Mitume walikuwa wanaomba kuombewa na wafuasi kipindi wanafanya huduma. Kwanini mwingine anaombewa hata baada ya kufa?

Mitume walikuwa wanaomba kuombewa na wafuasi kipindi wanafanya huduma. Kwanini mwingine anaombewa hata baada ya kufa?

Hili ufafanuzi wake unakuja na jepesi sana.

Utaweka hilo andiko umelipata wapi kisha uchambuzi nitakupa.

Turudi katika nukta ya msingi, ya maswali yangu mawili :

1. Nitajie watu watano tu walio shuhudia Yesu akisulubiwa kama mnavyo amini.

2. Yohana mnasema ni Mtume, nani alimpa utume na habari za Yesu Yohana alizipata kwa nani ?
Nilikuuliza swali ili upate jibu lako , kitendo Cha Allah kuweka mtu mwingine watu waliomsulubisha waliona kama ni original au waliona ni fake?
 
Huo mwili uliolaaniwa ulikuwa wa shetani hadi useme unayemuabudu hana mwili😀? Wote wamelaaniwa.
Huyo aliyetundikwa msalabani ule ni mwili au sanamu? Umeanzisha pumba naona
Kwa nini unakwepa nondo zangu
Koran 24:35. Mwenyezi Mungu ni Mwanga wa Mbingu na Ardhi....
John 8:12 Yesu alipozungumza nao tena, aliwaambia, “Mimi ndimi mwanga wa ulimwengu.
 
Nilikuuliza swali ili upate jibu lako , kitendo Cha Allah kuweka mtu mwingine watu waliomsulubisha waliona kama ni original au waliona ni fake?
Kijana jibu swali nilo kuuliza. Hilo nimeshalotolea ufafanuzi.

Halafu unauliza maswali ya kitoto sana, jinu liko wazi, wao walijua ni Yesu, ndiyo maana Allah akaweka ufafanuzi alimuweka mtu mwenye kufanana na Yesu, ili wale wanao msulubu wajue ni Yesu lakini si Yesu.

Sasa turudi kwenye swali langu, nitajie hao walio shuhudia Yesu akisulubiwa.
 
Hujatoa ufafanuzi wowote
Jibu walio msulubisha waliona Isa original au fake ?
Unaelewa nini ukiambiwa amefananizwa na mwingine ? Maana yake walio msulubu walijia huyo ni Yesu.

Sasa nataka unijibu kwa mujibu wa imani yako, ututajie watu wa tano tu walio shuhudia ya kuwa Yesu amesulubiwa, na utuambie hizo habari za kusulubiwa zimeandikwa na nani kwenye kitabu chenu.
 
Unaelewa nini ukiambiwa amefananizwa na mwingine ? Maana yake walio msulubu walijia huyo ni Yesu.
Sawa tumemaliza walio ona ni wakweli na Alie wafananishia ni muongo 😂 biblia ni kweli tupu
 
Jibu hili kwanza
Koran 24:35. Mwenyezi Mungu ni Mwanga wa Mbingu na Ardhi....
John 8:12 Yesu alipozungumza nao tena, aliwaambia, “Mimi ndimi mwanga wa ulimwengu.
Huo mwili uliolaaniwa ulikuwa wa shetani hadi useme unayemuabudu hana mwili😀? Wote wamelaaniwa. Hakuna asiye na roho hapa. Hiyo John 8:12 tunapinga na Wagalatia 3:13 na Mwanzo 3:14. Mtu aliyelaaniwa aweze kuwa mwanga wa ulimwengu. Hiyo moja kwanza.
Tukija hapo hiyo moja Kwanza. Maana naona unatumia haya za mifano.

Nasi hatukukutuma ila uwe ni Rehema kwa walimwengu wote(Quran 21:107)

"Kwa jina la Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema mwenye kurehemu. Sifa njema zote ni za Mwenyeezi Mungu, Mola Mlezi wa viumbe vyote; Mwingi wa Rehema Mwenye Kurehemu.." (Kurani 1:1-3)

Nimekupa hapo mfano wa aya. Haina maana mtume ni Mungu kisa aya imesema ni rehma ya ulimwengu wote. Kwa hiyo kijana acha bangi.

Mifano kama ya kulaaniwa haiwezi kutumika kwa Mungu kama Wagalatia 3:13. Umesikia kijana. Naona unaleta bangi za kanisani

Wagalatia 3:13​

Kristo alitukomboa kutoka katika laana ya sheria kwa kujitwalia laana hiyo kwa ajili yetu; maana Maandiko yanasema: “Yeyote aliyetundikwa msalabani amelaaniwa.”



Mwanzo 3:14​

Kisha Mwenyezi-Mungu akamwambia nyoka, “Kwa kuwa umefanya hivyo, umelaaniwa kuliko wanyama wote wa kufugwa, na kuliko wanyama wote wa porini.
 
