Tukio liliwekwa kwenye kumbukumbu kijana maana umekiri waliona Isa bandia kama original , huu uongo wa Allah ni WA kuupinga kwa nguvu zoteUnapotaja majina unaweka na andiko lenu kutikia nguvu hicho ulichosema.
Sababu historia inasema wanafunzi wa Yesu hawakuzidi hata 120, na kutokana manyanyaso ilikuwa ngumu kuelezea au kueneza Injili ya nabii Issa (Yesu) sababu ilikuwa ikisikika tu unauliwa.
Bado hujajibu maswali niliyo kuuliza. Nimekaa hapa nasubiri majibu ya maswali yangu.
Ukiambiwa una matatizo ya akili unatakiwa ujitathmini, jibu liko wazi huu ni upande wetu sisi waislamu kutokana na maandiko yetu sisi yaani Qur'aan.Huyu hapa nani amekiri walijua ni Yesu , swali lilifuta Allah baada ya kufanya shughuli ya uongo alikaa mda Gani kuja kusema alidanganya? Ni muhimu ujibu time
Soma ufafanuzi nilio kupa usipoteze muda kwenye hakuna.Kwa hiyo vitabu vyenu Al jallayn na ibn abas unathubitisha ni vya uongo?
Ushahidi ni wako maana ndio maandiko unayo yaaminiUkiambiwa una matatizo ya akili unatakiwa ujitathmini, jibu liko wazi huu ni upande wetu sisi waislamu kutokana na maandiko yetu sisi yaani Qur'aan.
Nataka kwa mujibu wa maandiko yenu ambayo wewe unaamini ya kuwa Yesu alisulubiwa ndiyo utuambie habari hizi aliziandika nani na walio shuhudia watano wakasema Yesu amesulubiwa nitajie. Kijana natumia Kiswahili chepesi sana.
Kwanini hujibu maswali ninayo kuuliza unadandia dandia hoja zangu ?Tukio liliwekwa kwenye kumbukumbu kijana maana umekiri waliona Isa bandia kama original , huu uongo wa Allah ni WA kuupinga kwa nguvu zote
Ufafanuzi umesema Al jallayn na ibn abas maandiko ya waislamu ni uongo wameandikaSoma ufafanuzi nilio kupa usipoteze muda kwenye hakuna.
Nasubiri majibu ya maswali yangu.
Nikipata wasaa nitakuja na uzi maalumu mtuambie hizi injili zenu ni nani aliziandika na kisha nitamalizia na uungu wa Yesu upo kimaandiko au ni Falsafa za Wagiriki maana hauingii akilini. Hiki ni kidokezo tu. Tuachane nacho kwa muda huu.
Kule sikukiri chochote kule nilielezea ninachokiamini.Ushahidi ni wako maana ndio maandiko unayo yaamini
Kwanza omba samahani kwa kudanganya haukukiri tukio waliona
Soma vizuri nilichokoandika kijana, kipo humu hakijafutika.Ufafanuzi umesema Al jallayn na ibn abas maandiko ya waislamu ni uongo wameandika
Umekiri hivyo vitabu havina ushahidi kutoka kwa hao watu , mpaka ndugu yake Muhamma Ibn Abbas ambae Muhamma alisema yeye ni mfasiri hodari umesema ni muongo 😂😂😂 na kitabu chake waislamu mmechezeshaKule sikukiri chochote kule nilielezea ninachokiamini.
Ule siyo ushahidi sababu unaenda kinyume na imani yako. Jibu swali nililo kuuliza.
Kijana soma nilichokiandika vizuri. Mbona kipo wazi.Umekiri hivyo vitabu havina ushahidi kutoka kwa hao watu , mpaka ndugu yake Muhamma Ibn Abbas ambae Muhamma alisema yeye ni mfasiri hodari umesema ni muongo 😂😂😂 na kitabu chake waislamu mmechezesha
Nasubiria uombe samahani kwa kupinga haukukiri waliona ni YesuKwanini hujibu maswali ninayo kuuliza unadandia dandia hoja zangu ?
Kijana una matatizo ya akili sasa huku unaelekea kunipotezea muda.Nasubiria uombe samahani kwa kupinga haukukiri waliona ni Yesu
Alafu uje useme Allah baada ya tukio la uongo alikaa mda Gani kuja kusema kweli
Omba samahani kwa kupinga hukusema waliona ni YesuKijana una matatizo ya akili sasa huku unaelekea kunipotezea muda.
Jibu maswali niliyo kuuliza.
Jibu Allah baada ya kudanganya kuhusu Isa alikaa mda Gani kuja kusema lililo kweli?Kijana una matatizo ya akili sasa huku unaelekea kunipotezea muda.
Jibu maswali niliyo kuuliza.
Kijana hapa lazima nikukande, na hakuna kupindisha maneno, soma maneno yangu yako wazi sana.Omba samahani kwa kupinga hukusema waliona ni Yesu
Kuwa muungwana
Kazi ya uongo ni ya shetani na watoto wake
Soma
Yohana 8:44
Neno: Bibilia Takatifu
44 Ninyi ni watoto wa baba yenu shetani; kwa hiyo mnapenda kufanya maovu kama yeye. Tangu mwanzo yeye alikuwa muuaji na hana uhusiano wo wote na mambo ya kweli; kwa maana hana asili ya kusema lililo kweli. Shetani anapodanga nya anadhihirisha asili yake kwa kuwa yeye ni mwongo na ni baba wa uongo.
Hili nilishalielezea huko nyuma.Jibu Allah baada ya kudanganya kuhusu Isa alikaa mda Gani kuja kusema lililo kweli?
Hujaeleza ,Hili nilishalielezea huko nyuma.
Nasubiri majibu ya maswali yangu. Hapa lazima nikukande kijana, hatulei wajinga na wapotoshaji.
Mtume aliye kipenzi cha allah aombewe tena? Mitume katika Kristo walimaliza wakiwa wanajua hatma yao. Huyu anayeombewa ni guesswork tu maana hata yeye hakujua hatma yake.Mwenyezi Mungu ndiye Mwingi wa rehema na Mwenye Kurehemu.
Mwanadamu anapokuwa hai, duniani anaomba rehema za Mwenyezi Mungu lakini anapofariki anambewa Mwenyezi Mungu amrehemu..
Kumbuka ata watume walikuwa wanadamu na walikuwa wanamuomba Mwenyezi Mungu, na kwakuwa tumeahidiwa kufufuliwa na kulipwa kwaiyo tunahitaji rehema za Mwenyezi Mungu duniani na aturehemu haela.
Kwa hili Kisai uje uwe muungwana uombe samahani kwa kudanganya haukukiri waliona ni Yesu msalabanijinu liko wazi, wao walijua ni Yesu,
Naona umeamua kumtumia Charles John Ellicott muanglikana akusaidie ambaye amezaliwa 1819. Katika maelezo hakuna sehemu amekanusha kuhusu kulaaniwa. Humo kapiga porojo za kusamehewa dhambi ya kwamba laana zetu zimebebwa.Gusa link , usirudie rudie swali