Daah ulivyoanza sentensi ya mwanzo kwa mkwala nikajua wajua mengi kumbe waungua na jua tuu [emoji13][emoji13]Acha kudanganya watu wewe! Magu kamwingilia kiongozi gani?! Hivi mbali na ku-deal na baadhi tu ya wafabiashara, JPM aliwahi kumshughulikia kiongozi yeyote yule?! Kama yupo, mtaje hapa manake sie tunaofuatilia mambo mara kwa mara tulikuwa tukimsikia akisema "...waacheni wazee wapumzike"! Na hadi ametoka, hakumgusa kiongozi wa chama wala serikali!!
Sawa lkn pia tukubaliane tu kuwa baba hakuwa msafi Sana japo alijificha nyuma ya legacyIla tukubaliane kila afae lazima iwepo sababu ya kifo chake, ama ugonjwa, vitani, ajali, sumu n.k.
Mbwa Kala mbwaJadili kwa uhuru
Wewe ndio unahangaika na hilo japo halina msingi, mtu ameshakufa amekufa tu na wewe ndio unajua hayo ya huyu sijui alikuwa mtu mkubwa lakini Mungu yeye hajui hayo, kwake nafsi zote ni sawa.Kifo ni kifo, wote tutapita hapo. Ila Mazingira ya kupita hapo lazima yachunguzwe kwa viongozi wakuu, wakubwa.
Wewe ndio unahangaika na hilo japo halina msingi, mtu ameshakufa amekufa tu na wewe ndio unajua hayo ya huyu sijui alikuwa mtu mkubwa lakini Mungu yeye hajui hayo, kwake nafsi zote ni sawa.
Rubbish.Sukuma gang. Rejection/denial disorder itawaua. Kubalini tu kwamba mzimu wenu ushaenda. Sasa ukijadili ndiyo atafufuka?
Au unadhani Mzena hospital walitupatia mgomba yeye bado wamemficha?
Sukuma gang. Rejection/denial disorder itawaua. Kubalini tu kwamba mzimu wenu ushaenda. Sasa ukijadili ndiyo atafufuka?
Au unadhani Mzena hospital walitupatia mgomba yeye bado wamemficha?
Hapo sasa 🥱😤Vipi kuhusu vifo vya wengine ndani ya miezi mitatu. Sasa hivi hakuna kiongozi anyekufa na Corona, ugonjwa wa moyo, ugonjwa wowote.
Kwanini vifo vinatok3a kila siku? [emoji849]Kifo humpasa mwanadamu kumfika hilo halina ubishi.
Lakini kwa nini kifo cha Mkapa na Magufuli vilifuatana?!
Inawezekana baada ya kufa hatua zilianza kuchukuliwaTuseme ilikuwa Corona... then baada ya kuondoka Magufuli na Corona ndio ikaishia pale..
Mpaka iliporudi tena omicron hivi karibuni, sijui hii itaishia kwa nani, let's wait and see.
Takataka!Rubbish.
Bashir, Bashite, Polepole hawakua inner circle?Vilipangwa, mkakati, inner cycle, watu wa karibu, muhimu wote kuondelewa. Mfugale, kijazi, Waziri wa Majeshi,wote ilibidi wauliwe, Wafe.
Tupe break kidogoTuwaache wapumzike kwa amani
Kikwete alitaka kurudi ikulu
Bashir, Bashite, Polepole hawakua inner circle?
AiseeMkakati ulikuwa ukipangwa kwa mda mrefu jinsi ya kumuondoa kwa kuwa aliingilia viongozi wengi mali zao walizoiba kwenye chama..na serikalini..Lakini pia alitaka wqlioe kodi kwenye biashara zao..Hili liliwauma sana..Ndo maana kila alipotoa maelekezo,,walioelekezwa walifanya mambo ya ovyo ili kumchonganisha na wananchi..mafno mauaji mbalimbali..kwqni haya yalifqnyikq bilq maelekezo yake bali alishitua limetokea.Bqada ya kumchonganisha na wanachi wake,,wakaonq njiq bora ya kumuondoa ilikuwa kiwqondoa watu wake wa karibu..ndo wakaanza na mkapa, wakafuata watu wa karibu yake kama maalimu ..kijazi nk..Baada ya vifo vingi yeye alikaa mda mrefu chato hadi waziri wa nje wa China na Rais wa msumbiji akaja chato.Wakati huo aliishapata taarifa za mipango ya mauaji yake...akatumia watu anao waamini kwenye systwm wakamuaminishq kuwa sasaa kila kitu kikopoa..ndo akarudi..harafu wapangaji wakampangia ziara za morogoro..na dar ili kwenye msafara wamalize kazi na divyo walivyomumaliza..ila nia kagenge kadogo sana akiwemo kiainaainq,ikweta,,manyuzi..etc