Mjane wa bilionea Msuya aachiwa huru, Mahakama haijamkuta na hatia ya mauaji ya Aneth Msuya

Shaaban Robert alisema _Uanasheria ni elimu ya kupingana na haki. Was he right?
 
Nani kakudanganya maombi yanakupa mke mwema unaweza ukamuomba Mungu,shetani akawahi kujibu maombi yako.
Mke ni zaidi ya maombi pili mwanadamu ubadilika
 
Hao achana nao hawaoi hao sababu ya maagano na masharti ikiwemo mikataba waliyoingia na shetani.
Hao sio wa kutolea mfano kuhusu mahusiano.
 
Tukio lote hili limesababishwa na hela. Tangu Msuya kuuawa ni hela hadi huyu mama Miriam Mrita kuachiwa ni hela.

Bora sisi kina kajamba nani, mkono kinywani, ngono, umbea na kurogana.
Msuya ni karma ya damu alizomwaga so katimiza maandiko ukiuwa kwa upanga.Annete kadhulumiwa damu isiyo hatia.
 
Ukiwa masikini ushahidi unapatikana haraka sana ufungwe kama mfano WA Sheria zinafanya kazi.
Bongo kesi ni biashara.
Unadhani pale b ngapi zimetembea
 
Vilaza wengi mbona wamejaa huko
 
Wengi walipewa ujaji kwa sababu ya kumfurahisha jiwe kuwafunga wapinzani na sio kwa sababu ya weledi wao kwenye sheria isiwe Hawa ni mmoja wao.
 
2. Baada ya udakari, fani ya sheria inafuata kwa umuhimu wake kwa jamii

Mkuu kwamba hizo fani ndiyo za muhimu kuliko fani yoyote Duniani????

Kwahiyo UALIMU si lolote???

Fani ya ualimu ni mama na baba wa fani zote. Hizo nyingine ndizo hufuata. Hii ni kwa maoni yangu.
 
Yaani bure kabisa! Kijana wangu aligoma kusoma hgl ili kwamba wakasome sheria pamoja na mabembelezo ya mwalimu wake akaweka wazi kabisa "mimi siwezi hizo dhulma!"
Siku ukipata janga linalohitaji Mwanasheria utajua umuhimu wa sheria.
 
Unaendaje jela wakati una hela kwa nchi ya kitu kidogo kama Tzedi?😂
Yaani yule maźa hakuwa na wacwac kabisa siku ya hukumu. Mimi nasemaje Annete huko uliko watokee wauwaji wako mpaka waende polisi wenyewe, kujisema. Sisi tulimuuwa anatutokea tunaomba tujisamishe.
 
Mawakili wa serikali hamna kitu kabisa, kesi ilikua wazi kabisa ila wanashindwa kuwa serious. Sijui nini ambacho wanaweza hawa watu!! Na hata wangeshinda kesi wangeenda kubwagwa kwenye rufaa.
Mkuu, kipi usichokielewa hapo? Mawakili wa Serikali ni aina ya watu waliojibwetesha sana. Mimi Wakili wa kujitegemea namtoza hela ndefu mteja wangu, hela hiyo ndefu ni pamoja na charges nitakazowalipaMawakili wa Serikali pindi nitakapikuwa nawapa maagizo ya watumie ushahidi upi, wauondoe upi, au waongee na kujibu nini.
Mawakili wa serikali huwa wanakuwa kwenye payrolls za watu.
Mfano ile kesi ya Mbowe unaona kabisa kuwa kilichokuwa kinapelekea Mbowe kuendelea kukaa ndani ni serikali kuamua ku deal na Majaji, kwamba inyeshe mvua au liwake jua, hakuna kumuachia. Sababu upande wa mawakili wa serikali wali flop vibaya mno, hakuna cha maana walichokuwa wakifanya.
 
Kwahiyo Makonda yupo sahihi !.
 
Kwa hio Serekali haina mawakili bali Ina magalasa ukianza na bwana Felesi Mwanasheria Mkuu wa Serekali?
 
Siku ya kiama kila mtu atahukumiwa sawasawa na hesabu zake

Pia Mungu anahukumu kwa kutoa laana ya vizazi na vizazi

Usishangae analipiza kwa watoto wako na wajukuu zako

Kwa hiyo do right things bila kumuonea mtu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…