entry
JF-Expert Member
- Apr 11, 2018
- 286
- 539
hao ulio wataja sizani kama washawahi kuja katika public nakunanga taasisi ya ndoa kama wafanyavyo wengi wanaojijua wanamatatizoKwani ronaldo kaoa
Dangote je,mondi,adenuga,keanu reeves,mayweather,eminem,dr. Dre, adeleke, musk,gates,bezos, n.k hao ni watu famous ila mostly wana girlfriend sasa ndoa ya nn
Na pia hujaelezea sababu ya wake za watu kuwa rahisi kuwapata kuliko kununua maji sasa ndoa ya nn hapo mkuuu why just why