#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

UPDATE-2: TUESDAY 01 NOVEMBER 2022

KUHUSIANA NA BIBLIA NA NOTEBOOK AU DAFTARI


Kwa wale ambao wamekuwa wakifuatilia uzi huu kwa muda mrefu; wanaelewa maana ya ya zoezi la Biblia kunyanyuliwa Madhabahu ya Bwana ikiwa imeshashambuliwa na mbele ya macho ya KM-A, kwa sababu haikuwa mara yake ya kwanza (KM-A) kufanya tukio la namna hiyo.

Mbali na hayo, tukio hilo pia linadhihirsha discrepancy mbili kubwa zifuatazo

Kitendo cha KM-A kusahahau Biblia yake chini hakikuwa kinalazimu Kiongozi ambaye ni VERY SENIOR kumpeleka KM-A Biblia madhabahuni

  • Kiongozi aliyeombwa kuepeleka Biblia ni “senior” mno ukizingatia kuwa viongozi “juniors” walikuwepo;
  • Katika hali ya kawaida, Kiongozi mmojawapo wa “juniors” ndiyo alitakiwa kupelekea Biblia juu, HILO MOJA
  • LA PILI: KM-A kuwaomba waumini wanyanyue Biblia zao juu; alikuwa halazimiki na yeye kuwa ameshikilia Biblia nyingine tena mkononi ukizingatia ukweli kuwa ile yake alikuwa ameisahau chini.
Kwa hiyo, KM-A angeweza “kupotezea” tu na kuwaomba waumini wanyanyue Biblia zao pasipo na yeye kuwa ameshikilia Biblia nyingine mkononi

Mbali na hilo, huko nyuma KM-A alishawahi kuendesha mara nyingi tu mazoezi ya aina hii (ya kuwaomba waumini wanyanyue Biblia zao juu) na karibia mara zote alikuwa anafanya hivyo pasipo na yeye kuwa amenyanyua Biblia nyingine tena

…………………….inaendelea
 
UP NEXT: BAADHI YA MAMBO MUHIMU KWENYE MAHUBIRI YA J2 YA TAREHE 04/09/2022 YALIYOKUWA NA KICHWA CHA SOMO KINACHOSEMA YAFAHAMU MAKAO YA UWEPO WA MUNGU WAKATI WA AGANO JIPYA”

Alyekuwa mhubiri wa kichwa cha somo hili ndiye yule ambaye alihubiri pia J2 iliyopita

MAELEZO YA UTANGULIZI

Katika kujaribu kuweka kumbukumbu sawa ni kwamba

  • Kwa mara ya kwanza, somo lenye kichwa hiki lilianza kufundishwa J2 ya tarehe 28/08/2022 wakati wa Ibada ya kwanza peke yake
  • Kwenye J2 hiyo tajwa, Ibada ya pili ilikuwa ni ya ndoa na hivyo somo hili halikufanikiwa kufundishwa tena
Kutokana na hali hiyo, somo hilo lilikuja kufundishwa tena kwa mara nyingine ya pili J2 iliyofuata ya tarehe 04/09/2022

Vile vile, somo la J2 iliyopita ya tarehe 30/10/2022, lilifundishwa kwenye Ibada ya kwanza tu sawia kama ilivyowahi kutokea kwenye somo lenye maelezo ya awali hapo juu

  • Somo hili nalo pia halikufundishwa kwenye Ibada ya pili kwa sababu ilikuwa ni Ibada ya ndoa pia
  • Kama iliyotangazwa J2 iliyopita na KM-A, somo hili litafundishwa tena J2 ijayo ya tarehe 06/11/2022
Zaidi ni kuwa kwa kumbukumbu zake mhusika; JUMAPILI YA TAREHE 08/03/2020 (ZAIDI YA MIAKA MIWILI ILIYOPITA)

  • Ibada ya pli likuwa ni ya ndoa
  • Kwa hiyo J2 hiyo somo la Ibada kuu lilifundishwa asubuhi tu
  • Mhubiri wa J2 hiyo pia alikuwa ndiyo huyu mhubiri wa haya masono mawili yaliyotajwa hapo juu
Mhusika hakumbuki kichwa cha somo J2 hiyo kilihusu nini isipokuwa anachotaka kukisema hapa kwa lugha ya kuazima ni kwamba:

