao. Sasa hapo mie ndio nina supp sijui kama nitaitoa au ndio nita i carry nisihitimu mwaka huo husika. Ilikuwa kila nikiona watu wanavyoshangilia kwenye group mie nasononeka, mwishowe nili left kwenye group.