Mjini Dar es salaam, sifa ya mwanaume ni kulewa wikendi na kutazama mchezo mikubwa

Mjini Dar es salaam, sifa ya mwanaume ni kulewa wikendi na kutazama mchezo mikubwa

Ifikapo wikiendi wanaume wengi utawakuta maeneo ya kunywa pombe na kutazama michezo hasa mpira, wamejazana kwa wingi wakitumia kwa urefu wa kamba zao.

Katika jamii ya sasa ukiwa haufanyi mambo hayo, unaonekana kama bado sio mwanaume halisi, ili ukamilike ni lazima ubishane kuhusu mpira na ukae kwenye viti virefu.

Inasikitisha kwakweli.......

Niwatakie weekend njema wadau wote, iwe na heri kwenu na familia zenu.
Hahaha!
 
Kupanga ni kuchagua! Acha kila mmoja wetu afanye kadiri anavyoona inafaa. Maana mapito yetu yanatofautiana sana. Utafutaji wetu, majukumu yetu, historia yetu na amani yetu inatofautiana sana. Pengine kinachokupa amani mm chaninyima amani n.k
 
Kupanga ni kuchagua! Acha kila mmoja wetu afanye kadiri anavyoona inafaa. Maana mapito yetu yanatofautiana sana. Utafutaji wetu, majukumu yetu, historia yetu na amani yetu inatofautiana sana. Pengine kinachokupa amani mm chaninyima amani n.k
sahihi kila mtu anafanya kadri anavyoona inafaa, na hao wamechagua kufanya hivyo wanavyo fanya.
 
Ifikapo wikiendi wanaume wengi utawakuta maeneo ya kunywa pombe na kutazama michezo hasa mpira, wamejazana kwa wingi wakitumia kwa urefu wa kamba zao.

Katika jamii ya sasa ukiwa haufanyi mambo hayo, unaonekana kama bado sio mwanaume halisi, ili ukamilike ni lazima ubishane kuhusu mpira na ukae kwenye viti virefu.

Inasikitisha kwakweli.......

Niwatakie weekend njema wadau wote, iwe na heri kwenu na familia zenu.
Iyo ndio wikendi sasa.
 
Wapo pia wanaoshinda site japo ujenzi wenyewe wa kuunga unga lakini wanafanya kitu,mtu akinunua tofali zake mia anaenda kushinda na mafundi site.

Siyo wote wapenzi wa hizo starehe!
Ila ujenzi wa Dar utakuwa rahisi sana maana vitu ni kama bei bure vile huwezi kulinganisha na sisi wa kutoka Simiyu aiseee!
 
Ifikapo wikiendi wanaume wengi utawakuta maeneo ya kunywa pombe na kutazama michezo hasa mpira, wamejazana kwa wingi wakitumia kwa urefu wa kamba zao.

Katika jamii ya sasa ukiwa haufanyi mambo hayo, unaonekana kama bado sio mwanaume halisi, ili ukamilike ni lazima ubishane kuhusu mpira na ukae kwenye viti virefu.

Inasikitisha kwakweli.......

Niwatakie weekend njema wadau wote, iwe na heri kwenu na familia zenu.
Ulitaka wafanye nini mbadala wake.
 
Ukipiga mahesabu ya haraka, ukinunua beer ukatulia nyumbani au whiskey unatumia gharama ndogo sana.

Bar lazima ukutane na marafiki ndipo inaanza ile "nipe moja kwa yulee.."

Unakuja kutoka unagundua pesa uliyotumia ungenunua carton za kutosha ukaweka nyumbani ukanywa hata mwezi mzima.

Kile kisingizio bar tunapata connection sio bongo.
Ni makelele tu ya amapiano. Ujinga tu.
Nyumbani zipo carton za kutosha lkn na za kwenye bar nazihitaji na offer natoa vilevile.
 
Ila ujenzi wa Dar utakuwa rahisi sana maana vitu ni kama bei bure vile huwezi kulinganisha na sisi wa kutoka Simiyu aiseee!
Ajabu na wa Dar wanaona wanaoishi nje ya huo mji nao wana ujenzi rahisi,kuna kipindi jamaa yangu Kagera aliniambia ananunua cement hii inayouzwa Dar 14,500/= kule ananunua 28,000/=.
 
Ifikapo wikiendi wanaume wengi utawakuta maeneo ya kunywa pombe na kutazama michezo hasa mpira, wamejazana kwa wingi wakitumia kwa urefu wa kamba zao.

Katika jamii ya sasa ukiwa haufanyi mambo hayo, unaonekana kama bado sio mwanaume halisi, ili ukamilike ni lazima ubishane kuhusu mpira na ukae kwenye viti virefu.

Inasikitisha kwakweli.......

Niwatakie weekend njema wadau wote, iwe na heri kwenu na familia zenu.
Yani umemgusa Saguda47 mulemule. Mwamba kakuwekea hadi avatar picha ya safari lager kwenye ID yake.

Saguda de 47
 
Back
Top Bottom