Mkasa wa Afande Mwasifiga alivyopoteza kazi baada ya kubishana na hayati Rais Magufuli

Mkasa wa Afande Mwasifiga alivyopoteza kazi baada ya kubishana na hayati Rais Magufuli

Kwani wapi nimesema asingemuondoa nyota angebaki hai?

Unajua kusoma kwa ufahamu?

Hujaelewa hoja kubwa kwamba cheo ni dhamana, rais hakutakiwa kusema mimi naweza kukuondoa nyota. Ile ilikuwa lugha ya "Unanijua mimi nani? " kwa maneno mengine tu. Rais alitakiwa kutumia nguvu ya hoja, si kutumia hoja ya nguvu.

Kwa kufanya vile rais amedogosha nyota za jeshi na kuzifanya kama zinatolewa kwa hisani ya rais tu, si kwa merit ya mtu.

Kwa kusema hivyo, rais ameonesha kiburi kwamba yeye ndiye mwenye mamlaka yote. Guess what, hakuwa na mamlaka ya kukishinda kifo.

Kafa na kamuacha afande anadunda.
Nje na mada jpm aliwahi kukufirimba maybe?
 
Magufuli kajitapa kuvua watu manyota lakini na yeye kavuliwa uhai hakuweza kuzuia kuvuliwa uhai.

Cheo ni dhamana, usinyanyase watu kwa cheo...
Mimi binafsi nimekuelewa sana mkuu tofauti ni kwamba wengi wamelichukulia kwa mtizamo tofauti na ulichomaanisha, tuwape muda huwenda nao wakalifikiria kwa undani zaidi na kuelewa vizuri.
 
Huo ukubwa umeupima na rula
Another fool, wanyakyusa ni moja ya makabila makubwa hapa Tanzania. Mtu mmoja hawezi kuwakilisha tabia za kabila lote.
Huo ukubwa umeupima na rula ipi mpaka useme hivyo? au ndio tabia yenu hiyo ya kujisifia sifia tu wakati hamna lolote.😏😏
 
Logical non sequitur fallacy.

Hataishi milele ila Magufuli katangulia kufa kamuacha afande analifaidi jua bado.

Magufuli na mabobish yake yote ya "Naweza kukuvua manyota" hayakumsaidia kukishinda kifo.

Cheo ni dhamana, usikitumie kujimwambafy na kutishia watu.

Duniani wote tunapita tu.
Kwani mtu akifa anaenda wapi? Mbona kifo ni sawa na kuzaliwa tu!
 
Logical non sequitur fallacy.

Hataishi milele ila Magufuli katangulia kufa kamuacha afande analifaidi jua bado.

Magufuli na mabobish yake yote ya "Naweza kukuvua manyota" hayakumsaidia kukishinda kifo.

Cheo ni dhamana, usikitumie kujimwambafy na kutishia watu.

Duniani wote tunapita tu.
Afande vipi, atakishinda kifo?
 
Maafrika mengi mpaka uya deal perpendicular Tena by IRON & BLOOD Ila ukitaka discussion, debating mtu mweusi ni kumshuhurikia Kama hayati alivyo kua anafanyaa..

Tena Mimi ndio ntakuwa zaidi ya hayati nikipata nafasi maana sisi majority ni wavivu, wazembe, wakwepa majukumu & everything.
Si basi kuna muda watu wanajitoa akili makusudi utadhani atambue uhalisia wa waafrika ndiyo vile unasoma tu hoja ya mtu ili yasiwe mengi unakaa kimya.
 
Back
Top Bottom