Sometimes unaweza kujiona Una akili sana kumbe bure kabisa. Hivi hujakutana mtu ana iPhone ya 2m halafu analia Hana mtaji?Hadi mtu awe na hiyo iPhone aje afanye biashara ya kukodisha mbao😂😂 bongo bhana....
Uliza na mtu mwingine usikie mawazo yake kuhusu alichosema fundi. Sometime wanakuwa correct.Naishi mbali kidogo na eneo husika, sasa hapo site kuna jamaa yangu pia amejenga akaniambia tuchukue kwake, ili kuokoa muda nikamtuma fundi akaziangalie kama zinafaa akasema hazifai kabisa
Na eti anajifanya fundi mwaminifu anasema hawezi kutumia mbao mbovu maana kazi zake yeye huwa hataki kuharibu
Basi nikawa sina namna ila kununua tu,
Hata hivyo umenipa somo, tunakoendelea bora ionekane nabishana na mtaalamu
Zilikuwa zimetumika zaidi ya mara moja na zimepigwa mvua sana masika nzima iliyopita ndio sababu nilikubaliana nae harakaUliza na mtu mwingine usikie mawazo yake kuhusu alichosema fundi. Sometime wanakuwa correct.
Ukiwa open minded unaona fursa nyingi sana.Watu wanaweza kuona mtu yupo tu kumbe ana mazaga yake anayakodi kimya kimya.
Sasa hii ya mbao ni low capital kuna yale ma scaffolding ndio balaa.
Nimekuwa kwenye sekta ya ujenzi kwa muda mrefu sana kwasababu mzee wangu yupo huko.Naishi mbali kidogo na eneo husika, sasa hapo site kuna jamaa yangu pia amejenga akaniambia tuchukue kwake, ili kuokoa muda nikamtuma fundi akaziangalie kama zinafaa akasema hazifai kabisa
Na eti anajifanya fundi mwaminifu anasema hawezi kutumia mbao mbovu maana kazi zake yeye huwa hataki kuharibu
Basi nikawa sina namna ila kununua tu,
Hata hivyo umenipa somo, tunakoendelea bora ionekane nabishana na mtaalamu
Kwamba ukimbana anakuachia anaondoka[emoji23][emoji23][emoji23]mafundi wa ajabu sanaNimekuwa kwenye sekta ya ujenzi kwa muda mrefu sana kwasababu mzee wangu yupo huko.
Nakwambia hakuna watu wabaya kama mafundi.
Fundi lazima atakuibia utake usitake na ukimbana sana anakuachia kazi yako anaondoka.
Wewe ni boss, kazi ya fundi ni kutekeleza. Ukimpa nafasi akupe ushauri kuhusu mambo ya fedha utamuachia hela nyingi sana.
Wewe sikiliza utaalamu wake, kama una make sense tekeleza tena kwa njia yako na sio njia yake.
Aise ahsante kwa ufafanuzi.Ni hivi kuna hatua ya ujenzi(beam ya zege) inahitaji mbao ili kutengeneza shape ya hio beam sasa mbao hizi unaweza kujikuta unatumia hata 200,000 kununua na ukimaliza kazi hii hutazihitaji sasa badala ya kununua unazikodi kwa hela ndogo kama 30,000 tu. Inapunguza gharama za ujenzi.
Nilikuwa nampa tu hongera jamaa yangu RRONDO kwani hatua aliyofikia ni kubwa, kutoka msingi hadi lenter, kuhusu makaro hapo mbao lazima zikatwe labda vipande viwe vingi,Kwenye ghorofa umekwenda mbali mno,kama una uwezo wa ghorofa huwezi kukodi mbao.hizo za kukodi mara nyingi huwa kwa kazi ya lenta,au kufunika shimo la maji taka,ni zile kazi ambazo leo umekodi ..fundi seremala anafunga leo na kumwaga zege..kesho zege unaiacha itulie,keshokuwa unafungua mbao unarudisha kwa mwenyewe.
Simple like that..
Pole sanaKwamba ukimbana anakuachia anaondoka[emoji23][emoji23][emoji23]mafundi wa ajabu sana
Yaani kama huyu ilibidi nimuache tu nisijekuonekana msumbufu
Nilipanga fundi mmoja tu ajenge yote lakini mpaka ngazi ya lenta tayari wameshapita watatu[emoji28][emoji28]
Wa kwanza akajenga msingi, kwa jinsi tu alivyoniharibia akakimbia mwenyewe
Wa pili nikampa kisima achimbe, miezi miwili kisima hakijaisha mpaka mvua zikaanza halafu anasema atachimba nikasema huyu simuachi, akaenda kurudisha hela yangu polisi.
Wa tatu, akanyanyua mpaka lenta nae ameshapiga piga sana anavyojua yeye..nikaona isiwe shida nikawa mpole
Leo nimeenda kukodisha mbao. Yule jamaa nimemuachia 30,000/- kwa mbao 20! Jamaa ana mbao nyingi tu Kwa ajili ya kukodisha. Nimefikiria unaweza kuanza hii biashara hata Kwa mtaji usiozidi bei ya iPhone moja latest. Imagine huyu mtu akipata wateja wawili tu kama mimi anatengeneza 60,000/- haina kodi wala nini maanake mbao ziko uwani kwake. Vijana amkeni fursa zipo zinasubiri uthubutu.
Magauni na suti za harusi zinakodishwa sana,same logic kwanini ununue suti 1 or 2m wakati unaivaa siku moja tu?!Ukiwa open minded unaona fursa nyingi sana.
Na fursa nyingine unaziona kutokana na shughuli unazozifanya, eneo unaloishi na vile unavyotoka kukutana na watu.
Niliambiwa kuna watu wanakodisha viatu hadi nguo kwa siku.
HaswaaaHa ha ha wewe najua unapambana nao kila siku
Anapiga hesabu hivi;Kwamba ukimbana anakuachia anaondoka[emoji23][emoji23][emoji23]mafundi wa ajabu sana
Yaani kama huyu ilibidi nimuache tu nisijekuonekana msumbufu
Nilipanga fundi mmoja tu ajenge yote lakini mpaka ngazi ya lenta tayari wameshapita watatu[emoji28][emoji28]
Wa kwanza akajenga msingi, kwa jinsi tu alivyoniharibia akakimbia mwenyewe
Wa pili nikampa kisima achimbe, miezi miwili kisima hakijaisha mpaka mvua zikaanza halafu anasema atachimba nikasema huyu simuachi, akaenda kurudisha hela yangu polisi.
Wa tatu, akanyanyua mpaka lenta nae ameshapiga piga sana anavyojua yeye..nikaona isiwe shida nikawa mpole
Daah Watanzania ni moja ya watu wanaopiga kazi mno kwenye Dunia hii ukiizunguka Mkuu sijui huo uvivu mnauzungumzia wa wapi...hata hapa Tanzania naona watu wanapiga kazi sema fursa nyingi za pesa zina password kubwa...Mkuu unachosema ni sahihi mno! WATANZANIA NI WAVIVU
Mwingine anaenda kwenye tukio kubwa hana suti ma viatu, anakuachia 200k unampa suti na viatu anakuridishia kesho yake.Magauni na suti za harusi zinakodishwa sana,same logic kwanini ununue suti 1 or 2m wakati unaivaa siku moja tu?!
Hii mbona ipo sana, wala haina shida ni biashara kama biashara nyingineDawasco wakikugundua watakuacha salama?? Mana dzain kama unawakimbizia wateja hv