Mjadala kwa wanaokubali kuoa (Ndoa)
Usipo kua na ndoa mwanaume unaishi na mwanamke vizur mno , ukifunga ndoa mwanamke anaanza kizaa zaa ashapewa cheti chake cha utapeli huku mawakili wake wa dawati la jinsi wakiwa macho ,wanaume wanaoishi kwenye ndoa ni magoigoi na waoga hawana uhuru wakuwa kiume zaid mbele ya wake zao hasa hawa wenye ndoa za kikristo , wamepigwa nyundo ya maisha kwamba kwnye shida wapo kwenye raha wapo ila wengi wao kifo kinawatenganisha.
janja-janja za ndoa zitatapeli wengine wasiojielewa, siyo mimi
 
Kwamba ni wakala wa shetani sio Kweli.

1 Wakorintho 7:8
[8]Lakini nawaambia wale wasiooa bado, na wajane, Ni heri wakae kama mimi nilivyo.

1 Wakorintho 7:9
[9]Lakini ikiwa hawawezi kujizuia, na waoe; maana ni afadhali kuoa kuliko kuwaka tamaa.

Hivyo maandiko yameruhusu pia kutokuoa.
Kuna tofauti ya kuoa na kufunga ndoa yenye vyeti na kuweka saini kimkataba , ukisha lala na mwanamke mwezi hyo ni mkeo Kijana kataa ndoa ,ndoa ni utapeli.
 
Mtu yeyote akikwambia eti usioe au usiolewe hata kama ni rafiki yako au ndugu yako basi kuanzia siku hiyo mhesabu kama shetani na adui wa maisha yako kwa sababu mtu anaye kushauri kuwa usioe au usiolewe ina maana ana kushauri kuwa mzinzi na ukisha kuwa mzinzi tiyari ww ni adui wa Mungu.
Tuanza na wale tunakofanya maungamo
 
Kuna tofauti ya kuoa na kufunga ndoa yenye vyeti na kuweka saini kimkataba , ukisha lala na mwanamke mwezi hyo ni mkeo Kijana kataa ndoa ,ndoa ni utapeli.
Utaratibu wa kuoa sijui ulianzia wapi, bora tungekuwa kama kuku tu
 
Mbona Ronaldo amekataa ndoa ila yupo na mwanamke?
Kwani Ronaldo ni nani mpaka atakacho kifanya yeye kiwe sahihi ndani ya jamii?

Ronaldo alizaliwa peke yake na atakufa peke yake na atahukumiwa peke yake.

Na ww ulizaliwa peke yako na utakufa peke yako na utahukumiwa peke yake.
 
Kwani Ronaldo ni nani mpaka atakacho kifanya yeye kiwe sahihi ndani ya jamii?

Ronaldo alizaliwa peke yake na atakufa peke yake na atahukumiwa peke yake.

Na ww ulizaliwa peke yako na utakufa peke yako na utahukumiwa peke yake.
Kwa ni sisi wanaume mpka tufunge ndoa inakua kwa mbinde na mara nyingi mwanamke ndo amelazimisha nafsi zetu zinajua kabsa ndoa ni utapeli sema unakaza tu kichwa
 
Utaratibu wa kuoa sijui ulianzia wapi, bora tungekuwa kama kuku tu
Ww ni mamalia na una haki ya zote za kuwa free hizi mambo za ndoa zililetwa na wakoloni tu kufungana mapete vidoleni , babu zetu walikua na wake zaidi ya kumi na waliishi kwa upendo tu sisi mke mmoja lakini kila skuu mauaji tatizo ni ndoa , tukatae ndoa huku mpka ifike mbali zaidi
 
Kusema kweli mbali na heading tu habari yenyewe sijaisoma. Heading yako imeniaminisha kwamba unapiga vita uzinzi na kutetea ndoa ndo nami nikasema vijana marijali wafanyeje kabla ya kufunga ndoa?

Yawezekana nimekurupuka aisee. Kwani hoja yako kuu ni ipi? [emoji16][emoji16]
Hoja ni watu wanao kataa ndoa kuwa ni pasua kichwa hali ya kuwa hata kwenye mahusiano yasiyo ya kindoa ni pasua kichwa hivyohivyo.

Mwanaume huwezi kukamilika kuitwa mwanaume kamili kama hujaoa hata kama ungekuwa na vimada 100.

Alafu kuhusu vijana kutofanya mapenzi mpaka pale watakapo owa inafatana na jamii husika ina mtazamo gani juu ya hili suala.
Wewe unasema kuwa vijana hawawezi kuvumilia kutofanya mapenzi mkapa watakapo owa huo mtazamo wako umetokana na aina ya jamii uliyo kulia na kukulea.
Lakini kuna jamii nyingi hasa za kiasia ambazo ni mwiko kufanya uzinzi kabla ya ndoa na watu wanaweza kuvumilia.