Once is an accident”; “twice a coincidence” and “thrice; a pattern”

Hata hivyo, pattern hii inaweza isimaanishe kitu chochte cha maana kwa sababu mojawapo ya tukio (lile la zamani) linaangukia katika muda ambao unatofautina mno na haya mengine mawili ya hivi karibuni

Kwa hiyo pattern ya matukio haya yanaweza yasi-reveal anything sustanciall

…………………..inaendelea
 
MAELEZO MUHIMU YA NYONGEZA

Utaratibu wa kumshukuru Mungu badala ya ya kumshukuru KM-A kwa watumishi wenyeji wa Kanisa A ambao huwa wanapata baraka ya kusimama na kuhudumu madhabahuni kwenye Ibada kuu za J2, inaonekana unaweza kuwa umeanza kitambo kidogo ila mhusika alikuwa hajawa makini zaidi na utaratibu huu mpya

Anachoweza kusema kwa sasa ni kwamba utaratibu huu utakuwa umeanzia hapa katikati hivi karibuni ndani ya mwaka huu baada ya Ibada kuanza kuwa zinaruka LIVE

Huko nyuma kote kabla ya mwaka huu, mara nyingi, kama siyo zote, shukrani hizo zilikuwa zinamwendea KM-A
 
MAELEZO MUHIMU YA NYONGEZA-2

NAMNA UTARATIBU WA KUHITIMISHA IBADA KUU YA J2 YA TAREHE 30/10/2022 ULIVYOKUWA


Baada ya Ibada ya Kusifu na Kuabudu kummalizika; mhubiri alipanda juu madhabahuni na hatimaye kuhitimisha Ibada hiyo kwa sala

  • Kawaida kwa utaratibu ambao umeshajengeka na kuzoeleka japo siyo utaratibu wa kawaida na wala siyo mzuri, baada ya sala ya kuhitimisha Ibada ya Kusifu na Kuabudu; KABLA YA NENO “AMINA” huwa yanapigwa MAKOFI kwanza halafu “AMINA” ndiyo inafuata BAADA YA MAKOFI hayo
  • Huu siyo utaratibu wa kawaida. Utaratibu wa kawaida ni kwamba “makofi” yanatakiwa yawe mwisho baada ya neno “AMINA” na si MAKOFI kutangulia neno AMINA
Tofauti na ilivyo siku zote; siku hiyo neno AMINA lilianza kwanza halafu makofi ndiyo yakapigwa baadaye, japo kwa uchache na hivyo hadi hapo utaratibu ulio sahihi ukawa umefuatwa

  • Baadaye mahubiri yalianza na ulipofika wakati wa kuhitimisha mahubiri hayo, mhubiri aliwaomba waimbaji wa kikundi cha kusifu na kuabudu wapande tena juu madhabahuni KWA MARA YA PILI
  • Muda mfupi baadaye, huku waimbaji wa kikundi cha Kusifu na Kuabdu wakiwa bado wapo juu wanaimba, mhubiri alishuka chini na Kiongozi wa zamu alipanda juu kwenda kuhitimisha tena hafla hiyo fupi kwa sala.
  • Baada ya sala kutoka kwa Kiongozi wa zamu, ndiyo sasa YALIPIGWA MAKOFI ya siku zote yasiyofuata utaratibu wa kawaida; yale ambayo huwa yanalitangulia NENO AMINA
Makofi hayo hayakupigwa pale mwanzo kwenye muda wake stahiki kwa sababu kuna kitu ambacho kilikuwa kinahitajika na ambacho kwa wakti huo hakikuwepo au kilikuwa bado hakijafanyika madhabahuni. Baada ya mhubiri kupanda madhabahuni alienda akakimilisha kitu hicho; na hivyo kutengeneza nafasi ya kuruhusu sasa makofi hayo kuweza kupigwa

