Mkuu, kipi usichokielewa hapo? Mawakili wa Serikali ni aina ya watu waliojibwetesha sana. Mimi Wakili wa kujitegemea namtoza hela ndefu mteja wangu, hela hiyo ndefu ni pamoja na charges nitakazowalipaMawakili wa Serikali pindi nitakapikuwa nawapa maagizo ya watumie ushahidi upi, wauondoe upi, au waongee na kujibu nini.
Mawakili wa serikali huwa wanakuwa kwenye payrolls za watu.
Mfano ile kesi ya Mbowe unaona kabisa kuwa kilichokuwa kinapelekea Mbowe kuendelea kukaa ndani ni serikali kuamua ku deal na Majaji, kwamba inyeshe mvua au liwake jua, hakuna kumuachia. Sababu upande wa mawakili wa serikali wali flop vibaya mno, hakuna cha maana walichokuwa wakifanya.