Triple G
JF-Expert Member
- Aug 12, 2011
- 3,018
- 4,369
Siwezi sema moja kwa moja wameroga au hawajaroga ila chochote kinaweza tokea Ndio! Wapo watu watasema imani potofu ndio! Kwa sisi ambao tumeshakumbana na mambo ya kesi tunajua jinsi nguvu za giza zinavyoweza badilisha matokeo na hutaamini hata kama ushaidi upo wazi.Kwa hio wameroga?
Ni ngumu kuelewa hizo mambo unless umekumbwa na changamoto za mambo ya kesi.
Wapo humu watu JF wanajua jinsi mambo yanavoweza kwenda na jinsi ushirikina unavotumika kwenye hizi mambo za kesi.