  • Hata hivyo, mhubiri yeye mwenyewe hakuweza kuhitimisha kwa sala hafla hiyo fupi na badala yake alishuka chini akimwachia kiongozi wa zamu afanye hivyo
  • Kitendo cha kumwachia Kiongozi wa zamu ahitimishe hafla hiyo ndiyo sasa kIkawa kimetengeneza nafasi nyingine ya makofi hayo kuweza kupigwa.
Kwa hiyo baada ya kiongozi wa zamu kupanda juu na kutoa sala ya kuhitimisha hafla hiyo fupi; ndiyo sasa MAKOFI KABLA YA NENO AMINA YAKAPIGWA
 
UPDATE: WEDNESDAY 02 NOVEMBER 2022

KUHUSIANA NA SOMO LILOFUNDISHWA NA MTUMISHI WA MUNGU KANISA A J2 YA TAREHE 04/09/2022

MTUMISHI HUYO ALIFUNDISHA SOMO HILO VIZURI MNO


Tofauti na J2 iliyopita, mtumishi huyu alifundisha somo lake vizuri mno wakati wa Ibada ya pili J2 ya tarehe 04/09/2022 lililokuwa na kichwa kilichosema “YAFAHAMU MAKAO YA UWEPO WA MUNGU WAKATI WA AGANO JIPYA”

Kutokana na hali hiyo, utofauti wa namna masomo haya mawili yalivyofundisha na mwalimu mmoja, ndiyo hasa kile kinachopelekea mhusika ahamasike kujadili kidogo swala hili na kwa lengo moja tu la kuyaweka wazi maoni yake kwa waumini wengine

  • Mbali na hayo, mhusika atakuwa pia na nyongeza ndogo tu kwenye somo hilo na ambayo inaonyesha wazi kuwa uwezekano mkubwa ni kwmba mwalimu wa somo aliisahau tu kuisema au alii-overlook kwa bahati mbaya
  • Vinginevyo somo hilo lilifundishwa vizuri mno na hakuna mahali popote kwenye somo hilo, ambapo mwanafunzi anaweza akamlalamikia mwalimu
  • Kama kulikuwa na chochote kile ambacho pengine kilikuwa nyuma ya pazia kwenye somo hilo, basi kitakuwa kilikuwa kimefichwa mno au kitakuwa kilikuwa kwenye upande wa lugha na tafsiri za lugha kwa sababu mwalimu katika kutolea mifano mojawapo ya maelezo yake, alitumia pia kipengelele hicho cha lugha na tafsiri za lugha
Vinginevyo somo hilo lilifundishwa vizuri mno; na mhusika atakuwa na nyongeza ndogo tu ila kabisa hana mahali popote kwenye somo hilo ambapo anaweza kusema kuwa ana malalamiko juu ya mwalimu wa somo la J2 hiyo; HAIPO

Kwa ujumla, mhusika hana chochote kile anachoweza kulalamika kwenye somo hilo la J2 ya tarehe 04/09/2022

……………….inaendelea
 
KABLA YA KUENDELEA ZAIDI:

KWA KIFUPI TU: SOMO JINGINE ZURI MNO ALILOWAHI KUFUNDISHA MTUMISHI HUYU KIPINDI CHA NYUMA


Kuna siku moja mtumishi huyu aliwahi kusimama madhabahuni na kufundisha somo liliofafanua mambo mawili ambayo KUTUMIKA PAMOJA NA BWANA na KUTUMIWA NA BWANA

Mtumishi huyu alsiema hivi:

  • Mtu huwa anatumika pamoja na Bwana anapokuwa anamtii na kumheshimu; Mungu huku akiwa anafanya kazi kwa ajili ya Bwana na si vinginevyo
  • Tofauti na hivyo, UNATUMIWA NA BWANA kwa maana ya kwamba unakuwa hutumiki pamoja naye, unapokuwa unafanya kazi kwa nje ukiwa unawaonyesha waumini kuwa unamtumikia Yeye lakini kwa ndani una lengo jingine tofauti na lile la kumtumika Bwana
Katika hili, mtumishi huyu aliongezea mfano mwingine akasema mnyama anaweza akatumiwa na Bwana lakini hawezi kutumika pamoja na Bwana. Mtumishi alienda mbele zaidi akatoa mfano halisi kutoka kwenye Maandiko matakatifu ya Biblia (Hesabu 22:22-40) ambayo nukuu yake ni kama inavyosomeka hapa chini