Huo mwili uliolaaniwa ulikuwa wa shetani hadi useme unayemuabudu hana mwili😀? Wote wamelaaniwa. Hakuna asiye na roho hapa. Hiyo John 8:12 tunapinga na Wagalatia 3:13 na Mwanzo 3:14. Mtu aliyelaaniwa aweze kuwa mwanga wa ulimwengu. Hiyo moja kwanza.
Tukija hapo hiyo moja Kwanza. Maana naona unatumia haya za mifano.

Nasi hatukukutuma ila uwe ni Rehema kwa walimwengu wote(Quran 21:107)

"Kwa jina la Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema mwenye kurehemu. Sifa njema zote ni za Mwenyeezi Mungu, Mola Mlezi wa viumbe vyote; Mwingi wa Rehema Mwenye Kurehemu.." (Kurani 1:1-3)

Nimekupa hapo mfano wa aya. Haina maana mtume ni Mungu kisa aya imesema ni rehma ya ulimwengu wote. Kwa hiyo kijana acha bangi.

Mifano kama ya kulaaniwa haiwezi kutumika kwa Mungu kama Wagalatia 3:13. Umesikia kijana. Naona unaleta bangi za kanisani

Wagalatia 3:13​

Kristo alitukomboa kutoka katika laana ya sheria kwa kujitwalia laana hiyo kwa ajili yetu; maana Maandiko yanasema: “Yeyote aliyetundikwa msalabani amelaaniwa.”



Mwanzo 3:14​

Kisha Mwenyezi-Mungu akamwambia nyoka, “Kwa kuwa umefanya hivyo, umelaaniwa kuliko wanyama wote wa kufugwa, na kuliko wanyama wote wa porini.
Jibu hili kwanza
Koran 24:35. Mwenyezi Mungu ni Mwanga wa Mbingu na Ardhi....
John 8:12 Yesu alipozungumza nao tena, aliwaambia, “Mimi ndimi mwanga wa ulimwengu.
 
Kwa nini unakwepa nondo zangu
Koran 24:35. Mwenyezi Mungu ni Mwanga wa Mbingu na Ardhi....
John 8:12 Yesu alipozungumza nao tena, aliwaambia, “Mimi ndimi mwanga wa ulimwengu.
Nimeshakujibu tayari. Tunaendelea na somo. Kwa hiyo kijana uache bangi.
Nataka unijibu aliyelaaniwa kwenye galatia 3:13 ni mwili wa nani?
 
Huo mwili uliolaaniwa ulikuwa wa shetani hadi useme unayemuabudu hana mwili😀? Wote wamelaaniwa. Hakuna asiye na roho hapa. Hiyo John 8:12 tunapinga na Wagalatia 3:13 na Mwanzo 3:14. Mtu aliyelaaniwa aweze kuwa mwanga wa ulimwengu. Hiyo moja kwanza.
Tukija hapo hiyo moja Kwanza. Maana naona unatumia haya za mifano.

Nasi hatukukutuma ila uwe ni Rehema kwa walimwengu wote(Quran 21:107)

"Kwa jina la Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema mwenye kurehemu. Sifa njema zote ni za Mwenyeezi Mungu, Mola Mlezi wa viumbe vyote; Mwingi wa Rehema Mwenye Kurehemu.." (Kurani 1:1-3)

Nimekupa hapo mfano wa aya. Haina maana mtume ni Mungu kisa aya imesema ni rehma ya ulimwengu wote. Kwa hiyo kijana acha bangi.

Mifano kama ya kulaaniwa haiwezi kutumika kwa Mungu kama Wagalatia 3:13. Umesikia kijana. Naona unaleta bangi za kanisani

Wagalatia 3:13​

Kristo alitukomboa kutoka katika laana ya sheria kwa kujitwalia laana hiyo kwa ajili yetu; maana Maandiko yanasema: “Yeyote aliyetundikwa msalabani amelaaniwa.”



Mwanzo 3:14​

Kisha Mwenyezi-Mungu akamwambia nyoka, “Kwa kuwa umefanya hivyo, umelaaniwa kuliko wanyama wote wa kufugwa, na kuliko wanyama wote wa porini.
Jibu hili kwanza
Koran 24:35. Mwenyezi Mungu ni Mwanga wa Mbingu na Ardhi....
John 8:12 Yesu alipozungumza nao tena, aliwaambia, “Mimi ndimi mwanga wa ulimwengu.
 
Nimeshakujibu tayari. Tunaendelea na somo. Kwa hiyo kijana uache bangi.
Nataka unijibu aliyelaaniwa kwenye galatia 3:13 ni mwili wa nani?
Tumalize tusiruke ruke , Yani umefikia maali unadai Allah na Muhamma wapo sawa 😂😂😂😂😂

Koran 57:3. Yeye ndiye wa Mwanzo na ndiye wa Mwisho,
Rev 22:12.“Sikiliza!” Asema Yesu..... 13Mimi ni Alfa na Omega, wa kwanza na wa mwisho, mwanzo na mwisho.”
 
