Mtembezi Kichomi
JF-Expert Member
- Feb 24, 2022
- 696
- 993
Huo muda wa kuwafahamu Wanawake naupata wapi ? Kama ww ulipata muda wa kuwafahamu Wanawake Hongera.Bado una safari ndefu ya kuwafahamu wanawake, pambana.
Akiwemo Baba aliekuzaa ambae anateswa na mama aliekuzaa kwenye ndoa Yao. Au ww ni mtoto wa mama ?Oa upate stress owa ubebe majukumu ya watu wanaume walio kwenye ndoa wanamsemo wao kwamba mwanaume majukumu bna uku roho zinawauma, owa uishi kwa manung'uniko kila siku.
Kata ndoa uishi kwa amani,
kata ndoa ufurahie maisha
kata ndoa uwe huru .
Kata ndoa usipangiwe cha kufanya
Kupevuka ndio kufanya nini ? Kukataa ndoa ama ?siku ukipevuka utakuja kufuta hii comment.
Kama Kuna mkataa ndoa ana Binti ake wa miaka 20-25 anipe, nimzalishe alafu nitamrudisha na wajukuu wako tutaopata. Sio lazima ajifungulie kwangu.Ndoa ni upumbav.... Tena mwanaume kuharakisha kuoa ni kujichimbia kabuli.. ni upuuzi kufunga ndoa... Tafuta mwanaume au mwanamke zaa nae then achana nae fanya maisha yako... Ukitaka kufanikiwa ktk maisha basi epuka ndoa hasa kwa wanawake... Wanawake wengi masikini kwasabab ya kuolewa... Wanaume wengi wanakufa mapema kwasabab ya ndoa
Et na ww utakuwa Baba wa Mabinti kadhaa.KIJANA ZAA NAO HAWA WANAWAKE NA TUNZA WATOTO LAKINI USIKUBALI KUWAOA.
Sina binti ningekuwa naye ungezaa naye sioni tatizo.Et na ww utakuwa Baba wa Mabinti kadhaa.
Nataka nizae na tu'binti chako afu nikurudishie.
Tafuta unipe namngoja.Sina binti ningekuwa naye ungezaa naye sioni tatizo.
Anza na mamakooooo.Tafuta unipe namngoja.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]tumefikia hapa.Anza na mamakooooo.
Mbona unajisema tena?Kupevuka ndio kufanya nini ? Kukataa ndoa ama ?
Kua kwanza. Kama ww ni mwanaume jitafakari upya.
Trash [emoji2781].Mbona unajisema tena?
pole sana mzeeWee huniambii kitu nikakuelewa,
Ningekuwa sijawahi kuoa hapo sawa,
Mimi nilifunga ndoa kabisa ya kiislamu ila mwanamke alipoanza kunipangia ratiba ya kwichi kwichi (na mimi hii ndo starehe yangu kubwa), baadae akaanza kuniambia nitaondoka mimi yeye nimuachie nyumba akae na watoto (wakati nyumba yenyewe ya kupanga), ikafika kipindi nikawa hata kurudi nyumbani nachukia nikajikuta nafanya kazi masaa kumi na sita,
Mwanamke unaacha kila kitu ndani lakini hapiki badala yake anaenda kununua chipsi anakula na watoto (huyo alikuwa mama wa nyumbani) nilikuwa nampatia kila anachohitaji mwisho wa siku akawa anajisifu kwa watoto wa dada yangu kwa kuwaambia,
"huyo mjomba wenu mwenyewe nampelekesha"
Siku anaamua kuondoka nyumbani yeye mwenyewe akachukua kila kitu na bado narudi kazini nakuta barua kutoka chang'ombe polisi kanifungulia kesi kwamba nimemfukuza, nimemtolea vyombo nje (ninachoshukuru wale kina dada/mama walikuwa ni waelewa) na walijua kwamba yeye ndo mwenye matatizo hivyo walimuuliza tu, "kwa hiyo wewe unatakaje?"
Akajibu, "nahitaji kila mwezi anipe pesa kwa ajili ya watoto" (kimoyo moyo nikajisemea huyu kumbe anataka kuwatumia watoto kama kitega uchumi chake)
Maana kabla hatujaachana nilishawahi kumwambia, "nakupa miezi mitatu fikiria ni biashara gani utakayoweza kufanya ambayo itakuwezesha kuhudumia watoto hata ikitokea siku nimekufa" huwezi amini ilipita miezi mitatu nakuja kumuuliza umefikia wapi, ananijibu l, "sijaona biashara ya kufanya", shiiit
Kifupi huyu mwanamke kuna kipindi nilikuwa naishi nae kwa tahadhari, maana nilikuwa naona kabisa tunapoelekea kuna siku mmoja atamuua mwenzie
Kisha mnajaribu kutushawishi tuoe, aaah weeee... tena kwa sasa hivi wapo na msimamo wao wa 50 kwa 50
Nakwambia, "Niache kidogo"
Wazee wazamani waliwakeketa ili watulie kwenye ndoa , sijui sasa iv mnafanyaje mwenye ndoa.
Wazee wazamani wa wapi ? waliwakeketa kina nani waliotulia ? Nipe mifano dhahiri kwenye familia yenu. Huenda sisi kwetu hawajakeketwa ndo maana. Bibi, Shangazi , Dada na mama ako wapo upande upi ? Ndoa sio ngono ya masaa kadhaa pekee.Wazee wazamani waliwakeketa ili watulie kwenye ndoa , sijui sasa iv mnafanyaje mwenye ndoa.