Mkuu unachokitarajia kitakuumiza mno. ,ndoa ni nzuri zamn kipnd hichi cha 50 50 ndoa kwa mwanaume haina maana
 
Ndoa ni utapeli hasa kwa mwanaume , haki sawa imevunja rasmi swala la ndoa , jichanganye ufe na stress
 
Wanaosababisha tukatae ndoa ni wanawake adui wa mwanamke ni mwanamke , sku tukinyimwa papuchi tutaoa tena kila mtu atapata Mume, ila kwa sasa ata tupime tu ngoma tuchakate
 
Kuna kesi nyingi mahakamani wanandoa wanawake wengi wanaingia kwenye ndoa kimtego anajua akishavunja ndoa tayari mali anajipatia kiurahisi
 
Kwa Hali ilivyo, Si Kila mtu anaweza kuoa/kuolewa. Ndoa inahitaji uvumilivu Dana, wengi wetu hatuna huo uvumilivu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…