Mjadala kuhusu chanzo cha ulimwengu na maisha



Hiyo nguvu ya nje ilitoka wapi kaka ? Na kipi kimejulisha kulikuwepo na nguvu ya nje ?
 
Chukulia Dunia ndio jf, kisa wengine hatumfahamu Mr Melo ndio tuseme ilijiunda??? No. Dunia imeumbwa na Mjuuzi aliyeumba ujuuzi kwa ujuuzi wenye ujuuzi katika ujuuzi wote wenye ujuuzi wa hali isiyo na kikomo.
 
Mungu awepo au hasiwepo... tatizo linabaki kuwa moja tu.

Kusema kwamba Mungu huyo katutaka tufanye mambo kadhaa.... na hapa ndio kwenye shida na utata. Ukichunguza kwa kina utaona mambo hayo ni yenye kupingana, dini zimekuwa nyingi....

Ukitaka kuona ukakasi wa kundi la 3 ni kwamba lina watu wenye mitazamo tofauti kumuhusu huyo Mungu...lina watu wa makundi mbali mbali wenye maarifa ya hali ya juu na wasio na maarifa kabisa.

Hivi wakristo na wenye imani nyingine mnajua kwamba Mungu wa waislamu hawatambui.... na kishasema anaenda kuwachoma moto kwa kukufuru kwenu......

Waislamu mnajua kwamba bila kupitia kwa Yesu hamtamuona baba yake.....?????

Kinachotakiwa kujadiliwa sio Mungu yupo au hayupo bali ni huyo Mungu anataka tufanye nini baada ya kuamini yupo..... je, tunajifanyia tu au tunafuata mwongozo wa nani?????

Changamoto iliyopo ni kwamba tufuate mwongozo wa nani hautokani na how intelligent we are.... kwasababu pande zote zina watu wabobezi.

Hivyo huwa inanifanya nifikie conclusion kwamba hata kama Mungu yupo basi hausiani na vitendo vyetu..... its nature that decides our destiny... (nature inajumlisha na matendo yetu)....

Mwizi anapokuibia kwako is bad, kwake is good..... so tuendelee kupamabana ili ku-survive.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
The universe popped into existance from nothing (big bang theory ) very funny !! May be the term nothing is the supreme being .. What is nothing of nothingness ? There must be the first cause ! May be after death the soul will be able to see . Don't struggle for the first cause while you are still alive ! Just study what you are able to see and touch

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tutumie nukuu ya kitabu au vitabu vipi basi ili tuwe ndani ya mada husika?.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kitendo hiki cha akili ya mwanadamu kusumbuliwa na mawazo na uwepo wa MUNGU ni.ushuuda tosha kuwa MUNGU yupo..
Kwa hali ya kawaida akili ya mwanadamu haiwezi kusumbuka kuwaza au kutafuta majibu ya kitu ambacho hakipo..
 
Kama kila kitu kimetokea kwa bahati mbaya/accidentally/Nature kama wanavyoita wao . THEN MBONA HAIKOKEI SIMBA.Tembo. Twiga au ngamia wakachati kwa kutumia smart phone kama binadamu..

Nini kimetokea hadi hiyo Nature akabagua viumbe wengine wote na kumpatia ufahamu binadamu kuendesha hii Dunia..
Kama ni hivyo basi hii Nature inaubaguzi sana kudharau viumbe wengine wote na kumpenda zaidi binadamu..
Na kama nature inaubaguzi kiasi hiki nani kaifundisha hiyo sellection ya kuacha Fisi na mamba asiwape.akili kama binadamu..

Mbona Ngamia hajui kusoma na kuandika ..

Nani kampendelea binadamu kujua yote hayo na viumbe wengine wasijue..
 
Siku ikitokea Sokwe na.Nyati wakatengeza TV zao ndio nitaamini Nature is everything otherwise kuna Nguvu inapanga haya maisha yote na nguvu hiyo ni MUNGU tu
 
Hicho ktabu kimeja uongo mwingi... Vry shame kuktumia kama rejea.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sawa ngoja tuheshimu mtazamo wako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usiumize kichwa.Chanzo ni Mungu.
Sasa ndugu we umechagua kundi la kuumiza kichwa zaid. Maana maswali mengi yasiyo na majib yanazalishiwa kund hili la iman.
 
Allah ndio kila kitu
Mlokore nae atakuambia yehova ndiye alie juu ya vyote.
yaan kila dini ina mungu wake.Huyo allah kashindwa kuthibiti mauaji ya vitoto vichanga uku syria,somalia na kule burma..
antbaraka wanaua waislam kule afrka ya kat, kule misri nako wakristo wanachinjwa kama kuku alaf uniambie kuna mungu mweza wa yote?.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…