Mjadala: Kwanini wanaume wengi hufa mapema? Wanawake tuhurumieni please...
1. Sababu ya Umalaya wanatumika sana.

2. Wanarogwa sana .

Wanarogwa ndani (kwa mke wa ndoa) na nje (kwa michepuko). Je nafsi ya Mwanaume wa hivyo itapata utulivu?
 
Kufanya kazi kwenye mazingira magumu pamoja na wingi wa stress

Kazi ambazo zinatakiwa kufamywa na maroboti zinafanywa na wanaume

Jana tumeona mwanajeshi ambaye alijitoa mhanga maisha yake ili kulipua daraja
 
Kifungo cha mke mmoja kinaleta sana stess na kutumia muda mrefu kufanya mapenzi kuridhisha Mwanamke.
 

Kuoa Zama hizi ni Adhabu ya Kujitakia​

kwanza niendelee kusoma uzi huu
 
Kwa zama hizi za haki sawa, tutaanza kufa pamoja...
 
Udambwi udambwi muhimu maana demu usipompakia vumbi la komgo unakuwa hujaweka heshima


Labda kwa wale ambao wako overused na varieties sizes (wakudanga) lakini Kwa mwanamke ambae utulivu ni hadhi yake pengine wewe ndiye Mwanaume wake wa kwanza au wapili ukitoa mume wake ambae ni wa kwanza hata bila mavumbi atajionea Sawa na kuwa satisfied vyakutosha.
 
Labda kwa wale ambao wako overused na varieties sizes (wakudanga) lakini Kwa mwanamke ambae utulivu ni hadhi yake pengine wewe ndiye Mwanaume wake wa kwanza au wapili ukitoa mume wake ambae ni wa kwanza hata bila mavumbi atajionea Sawa na kuwa satisfied vyakutosha.
Kumpata sasa huyo mwanamke ambaye sio overused ndio kimbembe
 
Wanaume ndio dambo la kauli chafu, lawama, ya wanawake. Wanawake wanatoa maneno yenye sumu, mwanaume ulazimika kuhimili sumu, sumu uua taratibu
 
Men die early than women because they do not talk about their problems, they secretly opt try resolving it on themselves without involving anyone else, especially their marital affairs or financial issues. Hatuongei kama hawa kasuku wetu.
 
Tendo la ndoa si mmeongeza udabwi udabwi wa vumbi la kongo na n.k Punguzen stress
Ukipunguza udambwidambwi kejeli kibao.
~kazi yenyewe huwezi, umenitia shombo tu.
~mwanaume gani una show mbovu!
~hamna kitu, huwezi kazi, nikatafute mwingine anikate kiu!
 
Men die early than women because they do not talk about their problems, they secretly opt try resolving it on themselves without involving anyone else, especially their marital affairs or financial issues. Hatuongei kama hawa kasuku wetu.
Hatuongei kama hawa kasuku wetu.
 
[emoji23] [emoji1787] Hii kauli nimeikumbuka juzi nimemwambia mama watoto, japo ilikuwa kimasihara, nimepika msosi fresh, kaja mgeni nikaenda kumsikiliza, narudi ndani si namkuta mwenzangu anafakamia msosi.. [emoji23], nikamwambia ndio maana tunakufa mapema..

Jibu lake,
[emoji23], akacheka, "hii sio sababu, sababu ni nyingi, ukiacha maisha na mastress tuliyonayo, pia uzembe wa magonjwa unatumaliza, wanawake wakiumwa kidogo wanatafuta tiba, sisi hatujali afaya tukiumwa kidogo tunavumilia, hata ukienda hospital wanawake wengi na utakuta bado ugonjwa haujawa mkubwa, sogea kwetu wakina baba, ukimkuta mwanaume kama ni kifua kikuu basi kimemtafuna kisawa sawa"

Hiki kitu kimenifikirisha mnoo, kuna kaukweli hapa, mie viugonjwa vingi mnoo navipuuzia.
 
[emoji23] [emoji1787] Hii kauli nimeikumbuka juzi nimemwambia mama watoto, japo ilikuwa kimasihara, nimepika msosi fresh, kaja mgeni nikaenda kumsikiliza, narudi ndani si namkuta mwenzangu anafakamia msosi.. [emoji23], nikamwambia ndio maana tunakufa mapema..

Jibu lake,
[emoji23], akacheka, "hii sio sababu, sababu ni nyingi, ukiacha maisha na mastress tuliyonayo, pia uzembe wa magonjwa unatumaliza, wanawake wakiumwa kidogo wanatafuta tiba, sisi hatujali afaya tukiumwa kidogo tunavumilia, hata ukienda hospital wanawake wengi na utakuta bado ugonjwa haujawa mkubwa, sogea kwetu wakina baba, ukimkuta mwanaume kama ni kifua kikuu basi kimemtafuna kisawa sawa"

Hiki kitu kimenifikirisha mnoo, kuna kaukweli hapa, mie viugonjwa vingi mnoo navipuuzia.
Wanawake wana nafasi kubwa ya kuonwa na daktari wanapokua waja wazito. Ni kweli wanaume huwa si wahudhuriaji wazuri wa kituo cha afya.
 
Hata kwenye maombi makanisani wanawake wanaoshiriki ni wengi hali huwasaidia sana kuliko wanaume.

Wanaume ni wachache wanaoitikia kwenda kuombewa kama ambapo huwa wazito kwenda hospitali.
 
Ukipunguza udambwidambwi kejeli kibao.
~kazi yenyewe huwezi, umenitia shombo tu.
~mwanaume gani una show mbovu!
~hamna kitu, huwezi kazi, nikatafute mwingine anikate kiu!
Kweli kabisa wana maneno ya hovyo sana hawa viumbe usipowatombaa vizuri. Dawa yao vumbi tuu mpaka mbususu iteteme kama mayele
 
Back
Top Bottom