Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😛😁!Unapenda michezo mikubwa sweetheart...
Hahaha!Ifikapo wikiendi wanaume wengi utawakuta maeneo ya kunywa pombe na kutazama michezo hasa mpira, wamejazana kwa wingi wakitumia kwa urefu wa kamba zao.
Katika jamii ya sasa ukiwa haufanyi mambo hayo, unaonekana kama bado sio mwanaume halisi, ili ukamilike ni lazima ubishane kuhusu mpira na ukae kwenye viti virefu.
Inasikitisha kwakweli.......
Niwatakie weekend njema wadau wote, iwe na heri kwenu na familia zenu.
sahihi kila mtu anafanya kadri anavyoona inafaa, na hao wamechagua kufanya hivyo wanavyo fanya.Kupanga ni kuchagua! Acha kila mmoja wetu afanye kadiri anavyoona inafaa. Maana mapito yetu yanatofautiana sana. Utafutaji wetu, majukumu yetu, historia yetu na amani yetu inatofautiana sana. Pengine kinachokupa amani mm chaninyima amani n.k
Kwa hiyo hao starehe yao ni ujenzi 😂😂😂Wapo pia wanaoshinda site japo ujenzi wenyewe wa kuunga unga lakini wanafanya kitu.
Siyo wote wapenzi wa hizo starehe!
Much know 😂Wangu mtoe japo naye mbishi na mjuaji 🤣🤣🤣
Huko kuna wakazi wachacheHuku kibada mbona kimya au iko Zanzibar
Ile special case 🤣🤣🤣Much know 😂
Si ndio hapo nimemshangaa sana mtoa threadWapo pia wanaoshinda site japo ujenzi wenyewe wa kuunga unga lakini wanafanya kitu.
Siyo wote wapenzi wa hizo starehe!
Kabisa.Kwa hiyo hao starehe yao ni ujenzi 😂😂😂
Mawazo mgando kabisa haya. Baa ziko na ulinzi mkali, kuliko hapo geto kwakoUnakaa bar mara mtu kulewa huko unakula chupa ya kichwa kesho unaamkia hospital, bar nyingi usalama ni mdogo pia watu wengi wana shida za akili ndio wanaenda kula mitungi hapo.
Iyo ndio wikendi sasa.Ifikapo wikiendi wanaume wengi utawakuta maeneo ya kunywa pombe na kutazama michezo hasa mpira, wamejazana kwa wingi wakitumia kwa urefu wa kamba zao.
Katika jamii ya sasa ukiwa haufanyi mambo hayo, unaonekana kama bado sio mwanaume halisi, ili ukamilike ni lazima ubishane kuhusu mpira na ukae kwenye viti virefu.
Inasikitisha kwakweli.......
Niwatakie weekend njema wadau wote, iwe na heri kwenu na familia zenu.
Ila ujenzi wa Dar utakuwa rahisi sana maana vitu ni kama bei bure vile huwezi kulinganisha na sisi wa kutoka Simiyu aiseee!Wapo pia wanaoshinda site japo ujenzi wenyewe wa kuunga unga lakini wanafanya kitu,mtu akinunua tofali zake mia anaenda kushinda na mafundi site.
Siyo wote wapenzi wa hizo starehe!
Ulitaka wafanye nini mbadala wake.Ifikapo wikiendi wanaume wengi utawakuta maeneo ya kunywa pombe na kutazama michezo hasa mpira, wamejazana kwa wingi wakitumia kwa urefu wa kamba zao.
Katika jamii ya sasa ukiwa haufanyi mambo hayo, unaonekana kama bado sio mwanaume halisi, ili ukamilike ni lazima ubishane kuhusu mpira na ukae kwenye viti virefu.
Inasikitisha kwakweli.......
Niwatakie weekend njema wadau wote, iwe na heri kwenu na familia zenu.
Nyumbani zipo carton za kutosha lkn na za kwenye bar nazihitaji na offer natoa vilevile.Ukipiga mahesabu ya haraka, ukinunua beer ukatulia nyumbani au whiskey unatumia gharama ndogo sana.
Bar lazima ukutane na marafiki ndipo inaanza ile "nipe moja kwa yulee.."
Unakuja kutoka unagundua pesa uliyotumia ungenunua carton za kutosha ukaweka nyumbani ukanywa hata mwezi mzima.
Kile kisingizio bar tunapata connection sio bongo.
Ni makelele tu ya amapiano. Ujinga tu.
Ajabu na wa Dar wanaona wanaoishi nje ya huo mji nao wana ujenzi rahisi,kuna kipindi jamaa yangu Kagera aliniambia ananunua cement hii inayouzwa Dar 14,500/= kule ananunua 28,000/=.Ila ujenzi wa Dar utakuwa rahisi sana maana vitu ni kama bei bure vile huwezi kulinganisha na sisi wa kutoka Simiyu aiseee!
Yani umemgusa Saguda47 mulemule. Mwamba kakuwekea hadi avatar picha ya safari lager kwenye ID yake.Ifikapo wikiendi wanaume wengi utawakuta maeneo ya kunywa pombe na kutazama michezo hasa mpira, wamejazana kwa wingi wakitumia kwa urefu wa kamba zao.
Katika jamii ya sasa ukiwa haufanyi mambo hayo, unaonekana kama bado sio mwanaume halisi, ili ukamilike ni lazima ubishane kuhusu mpira na ukae kwenye viti virefu.
Inasikitisha kwakweli.......
Niwatakie weekend njema wadau wote, iwe na heri kwenu na familia zenu.