Mkasa wa Afande Mwasifiga alivyopoteza kazi baada ya kubishana na hayati Rais Magufuli

Mifumo ya kiuongozi ndio ipo hivyo ukileta ujuaji unabemendwa hakuna jipya hapo
 
Kutangulia kufa si ushindi kwa upande wa pili,

Kinacho matter ni quality ya life uliyoiishi kwenye mapito yako je umeacha alama gani itayokufanya uwe na amani huko uendako.
 
Hoja imetoka kwa mtoa hoja we una Tatizo la Akili kama uamini nenda hospitali kapime alafu lete hapa majibu.

Wewe hujui tofauti ua "uamini" na "huamini".

Huwa siwaamini watu wasiojua kuweka h kwenye sehemu inayotakiwa katika Kiswahili.

Pamoja na wanaochanganya l na r.

Huna hata lugha ya kuweza kufanya mjadala na mimi.

Hawa watu wengi ni Walugaluga wasiojua hata Kiswahili, siwezi kufanya nao mjadala wa kimantiki.
 
Kutangulia kufa si ushindi kwa upande wa pili,

Kinacho matter ni quality ya life uliyoiishi kwenye mapito yako je umeacha alama gani itayokufanya uwe na amani huko uendako.
Ukishakufa umekufa hakuna kuwa na amani huko uendako, labda useme kuacha amani hapa duniani.

Magufuli kaacha majanga hapa duniani, hajaacha amani.
 
Ukishakufa umekufa hakuna kuwa na amani huko uendako, labda useme kuacha amani hapa duniani.

Magufuli kaacha majanga hapa duniani, hajaacha amani.
Kuacha amani duniani YES NDIO POINT.

Kupata habari za mtu siku zote huwa zina pande mbili sasa inategemea umechagua upande gani kuusikiliza. Na upo sahihi kulingana na upande uliouchagua kuusikiliza.
 
Kuacha amani duniani YES NDIO POINT.

Kupata habari za mtu siku zote huwa zina pande mbili sasa inategemea umechagua upande gani kuusikiliza. Na upo sahihi kulingana na upande uliouchagua kuusikiliza.
Pande zinaweza kuzidi kuwa hata zaidi ya mbili.

Lakini tunaweka pande zote kwenye mizani halafu tunapima upande gani umezidi.

Na Magufuli ukimpima objectively, utaona kaharibu sehemu nyingi kuliko alivyotengeneza.

Lakini, watu wengi hawapendi kupima vitu objectively, wanapenda kwenda kwa hisia kumpaisha Mzee wa Show za Kibabe.

Wanapenda kwenda kwa hisia zaidi, kama mwamba wao. Ndiyo maana wanamkubali sana tu.
 
Yule mfungwa akaendelea kusema..Ni kwambie UKWEL DR.MAGUFURI UKIONDOKA HAPA UONDOKE NA MIMI MAANA NTAUWAWA....NIKWAMBIE DR. MAGUFURI HAWA WANA MBINU NYINGI WATATUMIA HATA MA DACTARI WAKUUE KWA SINDANO YA SUMU
Watu wanaomuliza raisi maswali ya papo lwa papo au kuibua kero za eneo husika wote wanakuwa wamepangwa kabla. Raisi haulizwi swali na yeyote popote pale.
Haijawahi kutokea na haitatokea raisi kufanya ziara ya kustukiza lazima iandqliwe.
So jamaa alikuwa target na yule mfungwa yawezekana ni wa MAKUMBUSHO Alipelekwa pale kwa kazi maalumu
 
Naona unakomaa kupambana na hayati.
 
Mkuu unapotetea vitu angalia na upande wa pili , ebu fikiriq huyo mfungwa kaamua kujitoa muhanga unahisi kapitia mangap aliyoshindwa kuyameza moyon , ukute ata wanafir@ wafungwq , rudi Kwa daktari wako , kwenda private sio shida ila shida ni kuiba wagonjwa serikalini kupeleka private , kuharibu mashine za serikalin ili private zenu zifanye , mm nmekaa kwenye kada ya afya Kwa muda mrefu nimeiona sio kuhadithiwa , ukitaka Haki na ww tenda Haki

Marehem alifanya Kaz yake bila UNAFIKI , shukuruni hizo pesa za dhuruma mlizipata Kwa wiz kabla ya marehem , maana marehem alifuata Sheria na sio hisia kama mnavyotaka nyiny , UONEWE HURUMA KISA UNATAAFUTA KIPATO CHA ZIADA KWA NJIA HARAM ILA UKISIKIA MWIZ UNAMCHOMA MOTO INGAWAJ NA YEYE ANATAFUTA PESA KWA NJIA HARAM
 
Hapo kwa "watoto" wenye lugha za "kikuda" sijui mara apo kwenye hapo ,uamini badala ya huamini nimekuunga mkono,japo kwenye matumizi ya neno walugaluga ndio nimekuona "umepuyanga" ,lugha nyingine ni za "kimajinuni", Walugaluga ni Askari shupavu wa kukodiwa wa utawala wa kichifu wa unyanyembe enzi hizo,Sasa sijajua kwanini "wafuata upepo" wawahusishe na watu wa hovyo
 
Wacha uwongo dogo!! Magufuli alikuwa mtu wa dhuluma tu. Hajawahi kufuata sheria yeyote
 
Walugaluga ni watu wa makabila tofauti waliofikia sehemu fulani, hawajui hata lugha ya pale vizuri, ndiyo maana wanaitwa "walugaluga".

Hao Walugaluga original walichukuliwa jeshi la Wanyamwezi kutoka makabila tofauti kama Wakonongo, Wanubi etc wakalowea kwa Wanyamwezi.

Sasa hawa walugaluga wa siku hizi nao hawajui Kiswahili wanatuharibia lugha yetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…