Mjadala kwa wanaokubali kuoa (Ndoa)
Bado una safari ndefu ya kuwafahamu wanawake, pambana.
Huo muda wa kuwafahamu Wanawake naupata wapi ? Kama ww ulipata muda wa kuwafahamu Wanawake Hongera.

Still kukataa ndoa ni udhaifu.

Maana nimeomba mlete hoja ili mtushawishi nasisi lakini naona mnaruka ruka tuu .

Usikute nyie ni wazee mnaojuta , au vijana mliopatwa .
 
Oa upate stress owa ubebe majukumu ya watu wanaume walio kwenye ndoa wanamsemo wao kwamba mwanaume majukumu bna uku roho zinawauma, owa uishi kwa manung'uniko kila siku.

Kata ndoa uishi kwa amani,
kata ndoa ufurahie maisha
kata ndoa uwe huru .
Kata ndoa usipangiwe cha kufanya
Akiwemo Baba aliekuzaa ambae anateswa na mama aliekuzaa kwenye ndoa Yao. Au ww ni mtoto wa mama ?
 
Ndoa ni upumbav.... Tena mwanaume kuharakisha kuoa ni kujichimbia kabuli.. ni upuuzi kufunga ndoa... Tafuta mwanaume au mwanamke zaa nae then achana nae fanya maisha yako... Ukitaka kufanikiwa ktk maisha basi epuka ndoa hasa kwa wanawake... Wanawake wengi masikini kwasabab ya kuolewa... Wanaume wengi wanakufa mapema kwasabab ya ndoa
Kama Kuna mkataa ndoa ana Binti ake wa miaka 20-25 anipe, nimzalishe alafu nitamrudisha na wajukuu wako tutaopata. Sio lazima ajifungulie kwangu.
 
1676615410343.jpeg

Tukatae ndoa ya kufunga makanisani/misikitini na mahakamani
Ama tukatae pia na kuchakata kwa muda mrefu😂😂😂
 

Attachments

  • 1676615183287.png
    1676615183287.png
    32.6 KB · Views: 2
Wee huniambii kitu nikakuelewa,

Ningekuwa sijawahi kuoa hapo sawa,

Mimi nilifunga ndoa kabisa ya kiislamu ila mwanamke alipoanza kunipangia ratiba ya kwichi kwichi (na mimi hii ndo starehe yangu kubwa), baadae akaanza kuniambia nitaondoka mimi yeye nimuachie nyumba akae na watoto (wakati nyumba yenyewe ya kupanga), ikafika kipindi nikawa hata kurudi nyumbani nachukia nikajikuta nafanya kazi masaa kumi na sita,
Mwanamke unaacha kila kitu ndani lakini hapiki badala yake anaenda kununua chipsi anakula na watoto (huyo alikuwa mama wa nyumbani) nilikuwa nampatia kila anachohitaji mwisho wa siku akawa anajisifu kwa watoto wa dada yangu kwa kuwaambia,
"huyo mjomba wenu mwenyewe nampelekesha"

Siku anaamua kuondoka nyumbani yeye mwenyewe akachukua kila kitu na bado narudi kazini nakuta barua kutoka chang'ombe polisi kanifungulia kesi kwamba nimemfukuza, nimemtolea vyombo nje (ninachoshukuru wale kina dada/mama walikuwa ni waelewa) na walijua kwamba yeye ndo mwenye matatizo hivyo walimuuliza tu, "kwa hiyo wewe unatakaje?"

Akajibu, "nahitaji kila mwezi anipe pesa kwa ajili ya watoto" (kimoyo moyo nikajisemea huyu kumbe anataka kuwatumia watoto kama kitega uchumi chake)
Maana kabla hatujaachana nilishawahi kumwambia, "nakupa miezi mitatu fikiria ni biashara gani utakayoweza kufanya ambayo itakuwezesha kuhudumia watoto hata ikitokea siku nimekufa" huwezi amini ilipita miezi mitatu nakuja kumuuliza umefikia wapi, ananijibu l, "sijaona biashara ya kufanya", shiiit


Kifupi huyu mwanamke kuna kipindi nilikuwa naishi nae kwa tahadhari, maana nilikuwa naona kabisa tunapoelekea kuna siku mmoja atamuua mwenzie


Kisha mnajaribu kutushawishi tuoe, aaah weeee... tena kwa sasa hivi wapo na msimamo wao wa 50 kwa 50

Nakwambia, "Niache kidogo"
pole sana mzee
 
Wazee wazamani waliwakeketa ili watulie kwenye ndoa , sijui sasa iv mnafanyaje mwenye ndoa.
 
Wazee wazamani waliwakeketa ili watulie kwenye ndoa , sijui sasa iv mnafanyaje mwenye ndoa.
Wazee wazamani wa wapi ? waliwakeketa kina nani waliotulia ? Nipe mifano dhahiri kwenye familia yenu. Huenda sisi kwetu hawajakeketwa ndo maana. Bibi, Shangazi , Dada na mama ako wapo upande upi ? Ndoa sio ngono ya masaa kadhaa pekee.
 
Back
Top Bottom