Mitandao ya simu ipige faida ya internet kwa mara ya mwisho. Elon Musk kuleta internet ya Starlink Tanzania

Hua najiuliza yule jamaa aliemtolea nape bastola kipindi cha magu kwanini hakumtwanga ya kichwa moja tu akatuondolea hili tatizo nape hua ukiigusa mitandao voda Airtel tigo halotel atawatetea kufa kupona usitegemee Elon musk Safar Yake iwe nyepes kuingia bongo na nape akiwa hapo
 
price ya star link nigeria ni 43 usd per month for unlimited data ni kama 100k ya kibongo . Speed yake 50- 200mbps . Kwa tz . Hii ni cheap . Na hardware price ni 600 usd . Kama 1.3m . Mkichanga kitaani na office use mnaishi
 
Rostam atapambana kuwazuia hawa

Rostam initially atapambana, but with time hataweza kushindana au kuzuia technology sbb hii gharama ya star Link ni watu wenye uwezo hapa Tz ndio watanunua, vyuo na institution binafsi nyingi etc.

Wananchi wa kawaida itakuwa ngumu kwao kwa gharama hizo, but it is a must have Internet, hiyo ni nzuri sana, hasa wakiweza unga kwa home na mobile devices kwa package hiyo moja ukilipia. Sbb kwa speed hiyo huhitaji line ya simu tena kupiga/to make calls, utatumia internet kila kitu, that looks good.
 
Wanaoitaka starlink ije wengi wao hawana uwezo wa kuihudumia. Hiyo ni nzuri kwa watu ambao wako remote areas, hapa mjini hata vodacom kwa 120,000 unapata unlimited 30Mbps
Kumbe hujui TTCL 200,000 unapata 100mbps
 
Wanaoitaka starlink ije wengi wao hawana uwezo wa kuihudumia. Hiyo ni nzuri kwa watu ambao wako remote areas, hapa mjini hata vodacom kwa 120,000 unapata unlimited 30Mbps
One starlink dish linaweza kuunganisha mpaka 128 devices full speed 105Mbps kwa wakati mmoja, sasa kwa dollar 99 kwa mwezi kwa matumizi ya watu 128 full speed mwezi mzima mbona ni bei rahisi sana compared na hao vodacom, sehemu kama vyuo au businesses zitafaidika sana, hii itakuwa mkombozi kwa wengi na ikitumiwa vizuri bila kuingiliwa na kina Nape na walamba asali wenzake itafanya internet iwe bei rahisi sana, tusubiri
 
Sio 99 usd ni 43 usd in africa
 
Rostam ndo mmiliki WA Tigo.Zantel ..kampuni zinazowakamua watanzania hela Kwa bando
Huyo Elon hakuta kuwa na malipo ya bando? Au unafikiri yatakuwa rahisi sana kiasi cha kuona wana tofauti? La hasha!
 

Rwanda tayari. Bado Kenya.
 
Wahusika watakubalu sasa 🤣🤣🤣🤣
 
Hivi huyo jamaa si aiingize kibabe tu juu kwa juu, hawa CCM na watu wake hawana akili ya kuzuia akili kubwa wao wanajua tu kutumia nguvu(polisi)
 
Reactions: PNC
mkiwa 128, huwezi pata 105mbps kwa wakati mmoja, hapo ni chini ya 1mps kwa kila mmoja, speed inagawanyika mzee
Acha uongo wewe.
Hakuna kugawanyika kwa mb au speed.

Na limit ya users kwa starlink ni 200 sio 128
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…