Kuna watu wanaviburi sana. Hata usemeje hawawezi kuelewa. Wanasema kusikia kwa kenge ni hadi damu imtoke puani.Na zawadi ya Mercedes Benz saloon la Mzee Ruksa hela uliitoa wewe? Najua kichwani we ni mtupu ngoja nikutengulie kitendawili! Majizi aliyokuwa ameyazibia mbinu JPM sasa yamepata access kupitia kwa SSH, nawahakikishia watanzania hii Kasi ya huyu mama ikiendelea hivi dawa hospitali zitakisa itabaki chanjo ya Covid tu kutoka kwa Biden
Ha ha ha ha ha ha ha ha [emoji23][emoji23][emoji23] sasa hatima ya inchi itakuwa inajadiliwa kitandani?!Bora Mama aachane na washauri wake na arudi kwa Mumewe achukuwe ushauri wa Mr Hifadh na mtaona Nchi itakua Safi Kama kipindi Cha Mzee Rukhusa!!
Huu ni mtandao gani?!Wiki hii karibia makampuni yote ya Simu yalikuwa yalikuwa yakisambaza jumbe fupi za kuwa kuanzia tarehe 16/8 kutakuwa na mabadiliko ya vifurushi.
Haikujulikana yangekuwa mabadiliko ya punguzo ama nyongeza ya bei.
Lakini leo asubuhi wakati nimejiandaa kwa mabadiliko hayo ghafla natumiwa jumbe fupi kuwa mabadiliko hayo yamesitishwa mpaka itakapotangazwa tena.
Tunashindwa kupongeza ama kuhoji maana hatukuambiwa ni mabadiliko ya aina gani.View attachment 1893981
Watanzania wepi hao ,wamitandao au ? Lipeni Kodi,acheni kuitisha serikali,mkihurumiwa mnasema serikali imewaogopa.hata msukule ukimfungia muda mrefu ndani afu siku ujichanganye uingie bandani haaa lazma upate mimba tena ya mapacha,iko siku ambayo haina tarehe watanzania wataamka tu yan,it's a matter of time tu
Eh jmn[emoji3166]kumbe walikuwa wanatania!Unajua hii haijakaa sawa kabisa na sio nzuri kibiashara. Haya ndio madhara ya kuchanganya siasa chafu za chama kisichojitambua uelekeo wake kiutendaji na shughuli serious za kiuchumi. View attachment 1893695
Serikali inataka kodi.Hivi nikuulize. Ni nani alipandisha hizo bei na gharama ambazo raia wanalalamika?!
Si ni serikali?!
Yaani taasisi ya urais iendeshwe kwa mawazo ya mke na mme? Unajua humu watu ni watupu Sana kichwani mwao,wanadhani nchi Ni familia ,Bora Mama aachane na washauri wake na arudi kwa Mumewe achukuwe ushauri wa Mr Hifadh na mtaona Nchi itakua Safi Kama kipindi Cha Mzee Rukhusa!!
Ni vile hawajaamua, sisi wenyewe tunaongeaaaa tu halafu basiNahisi wamesoma comments za raia mitandaoni wameona yajayo yanatisha jinsi namna raia walivyowaka na kumind na kujiandaa kutoa mitusi.
So wameona mmmmmmhmn hapa kitanuka tusiwajaribu hawa jamaa.....
We jamaa halafu mimi hiyo text hawajanitumia, au wanachagua? Wanaangalia nyie mnaoongea ongea sana sisi wanyonge wanatuacha tunyongeke??Unajua hii haijakaa sawa kabisa na sio nzuri kibiashara. Haya ndio madhara ya kuchanganya siasa chafu za chama kisichojitambua uelekeo wake kiutendaji na shughuli serious za kiuchumi. View attachment 1893695
Magufuli aliwambia hao kina Msoga waache kuwashwa washwa, maana walikuwa wanataka kumcontrol.Tatizo ni msoga.
Kama vipi waendee kwa babuMods mshanibadilishia heading yangu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Nyie jamaa ni wadwanzi sometimes kudadadeki zenu..... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wanyonge wa mitandaoni wanafurahia tajiri akifungiwa account akafilisiwa akawa kama shetani ila wao wakipewa kakodi kadogo tu kamasi kama zote.Dikteta alifilisi Nchi, mama amekuta hazina nyeupe, we jinga huna ujualo kaa kimiya
Peleka mamako akawe raisHuyu mama anachefua Sana.
Akili zitakukaa sawa tu *****!Nahisi mama kuna nati haziko sawa kichwani, anayumba sana.
Msoga ndo kitu ganiMsoga anatupa tabu wenzie....
Halina uwezo!Huyu mama anachefua Sana.
Uongo mtupuSerikali inataka kodi.
Hazina hakuna pesa, miradi ipo mikubwa, wafanyabiashara walishakamuliwa hawana cha kutoa labda uwafilisi wote, deni la taifa ni kubwa, bado nchi inataka maji, umeme, barabara n.k
Ni Kukubaliana tu na hali kama wafanyabiashara waliofungiwa account zao huko nyuma walivyokubaliana na hali.
Tulipe tozo mpaka serikali itakapopata mbadala. Tunataka matajiri waishi kama mashetani halafu katozo kadogo tu tunatoa makamasi.
Anaupiga mwingi mno😅Huyu mama anachefua Sana.