Barani Asia kuna jamii nyingi ambazo ili uolewe ni lazima uwe bikra.
 
Kwamba ni wakala wa shetani sio Kweli.

1 Wakorintho 7:8
[8]Lakini nawaambia wale wasiooa bado, na wajane, Ni heri wakae kama mimi nilivyo.

1 Wakorintho 7:9
[9]Lakini ikiwa hawawezi kujizuia, na waoe; maana ni afadhali kuoa kuliko kuwaka tamaa.

Hivyo maandiko yameruhusu pia kutokuoa.
Ukikataa kuoa pia usifanye ngono.
 
Haya twende kazi:

Kijana rijali kabisa hana kasoro damu inachemka na ambaye pengine ataoa miaka 10 huko mbele ya safari afanye nini ili kuzima kiu zake za kimaumbile hasa ukizingatia kuwa hata kunyetoka nako ni dhambi?

Katika hali ya kawaida, wewe unaweza kukaa miaka 10+ bila kufanya mapenzi, zinaa, uasherati au huo uzinzi unaousema huku ukisubiri mpaka utakapooa?

Mnapokuja na hizi nadharia mje pia na masuluhisho-tendeka (practical solutions).

Vijana wafanye nini?
Umemaliza, niko paleeeee akitoa jibu la kueleweka
 
Hoja ni watu wanao kataa ndoa kuwa ni pasua kichwa hali ya kuwa hata kwenye mahusiano yasiyo ya kindoa ni pasua kichwa hivyohivyo.

Mwanaume huwezi kukamilika kuitwa mwanaume kamili kama hujaoa hata kama ungekuwa na vimada 100.

Alafu kuhusu vijana kutofanya mapenzi mpaka pale watakapo owa inafatana na jamii husika ina mtazamo gani juu ya hili suala.
Wewe unasema kuwa vijana hawawezi kuvumilia kutofanya mapenzi mkapa watakapo owa huo mtazamo wako umetokana na aina ya jamii uliyo kulia na kukulea.
Lakini kuna jamii nyingi hasa za kiasia ambazo ni mwiko kufanya uzinzi kabla ya ndoa na watu wanaweza kuvumilia.

Barani Asia kuna jamii nyingi ambazo ili uolewe ni lazima uwe bikra.
Mkuu umeanzisha uzi ila haujui unazungumzia nini , ndoa nini na kushi na mwanamke ni nini? Watu wanakataa ndoa ila wanaishi na wanawake miaka zaidi ya 40
 
Ukikataa kuoa pia usifanye ngono.
Mkuu ngono tunafanya na ndoa hatufungi , kampeni ya kukataa ndoa ina umuhimu kwa wanaume zaid kulinda akili yake zaidi , wanaume wajinga tu ndo wanafunga ndoa kwa kizazi hiki hasa ndoa za Kikristo hazina afya kwa akili na uhai wa mwanaume
 
Ndoa ni kifo na kitanzi kwa mwanaume , ndoa inasababisha ukifumania live ukitaka kupiga chini unanyang'anywa kila kitu , ndoa haifai kwa dunia ya sasa , ogopa sna mwanamke anaelazimisha mfunge ndoa piga chini mapema
💯🤝
 
Haya twende kazi:

Kijana rijali kabisa hana kasoro damu inachemka na ambaye pengine ataoa miaka 10 huko mbele ya safari afanye nini ili kuzima kiu zake za kimaumbile hasa ukizingatia kuwa hata kunyetoka nako ni dhambi?

Katika hali ya kawaida, wewe unaweza kukaa miaka 10+ bila kufanya mapenzi, zinaa, uasherati au huo uzinzi unaousema huku ukisubiri mpaka utakapooa?

Mnapokuja na hizi nadharia mje pia na masuluhisho-tendeka (practical solutions).

Vijana wafanye nini?
Wakiokoka wakimaanisha na kujaa Roho mtakatifu it is possible tena ni kawaida. Ni kweli mwili una tamaa zake lakini unautiisha. Hata sisi walokole (tuliomaanisha kuokoka) mwili unatusumbua ila tunautiisha na pia kua bize na mambo mengi na ibada na pia kuepuka mambo yanayochochea mapenzi kama kitabu cha Wimbo ulio bora kinavyotuasa. It is possible to keep holy had marriage katika hii dunia iliyochafuka. Hata Yesu arudi sasa hivi atakuta vijana ambao hawajajichafua.
 
Back
Top Bottom