Hulitaka tuhelekee wapi????[emoji41]

JF waweke na forum za kilugha kiswahili bado kinatupa shida kwenye uandishi[emoji2]
 
Majinga kabisa,tuyatenge ,tuyakatae na tuyaseme hadharani hata Mungu yupo upande wetu.
 
Hapo ndipo penye subira za hao wazishikao Amri za Mungu.Ni wakati wa mwisho tutakataa ushoga hadi nchi itetemeke!
 
Ishatoka hiyo.unalakuwafanya nilijua tu.
 
Haya mambo ya kataa NDOA hii ndiyo mwanzo wake.

Yaani kwa sasa unaweza kaa na mwanaume ukajiuliza je ni mwanaume kweli au sasa ona kaka ana hadi familia na watoto.

Embu watu mtubu nakurudi mikononi mwa bwana na sio kufwata mkumbo wa mitandao
 
Mambo mengi ya mtandaoni hasa kampeni huwa nayana uhalisia wowote.
 
Hapana wengi ni watoto yani wanategemea wazazi,wanaushi kwao na hawana majukumu vilevile wengi wapiga nyeto
 
Kwakweli ila kuna vijana hapa wanaona na wanafwata, mitandao kwa sasa imekuwa nikitu cha kipaumbele mnoo, kuliko Mungu Dah inasikitisha sanaa
Mitandao inafanya watu kuwa wategemezi kwenye mambo ambayo hata wao binafsi wangeweza kujisimamia
 
Hii issue ni serious wadau kuna NGO zinafadhili awa watu wapo watu wanashabiki bila kujua wenzao wanavuta mpunga wakutosha tu kutokana na hii movement yao
 
Salama wakuu,

Hivi karibuni katika jamii yetu kumeibuka kauli ya "KATAA NDOA NI UTUMWA, WIZI, UTAPELI N.K" wakati nasikia na kusoma humu JamiiForums either katika koment au uzi wenye maudhui ya hivyo nilikuwa naelewa sababu za kiuchumi.

Yaani sasa hivi kwa kuwa wanawake na wao wanafanya kazi na wanaendekeza ubinafsi hawataki kuchangia chochote katika familia nikaona vijana wa kiume kwa upande flani kama wana logic ya kukataa japo sikubaliani nalo sana hilo swala la kuchangia pesa na mke maana jukumu la familia ni la mwanaume.

Nikawaza tena labda kwa kuwa wanawake wametumika sana kabla ndoa hivyo kijana anaona anaoa makombo au anafikilia huyu mke atawasahau kweli maex zake.

Lakini baada ya kusikia na kushuhudia habari za UPINDE "ushoga" ikanifanya niwaze tena pengine vijana wanakataa ndoa ili kujificha jamii isijue kama wanapumuliwa na wanaume wenzao.

Maana sielewi kwanini mwanaume rijali anakataa ndoa sehemu ambayo anaipata mbususu free mda wowote akihitaji kama sio UPINDE ni nini kingine?
 
Kuna watu wanazeeka hadi kufa hawajawahi kuwaza kuoa nao mnawaweka wapi mana ni kioo kwa Genera zilizofuata nyuma yake au nao tuwaunge kwenye UShoga.

Na kuna machoko ila wameoa kama kivuli nayo mnawaweka wapi Kwakuwa yameo ila still Elton John.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€“πŸ€“πŸ€“ Daaah kweli watu mpo serious an
Pia ushoga tunakataa mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…