“Balaamu, Punda na Malaika

22 Hasira ya Mungu ikawaka kwa sababu alikwenda; malaika wa BWANA akajiweka njiani, ili kumpinga. Basi alikuwa amepanda punda wake, na watumishi wake wawili walikuwa pamoja naye. 23Na yule punda akamwona malaika wa BWANA amesimama njiani, na upanga wake mkononi mwake amekwisha kuufuta; punda akageuka upande ili kuiacha njia, akaingia shambani. Balaamu akampiga punda ili kumrejeza njiani. 24Kisha malaika wa BWANA akasimama mahali penye bonde, katikati ya mashamba ya mizabibu, tena penye kitalu upande huu na kitalu upande huu. 25Yule punda akamwona malaika wa BWANA, akajisonga ukutani, akamseta Balaamu mguu wake, basi akampiga mara ya pili. 26Malaika wa BWANA akaendelea mbele akasimama mahali pembamba sana, hapakuwa na nafasi ya kugeukia mkono wa kuume, wala mkono wa kushoto. 27Yule punda akamwona malaika wa BWANA, akajilaza chini ya Balaamu; hasira yake Balaamu ikawaka, akampiga punda kwa fimbo yake. 28BWANA akakifunua kinywa cha yule punda, naye akamwambia Balaamu, Nimekutenda nini, hata ukanipiga mara tatu hizi? 29Balaamu akamwambia punda; Kwa sababu umenidhihaki; laiti ningekuwa na upanga mkononi mwangu ningekuua sasa hivi. 30Yule punda akamwambia Balaamu, Je! Mimi si punda wako, nawe umenipanda maisha yako yote hata leo? Nimezoea kukutenda hayo? Akasema, La! 31Ndipo BWANA akafunua macho ya Balaamu akamwona malaika wa BWANA amesimama njiani, ana upanga mkononi mwake, umekwisha kufutwa naye akainama kichwa, akaanguka kifudifudi. 32Malaika wa BWANA akamwambia, Mbona umempiga punda wako mara tatu hizi? Tazama mimi nimekuja ili kukupinga, kwa sababu njia yako imepotoka mbele zangu, 33punda akaniona, akageuka upande mbele zangu mara tatu hizi; kama asingejiepusha nami, bila shaka ningalikuua wewe, nikamwacha yeye hai. 34Balaamu akamwambia malaika wa BWANA, Nimefanya dhambi; maana sikujua ya kuwa wewe umesimama njiani ili kunipinga; basi sasa, ikiwa umechukizwa, nitarudi tena. 35Malaika wa BWANA akamwambia Balaamu Enenda pamoja na watu hawa, lakini neno lile nitakalokuambia, ndilo utakalosema. Basi Balaamu akaenda pamoja na wakuu wa Balaki.

36 Balaki aliposikia ya kuwa Balaamu amefika, akatoka kwenda kumlaki, mpaka Mji wa Moabu, ulioko katika mpaka wa Arnoni, ulioko katika upande wa mwisho wa mpaka huo. 37Balaki akamwambia Balaamu, Je! Mimi sikutuma watu kwako kwa bidii ili kukuita? Mbona hukunijia? Je! Siwezi mimi kukufanyizia heshima nyingi? 38Balaamu akamwambia Balaki, Tazama, nimekujia. Je! Mimi sasa nina uwezo wo wote kusema neno lo lote? Neno lile Mungu atakalolitia kinywani mwangu, ndilo nitakalolisema. 39Balaamu akaenda pamoja na Balaki wakafika Kiriath-husothi. 40Balaki akachinja ng’ombe, na kondoo, akampelekea Balaamu na wale wakuu waliokuwa pamoja naye.”


