Kumbe kunauwezekano wa kuwapata wanaccm wenye akili!!"Kuna mambo ambayo sisi CCM kama chama tawala lazima tubebe dhima. Tutoe uongozi. Kwa, mfano hili la Tume Huru ya Uchaguzi kizuizi ni nini? Hili ni jambo ambalo lazima tukubaliane na wenzetu wa upinzani na tuanze mchakato wa kuwa na Tume Huru ya Uchaguzi"
Chanzo: Darmpya
Kwahiyo anafuta ile kauli yake ya "wapigwe tu"?"Kuna mambo ambayo sisi CCM kama chama tawala lazima tubebe dhima. Tutoe uongozi. Kwa, mfano hili la Tume Huru ya Uchaguzi kizuizi ni nini? Hili ni jambo ambalo lazima tukubaliane na wenzetu wa upinzani na tuanze mchakato wa kuwa na Tume Huru ya Uchaguzi"
Chanzo: Darmpya
Vyama vya upinzani ikitokea ccm na serikali wako tayari kwenda kwenye dialogue kwajili ya kuboresha tume ya uchaguzi wasipoteze hii fursa washiriki kikamilifu.Umenena point tupu mkuu!
Na sisi kwa mtazamo wa mzee huyu imepaswa tuongoze gia ili tukoleze mwendo wa kuipata Tume huru ya uchaguzi
Mungu wabariki Wazungu
Mh π€π€ ngoja waje MATAGA tusikie wanasemaje!!"Kuna mambo ambayo sisi CCM kama chama tawala lazima tubebe dhima. Tutoe uongozi. Kwa, mfano hili la Tume Huru ya Uchaguzi kizuizi ni nini? Hili ni jambo ambalo lazima tukubaliane na wenzetu wa upinzani na tuanze mchakato wa kuwa na Tume Huru ya Uchaguzi"
Chanzo: Darmpya
Ameamua kutumika makusudiMzee wetu ajenda kwa sasa ni KATIBA Mpya ambayo ndani yake kuna huo muundo wa hiyo tume unayosemea. hatutaki mambo nusu nusu.
Kitambo sana Chiefvp wewe ambaye sio mpinzani ushatoboa?
Hujui maana ya uzalendo!Tume huru ya Uchaguzi sio kitisho sana kwa CCM
Kama Ccm inaweza kuwa na Wazalendo hadi ndani ya vyama vikuu vyenyewe vya Upinzani ndio itakosa 'Wazalendo' kwny hiyo Tume huru
But ilikuwa bora zaidi ya hii, ilikuwa ni sehemu nzuri ya kuanziaHivi wewe unadhani kila Kitabu kutoka BMK ilikuwa Katiba! Tanganyika bado kuna tatizo kubwa sana!
Hujui maana ya uzalendo!
Uchunguzi wangu umebaini kwamba Mizengo Pinda ametumwa kujaribu kufifisha madai ya Katiba Mpya , huwezi kuwa na Tume Huru bila kuwa na Katiba mpya , katiba itakayomg'oa meno Mwenyekiti wa ccmView attachment 2047118
Hii inatoka moyoni akimaanisha tume huru kweli kweli?! Au ni chezo CCM wanataka kutufanya mazuzu tuingie kwenye 18?
Tumeshuhudia mahakama ikijidhirisha kutokuwa huru, tumeona tume huru ya Jecha wa Jecha ilichofanya kule Zanzibar.
Tumuunge mkono Pinda kwa tahadhari kubwa sana, atazamwe kwa jicho la tatu.
Mchakato ulishavurugwa na akina Lipumba, Slaa, Mbowe (UKAWA)CCM si mliendelea na Bunge la Katiba mpya na mkapigisha kura Hadi watu waliokuwa mahututi huko India Ili column ienee!
Na tukabiwa Katiba pendekezwa imepitishwa na kilichobaki ni kupeleka Kwa wananchi ikapigiwe kura!!!
Sasa swali:Kushupaza shingo kulizuia Nini CCM/Serikali kuipeleka Katiba pendekezwa Kwa wananchi ikapigiwe kura???
Acheni ujinga!
πππππWataweza? Je mtawezana π€Έπ€Έπ€Έ
Haimaanishi kwamba ndo haiwezekanagi tena π€£π€£π hii kitu mnaiogopa kama ukoma ππππMchakato ulishavurugwa na akina Lipumba, Slaa, Mbowe (UKAWA)