Jpm yuko mbinguni,, kabla hajakata roho, aliongoza nyimbo za kuabudu na sara kwa ndugu na manesi , hii ilisemwaMission za wahuni. Mkapa na MagufuliJP ndo walionekana kuwa vizingiti kwa wapigaji wahuni. It was planned for me. Wahuni wanakera sana
Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
[emoji848]Mbwa Kala mbwa
Alimwona mwenzake ni kikwazo kwa kuongeza muda was kula bata 2025,akamtanguliza,wajuzi waliusoma mchezo wakamlamba kabisa
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Ni kweli aisee! Hawa wameua watu wengi kuliko huyo mmoja!Pia unaweza kuua wengi kwa kuruhusu madawa, rushwa, ufisadi, kodi, tozo, pembejeo ziwe juu zaidi.
Mabinti wanaamua kudanga, vijana kuwa wezi, mateja, kubet, ujambazi, wanakuibia wewe na mimi, bibi yako. Mateja ni tatizo kwa familia nzima, ukoo, usumbufu mtupu.
Kukosa ajira inawachanganya vijana wengi wanapata matatizo ya akili. Same kwa Wakulima, wafanyabiashara. Wengi wanajiua.
Sera makini ni muhimu kuliko kitu chochote.
Shukurani sana mkuu, leo nimepata mwanga fulani kwa mbaaaliMkakati ulikuwa ukipangwa kwa mda mrefu jinsi ya kumuondoa kwa kuwa aliingilia viongozi wengi mali zao walizoiba kwenye chama..na serikalini..Lakini pia alitaka wqlioe kodi kwenye biashara zao..Hili liliwauma sana..Ndo maana kila alipotoa maelekezo,,walioelekezwa walifanya mambo ya ovyo ili kumchonganisha na wananchi..mafno mauaji mbalimbali..kwqni haya yalifqnyikq bilq maelekezo yake bali alishitua limetokea.Bqada ya kumchonganisha na wanachi wake,,wakaonq njiq bora ya kumuondoa ilikuwa kiwqondoa watu wake wa karibu..ndo wakaanza na mkapa, wakafuata watu wa karibu yake kama maalimu ..kijazi nk..Baada ya vifo vingi yeye alikaa mda mrefu chato hadi waziri wa nje wa China na Rais wa msumbiji akaja chato.Wakati huo aliishapata taarifa za mipango ya mauaji yake...akatumia watu anao waamini kwenye systwm wakamuaminishq kuwa sasaa kila kitu kikopoa..ndo akarudi..harafu wapangaji wakampangia ziara za morogoro..na dar ili kwenye msafara wamalize kazi na divyo walivyomumaliza..ila nia kagenge kadogo sana akiwemo kiainaainq,ikweta,,manyuzi..etc
Magu alifika pale kwa sababu ya Ben, sasa atamuuaje mtu aliye mfikisha pale?Kwa maoni yangu Mimi magu alimuua mkapa naye akauawa na corona
Ratiba iliyopangwa ipi hiyo? Kwani Magu kipindi hicho hakuwa rais,kwa sababu ratiba ilipangwa mwaka 2014 mwezi wa 4.
Usimpangie..!Jinga kabisa baada ya kusikitika na kuwaombea wazazi wako siku wakifariki......wewe upo bize na bichwa nundu jitu lenye roho mbaya JPM,lilale pabaya motoni
Kama afikiliavyo babayako😅😅magu yeye kwa akili zake za kijinga alidhani ataishi milele?
Ni kweli aisee! Hawa wameua watu wengi kuliko huyo mmoja!
Kama wazazi wakoJinga kabisa baada ya kusikitika na kuwaombea wazazi wako siku wakifariki......wewe upo bize na bichwa nundu jitu lenye roho mbaya JPM,lilale pabaya motoni
Ni kweli aisee! Hawa wameua watu wengi kuliko huyo mmoja!
offbeat kaa kwenye mada huna point pita kimyakimya sio mpaka ucommentSukuma gang. Rejection/denial disorder itawaua. Kubalini tu kwamba mzimu wenu ushaenda. Sasa ukijadili ndiyo atafufuka?
Au unadhani Mzena hospital walitupatia mgomba yeye bado wamemficha?
Dah.Vilipangwa, mkakati, inner cycle, watu wa karibu, muhimu wote kuondelewa. Mfugale, kijazi, Waziri wa Majeshi,wote ilibidi wauliwe, Wafe.
Mangula ye aliponea chupuchup!Kifo humpasa mwanadamu kumfika hilo halina ubishi.
Lakini kwa nini kifo cha Mkapa na Magufuli vilifuatana?!
watu wamesahau Mpango aliponea tundu la sindano na akaambiwa aongee na media kuwa yupo salama huku analia............Sasa hao wengine "waliuawa:" kwa sababu walikuwa na athari gani na kwa akina nani kama ambavyo mnajaribu kuaminisha watu kwamba JPM aliuawa kwa sababu alikuwa threat kwa baadhi ya watu?! Btw, kwani utawala wa sasa upo kwenye COVID-19 Denial kama ulivyokuwa utawala wa Magu?! Wakati wenzenu wamechanja, utawala wa Magu ulikuwa unasemaje kuhusu chanjo?! Au unajisahaulisha? Na unataka kujisahaulisha hata Mpango alipoponea tundu la sindano kwa hiyo hiyo COVID-19?
pia hata Tundu Lissu sijui bado malipo yaanasubiriwa au yalishajilipa au..............Hakika ni kundi kubwa la watanzania linajiuliza hili swali.
Tuendelee kumuomba Mungu.
Malipo ni hapa hapa Duniani na huwa hayachelewi.
Ukiua kwa Upanga utakufa kwa Upanga siku zaja.
Wewe uko kwenye hali mbaya sana ya sukuma gang disorderoffbeat kaa kwenye mada huna point pita kimyakimya sio mpaka ucomment
We ni mwehu kwel yaan, pumbav kabsaSukuma gang. Rejection/denial disorder itawaua. Kubalini tu kwamba mzimu wenu ushaenda. Sasa ukijadili ndiyo atafufuka?
Au unadhani Mzena hospital walitupatia mgomba yeye bado wamemficha?