KILE AMBACHO ALIWAHI KUKIPATA MHUSIKA KUTOKA KWENYE MAFUNDISHO HAYO

Ni kwamba:

  • Katika hali ya kawaida, watumishi wote wa Mungu muda wote huwa WANATUMIKA PAMOJA NA BWANA
  • Watumishi wa Bwana waliokengeuka wanaweza kwa wakati mmoja wanaweza WAKATUMIKA PAMOJA NA BWANA na wakati mwingine WAKATUMIWA NA BWANA kutegemea na hali zao kiroho
  • Wanyama pamoja na viumbe wengine na vitu vingine nje ya binadamu, vinaweza tu kutumiwa na Bwana na si vinginevyo
  • Watoto wadogo wasiojua chochote nao pia wanaweza tu WAKATUMIWA NA BWANA na si vinginevyo
  • Watumishi wote wa Mungu ambao hawajakengeuka, STRICTLY muda wote WANATUMIKA PAMOJA NA BWANA
Kwa hiyo watumishi wengine wa Bwana nje ya hawa waliotajwa kwenye kipengele hiki cha mwisho, ikiwa ni pamoja na watu wengine wote na vitu vingine vyote; hivi vyote huwa HAVITUMIKI PAMOJA NA BWANA bali huwa vinaweza tu KUTUMIWA NA BWANA

…………………inaendelea
 
NYONGEZA PEKEE ALIYONAYO MHUSIKA KWENYE SOMO LA J2 YA TAREHE 04/09/2022

Baada ya Yesu kushuka duniani na hatimaye kufa pale msalabani na hatimaye Pazia la Hekalu kupasuka (patakatifu pa patakatifu pakawa pamebaki wazi baada ya pazia kuchanika)
  • Kitendo hicho cha Pazia la Hekalu kupasuka kilipelekea ukuhani wa patakatifu pa patakatifu kuwa accessible na watu wote waliomwamini na kumkri kuwa Bwana na Mwokozi wao
  • HJata hivyo, “access” hiyo haikupatikana papo kwa papo siku Pazia la Hekalu lilipopasuka bali hadi siku ya Pentekoste baada ya Roho Mtakatifu (RM) kushuka; huku Yesu akiwa tayari alishapaa mbinguni wiki kadhaa zilizokuwa zimepita nyuma
KILICHOTOKEA BAADA YA RM KUWA AMESHUKA DUNIANI SIKU YA PENTEKOSTE

Ukuhani wa waamini wote ndiyo ulikamilika sasa kuanzia siku hiyo na maandalizi yake yalianzia siku pazia la helalu lilipopasuka,

Baada ya RM kushuka, waamini wote wakawa wamebadilika na kuwa Makuhani; (priesthood of all believers) na kuanzia pale patakatifu pa patakatifu pakawa panawakilishwa na Madhabahu iliyopo ndani ya Nyumba ya Bwana iliyojengwa kwa mikono ya wanadamu

  • Kuanzia pale RM aliposhuka, waamini wote waligeuka na kuwa MAHEKALU YA KIROHO; Yesu akawa yuko ndani yao na wao ndani ya Yesu
  • Kiroho Yesu akawa yuko ndani ya kila mwamini
Na kwa sababu Ibada za makusanyiko ya waamini (physical gatherings) bado zilitakiwa kuwepo na walipokuwa wamekusanyika; Ibada hizo watu wasingeweza kuzifanya kwa kutumia RM aliye ndani ya kila mmoja wao

  • Bado significance ya MAHEKALU YA KIMWILI AU kwa jina jingine MAJENGO yenye madhabahu ya Bwana ambapo waamini wanaweza kukusanyika na kwenda physically kukutana KIROHO na Bwana, bado iliendelea kuwepo
  • Madhabahu ya mahekalu hayo PHYSICAL ndiyo hiyo ambayo huwa ipo kwenye Nyumba zilizojengwa kwa kutumia mikono ya wanadamu na hapo ndipo ambapo BWANA HUWA PIA YUPO MUDA WOTE kwa ajili ya kukutana na physical gatherings ya waumini
  • Still MUDA WOTE BWANA YUPO PIA ndani ya kila muumini kama RM; msaidizi wa kila mtu aliyemkiri Yesu kuwa Bwana na Mwokozi wa maisha yake
Kwa kifupi ni kwamba MUDA WOTE Bwana yupo ndani ya kila mtu aliyemkiri Yesu kuwa Bwana na Mwokozi wa maisha yake na MUDA WOTE Bwana yupo pia kwenye Madhabahu ya kila nyumba inayoitwa Nyumba ya Bwana kwa ajili ya waumini wanaokusanyika pale KIMWILI NA KIROHO

