Bob Manson
JF-Expert Member
- May 16, 2021
- 4,158
- 7,787
- Thread starter
- #121
Mimi sina mkeMwanaume hutakiwi kukaa nyumbani siku nzima una wanyima uhuru mke na watoto.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi sina mkeMwanaume hutakiwi kukaa nyumbani siku nzima una wanyima uhuru mke na watoto.
Kweli kila mtu ana uhuru, mimi nimesema tu hayo mambo yanasikitisha kwakweliKila mtu yupo huru kuchagua anachokipenda.
Sisi tunakuja si lazima pombe andaa Maombi,,Jumuiya au Dua,,Sisi unaotuona baa ndio Sisi wa kwenye hayo madhehebu na shughuli Mbalimbali za kiuchumi hapa nchini na Nje ya Nchi,,,Pombe mpira si kwa ajili ya mbuzi,,au Ng'ombe n.kKwangu hakuna kreti wala mizinga ya ulabu
Sawa Mkuu, nyie endeleeni sisi wengine tutatumia ata juice tuSisi tunakuja si lazima pombe andaa Maombi,,Jumuiya au Dua,,Sisi unaotuona baa ndio Sisi wa kwenye hayo madhehebu na shughuli Mbalimbali za kiuchumi hapa nchini na Nje ya Nchi,,,Pombe mpira si kwa ajili ya mbuzi,,au Ng'ombe n.k
Kina nani hao, wanakulalamikiaa dogo??[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Napata malalamiko sana
Usinambieee!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]bomba linakuja kaa tayari
Wengi tu siwataji kwa majina ila wanasemq mna tabia chafu yaani hiyo midomo yenu hapana ,😂😂😂😂Kina nani hao, wanakulalamikiaa dogo??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sawa mkuuSawa Mkuu, nyie endeleeni sisi wengine tutatumia ata juice tu
Na wanadada wanao kunywa pombe nao tuwaiteje?Kama hunywi pombe hata chupa mbili,wew sio mwanaume ni mwanaidd
Kabisa mkuu, katika vitu sipendi ni kunywa mvinyo nikiwa bar zaidi ya nyumbaniUkipiga mahesabu ya haraka, ukinunua beer ukatulia nyumbani au whiskey unatumia gharama ndogo sana.
Bar lazima ukutane na marafiki ndipo inaanza ile "nipe moja kwa yulee.."
Unakuja kutoka unagundua pesa uliyotumia ungenunua carton za kutosha ukaweka nyumbani ukanywa hata mwezi mzima.
Kile kisingizio bar tunapata connection sio bongo.
Ni makelele tu ya amapiano. Ujinga tu.
Bar za kibongo ni upuuzi tu.Kabisa mkuu, katika vitu sipendi ni kunywa mvinyo nikiwa bar zaidi ya nyumbani
Hahahaha 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣.Ifikapo wikiendi wanaume wengi utawakuta maeneo ya kunywa pombe na kutazama michezo hasa mpira, wamejazana kwa wingi wakitumia kwa urefu wa kamba zao.
Katika jamii ya sasa ukiwa haufanyi mambo hayo, unaonekana kama bado sio mwanaume halisi, ili ukamilike ni lazima ubishane kuhusu mpira na ukae kwenye viti virefu.
Inasikitisha kwakweli.......
Niwatakie weekend njema wadau wote, iwe na heri kwenu na familia zenu.
Unakaa bar mara mtu kulewa huko unakula chupa ya kichwa kesho unaamkia hospital, bar nyingi usalama ni mdogo pia watu wengi wana shida za akili ndio wanaenda kula mitungi hapo.Bar za kibongo ni upuuzi tu.
Unless kama unafuata wanawake.
Very true mkuu, ulichozungumza ndicho kitu huwa naepuka.Unakaa bar mara mtu kulewa huko unakula chupa ya kichwa kesho unaamkia hospital, bar nyingi usalama ni mdogo pia watu wengi wana shida za akili ndio wanaenda kula mitungi hapo.
Ndiyo maana ukikutana na mtu wa Dar ukaongea na issue za kiuchumi au hata kisiasa na kijamii unakuwa kama unaongea na mtoto wa PrimaryIfikapo wikiendi wanaume wengi utawakuta maeneo ya kunywa pombe na kutazama michezo hasa mpira, wamejazana kwa wingi wakitumia kwa urefu wa kamba zao.
Katika jamii ya sasa ukiwa haufanyi mambo hayo, unaonekana kama bado sio mwanaume halisi, ili ukamilike ni lazima ubishane kuhusu mpira na ukae kwenye viti virefu.
Inasikitisha kwakweli.......
Niwatakie weekend njema wadau wote, iwe na heri kwenu na familia zenu.
Dogooo hao walalamikajiii wapotezeeee, hawana jipyaaaaWengi tu siwataji kwa majina ila wanasemq mna tabia chafu yaani hiyo midomo yenu hapana ,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Michezo mikubwa niliyowaza sasa 🙆😁!
Unapenda michezo mikubwa sweetheart...Michezo mikubwa niliyowaza sasa 🙆😁!