Mjadala kwa wanaokataa Kuoa (Ndoa)

Mjadala kwa wanaokataa Kuoa (Ndoa)

Kama sio shoga sawa, lakini mashoga nao wanatembea Sana na kampeni hizi huku Jf na mitandao mingine ya kijamii. Na mara nyingi kampeni kama hizi zinasimamiwa na satanic church katika utekelezaji wa mpango mkakati wao New world order. Wengi tunaingia kukamilisha missions zao na kuzipigia debe Kwa kutokujua. Ila Mashoga na wasagaji ndo wasimamizi wa huu ujumbe kuhakikisha unawaingia watu kisawasawa.
Aisee, mambo mengine yanashangaza sana
 
Kama sio shoga sawa, lakini mashoga nao wanatembea Sana na kampeni hizi huku Jf na mitandao mingine ya kijamii. Na mara nyingi kampeni kama hizi zinasimamiwa na satanic church katika utekelezaji wa mpango mkakati wao New world order. Wengi tunaingia kukamilisha missions zao na kuzipigia debe Kwa kutokujua. Ila Mashoga na wasagaji ndo wasimamizi wa huu ujumbe kuhakikisha unawaingia watu kisawasawa.
Huko kwenye dini kwenyewe hakuna cha ajabu,mbona huko ndo mashoga wamejaa au hujawahi kujuwa.

Usitumie kivuli cha ushoga kukata hoja za maana, HAKUNA KUOA MKUU.

KUOA NI UTAPELI MTAKATIFU.
 
Kama ni hivyo bora ubaki na msimamo wa kataa ndoa na usizae maana mnatesa watoto kwa kutanga tanga kwenu
Watoto watakaa kwangu mkuu , ninae mama mzur sana atawalea vizur sna huku nikipambana kutuma chochote kitu , angalau mama afurahie na wajukuu wake
 
Back
Top Bottom