"Kwa jina la Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema mwenye kurehemu. Sifa njema zote ni za Mwenyeezi Mungu, Mola Mlezi wa viumbe vyote; Mwingi wa Rehema Mwenye Kurehemu.." (Kurani 1:1-3)
Allah anakuwa anajisahau anataja Mungu mwingine 😂😂😂😂😂
Eti Allah anaongea alafu anasema kwa jina la Mwenyezi Mungu 😂😂😂 Muhammad ndio katunga hapo anajifanya ni Allah
 
Allah anakuwa anajisahau anataja Mungu mwingine 😂😂😂😂😂
Eti Allah anaongea alafu anasema kwa jina la Mwenyezi Mungu 😂😂😂 Muhammad ndio katunga hapo anajifanya ni Allah
Hauwezi kuelewa ikiwa biblia umelishwa matango pori. Tunarudi kwenye swali. Laana maana yake ni giza. Hata siku moja nuru haiwezi kuwa sawa na giza.
Tunarudi palepale kutaka kujua kama kristo na shetani wote wamepewa laana.

Ukisingizia ni mwili. Mtu hawezi kukamilika hadi awe na roho na mwili. Roho ikiacha mwili maana yake umekufa. Huyo mnaomuabudu alikuwa na mwili na roho pamoja. Mnadai waroma walimpa kisago.
Inakuwaje mtu mwenye nuru alaaniwe?
 
Hauwezi kuelewa ikiwa biblia umelishwa matango pori. Tunarudi kwenye swali. Laana maana yake ni giza. Hata siku moja nuru haiwezi kuwa sawa na giza.
Tunarudi palepale kutaka kujua kama kristo na shetani wote wamepewa laana.

Ukisingizia ni mwili. Mtu hawezi kukamilika hadi awe na roho na mwili. Roho ikiacha mwili maana yake umekufa. Huyo mnaomuabudu alikuwa na mwili na roho pamoja. Mnadai waroma walimpa kisago.
Inakuwaje mtu mwenye nuru alaaniwe?
Alie andika Koran alikuwa anashindwa kujiweka kuwa Mungu alikuwa anajistukia 😂😂😂😂

Allah anasema Koran 22:62. Hayo ni kwa kuwa Mwenyezi Mungu ndiye Wa Kweli,....

Yesu anatoa jibu John 14: 6Yesu akamjibu, “Mimi ni njia, na ukweli na uhai.
 
Allah anakuwa anajisahau anataja Mungu mwingine 😂😂😂😂😂
Eti Allah anaongea alafu anasema kwa jina la Mwenyezi Mungu 😂😂😂 Muhammad ndio katunga hapo anajifanya ni Allah
Usiwe unakimbia maswali yangu kijana. Nataka unijibu kuna kulaaniwa nusu😀😀? Pia ukitoa aya usiwe unazikata. Mbona mi nakuwekea nzima nzima.
Kwa nini mnamuabudu kiumbe aliyelaaniwa kama shetani?


Wagalatia 3:13​

Kristo alitukomboa kutoka katika laana ya sheria kwa kujitwalia laana hiyo kwa ajili yetu; maana Maandiko yanasema: “Yeyote aliyetundikwa msalabani amelaaniwa.”
 
Ipo wazi baba atatangaza
Rudi hapa Muhammad anadanganya wazi kabisa
Book 041, Number 7051: Anas reported that a person asked Allaah's Messenger, sallallaahu alayhi wa sallam, as to when the Last Hour would come. He had in his presence a young boy of the Ansar who was called Muhammad. Allaah's Messenger, sallallaahu alayhi wa sallam, said: If this young boy lives. He may not grow very old till (he would see) the Last Hour coming to you
Usikimbie swali😀. Kwa nini mnamuabudu kiumbe kilicholaaniwa kama shetani? Kiumbe kilicholaaniwa maana kipo mbali na rehma ya Mwenyezi Mungu. Binadamu lazima awe na roho ili mwili ufanye kazi.
Kwa nini mnamuabudu mtu aliyelaaniwa kama shetani?

Wagalatia 3:13​

Kristo alitukomboa kutoka katika laana ya sheria kwa kujitwalia laana hiyo kwa ajili yetu; maana Maandiko yanasema: “Yeyote aliyetundikwa msalabani amelaaniwa.”
 
Usikimbie swali😀. Kwa nini mnamuabudu kiumbe kilicholaaniwa kama shetani? Kiumbe kilicholaaniwa maana kipo mbali na rehma ya Mwenyezi Mungu. Binadamu lazima awe na roho ili mwili ufanye kazi.
Kwa nini mnamuabudu mtu aliyelaaniwa kama shetani?

Wagalatia 3:13​

Kristo alitukomboa kutoka katika laana ya sheria kwa kujitwalia laana hiyo kwa ajili yetu; maana Maandiko yanasema: “Yeyote aliyetundikwa msalabani amelaaniwa.”
Yani unaona kabisa kajitwalia laana unasema kalaaniwa utakuwa chizi

Koran 24:35. Mwenyezi Mungu ni Mwanga wa Mbingu na Ardhi....
John 8:12 Yesu alipozungumza nao tena, aliwaambia, “Mimi ndimi mwanga wa ulimwengu.
 
Back
Top Bottom