Melki Wamatukio
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 6,156
- 10,974
Aisee, mambo mengine yanashangaza sanaKama sio shoga sawa, lakini mashoga nao wanatembea Sana na kampeni hizi huku Jf na mitandao mingine ya kijamii. Na mara nyingi kampeni kama hizi zinasimamiwa na satanic church katika utekelezaji wa mpango mkakati wao New world order. Wengi tunaingia kukamilisha missions zao na kuzipigia debe Kwa kutokujua. Ila Mashoga na wasagaji ndo wasimamizi wa huu ujumbe kuhakikisha unawaingia watu kisawasawa.
Kila la heri mkuu ila ukatae ndoa ata ukioa usidhubutu kupata cheti mkuu msikilizie kwanza ata miaka 40Mimi niombeeni mema tu, nitaoa
Kitu kama ni kibaya si kitaonekana tuu? Why watumie nguvu nyingi kiasi hiki kuaminisha watu?Mental case.
Naanza kuamini kwenye hili kundi kuna vijana mnazibuliwa mitaro.
Huko kwenye dini kwenyewe hakuna cha ajabu,mbona huko ndo mashoga wamejaa au hujawahi kujuwa.Kama sio shoga sawa, lakini mashoga nao wanatembea Sana na kampeni hizi huku Jf na mitandao mingine ya kijamii. Na mara nyingi kampeni kama hizi zinasimamiwa na satanic church katika utekelezaji wa mpango mkakati wao New world order. Wengi tunaingia kukamilisha missions zao na kuzipigia debe Kwa kutokujua. Ila Mashoga na wasagaji ndo wasimamizi wa huu ujumbe kuhakikisha unawaingia watu kisawasawa.
Usijali. Ila kuna mjinga alinitoa kwenye reli nikalala naye mbeleSamahani mkuu kama nitakuwa nimekukwaza
AminaMimi niombeeni mema tu, nitaoa
Sasa utafanyaje mkuu kama ndoa inahatarisha maisha yako na afya ya akilMwisho wa siku mnazalisha vizazi vya hovyo sana
Wanakuja na hasira.Wadada wanaokuja kucoment kwenye nyuzi za hivi wananikatisha tamaa kuoa kuliko ata wakataa ndoa wenyewe.
Kila la heri mkuu ila ukatae ndoa ata ukioa usidhubutu kupata cheti mkuu msikilizie kwanza ata miaka 40
Kwanini miaka 40?Kila la heri mkuu ila ukatae ndoa ata ukioa usidhubutu kupata cheti mkuu msikilizie kwanza ata miaka 40
Bora nini ? Ukomalie ndoa ufe au uzalishe uendelee kuishi na mtoto umlee?Mwisho wa siku mnazalisha vizazi vya hovyo sana
Sasa utafanyaje mkuu kama ndoa inahatarisha maisha yako na afya ya akil
Ata apo ukifa na stress utakua umesha ishi sana mkuuKwanini miaka 40?
KATAA NDOA, NDOA NI DHAMBIKitu kama ni kibaya si kitaonekana tuu? Why watumie nguvu nyingi kiasi hiki kuaminisha watu?
Sio kila ndoa ina stress, kuna watu wapo single ila wana stress kuliko hata wenye ndoa. Ni majaaliwa ya mwenyezi tu.Ata apo ukifa na stress utakua umesha ishi sana mkuu
Ukweli ni kwamba tumeagizwa tuzaliane lakini hatujaagizwa kuoana kuwa ni lazima.Kama ni hivyo bora ubaki na msimamo wa kataa ndoa na usizae maana mnatesa watoto kwa kutanga tanga kwenu
Watoto watakaa kwangu mkuu , ninae mama mzur sana atawalea vizur sna huku nikipambana kutuma chochote kitu , angalau mama afurahie na wajukuu wakeKama ni hivyo bora ubaki na msimamo wa kataa ndoa na usizae maana mnatesa watoto kwa kutanga tanga kwenu
Hata mimi waniombeeMimi niombeeni mema tu, nitaoa