UPNEXT:
DHANA ALIYONAYO MHUSIKA KUTOKANA NA DISCREPANCY KUBWA HII ILIYOJITOKEZA KWENYE MASOMO HAYA MAWILI YALIYOFUNDISHWA NA MWALIMU
 
DHANA ALIYONAYO MHUSIKA KUTOKANA NA DISCREPANCY KUBWA MNO ILIYOJITOKEZA KWENYE MASOMO HAYA MAWILI YALIYOFUNDISHWA NA MWALIMU MMOJA

Ni kwamba somo hili liliofundishwa J2 tarehe 04/09/2022 litakuwa lilishusha upako ndani ya kila muumini wa Kanisa A na pia kwenye Madhabahu ya Kanisa hilo, ambao haukutarajiwa na waumini hao; na pengine possibly wengi wao pasipo kujua kuwa kuna upako wa kiwango kikubwa mno uliwashukia siku hiyo


  • Ikumbukwe kuwa huwa ni VERY RARE kwa waumini wa Kanisa A kufundishwa ujumbe POSITIVE unaowahusu wao, hasa kujitambua kwao ili waweze kuwa na mwanga wa namna maisha yao yalivyo ndani ya Kristo
  • Mara nyingi sana na karibia mara zote, waumini hawa huwa wanafundishwa masomo yenye vichwa ambavyo viko NEGATIVE tu au vyenye kuonyesha kuwa wana mapungufu makubwa mno, na si vichwa vya masomo vyenye kuwafanya wajitambue wakoje ndani ya KRISTO YESU
Ukiona siku waumini wa Kanisa A wanafundishwa somo lenye kichwa ambacho ni POSITIVE, ujue linahusiana na maswala ya UTOAJI na si vinginevyo

Sasa kosa kubwa na ambalo mhusika ana uhakika kabisa kuwa halitarudiwa tena, lilifanyika J2 hiyo ya tarehe 04/09/2022

Kwa jinsi anavyoona yeye, kosa hilo lilifanywa baada ya mwalimu wa somo kuwa ameyakoroga vibaya mno mambo kwenye somo moja alilowahi kufundisha wiki kadhaa nyuma kabla ya tarehe hiyo. Mhusika alimlalamikia sana mwalimu kwenye somo hilo

Pengine baada ya mwalimu kujisikia vibaya kutokana na malamiko hayo (ambayo mhusika ana uhakika pia kuwa hayakutoka kwake tu, bali kwa waumini wengine pia); ndiyo sasa akaamua kuibuka kivingine tarehe 04/09/2022 akiwa na somo lenye kichwa POSITIVE na pia, kulifundisha somo hilo exactly kama lilivyotakiwa kufundishwa, na hapo ndipo kosa la kwanza lilipofanyikia

Mbali na hayo, kwa bahati mbaya (bahati mbaya kwa KM-A, bahati nzuri kwa mhusika), muda siyo mrefu sana baada ya tarehe ya somo hilo lililosababisha kosa la kwanza:

  • Kuanzia J5 ya tarehe 19/10 hadi J2 23/10/2022; Kanisa A likawa mwenyeji wa kongamano kubwa la Jimbo ambapo waumini wa makanisa mengi sana kutoka ndani na nje ya Mkoa wa Dar es Salaam walikusanyika kwenye kongamano hilo
  • Kongamano hilo nalo pia litakuwa limepelekea kuongeza upako mwingine tena na wa pekee sana uliotokana na waumini na watumishi waliofika hapo Kanisa A wakitokea sehemu mbalimbali za pembe ya nchi.
Kwa hiyo kwenye kongamano hili, ndipo mahali pengine panapoonyesha uwezekano mkubwa sana wa kufanyikia kosa la pili

Kawaida mara zote KM-A
huwa anakwepa sana kufanya makosa ya namna hii ila safari naona alilazimika

Baada ya makosa haya mawili kuwa yamefanyika, KM-A sasa akaja mbogo kwa ajili ya ku-rescue situation ili kukwepesha madhara ambayo yangeweza kumpata, na kilichotokea baada ya hapo; mhusika tayari ameshakitolea maelezo kamili humu jukwaani, kuanzia siku ya J2 ya wiki iliyopita

MFANO HALISI AMBAO MHUSIKA ANAPENDA KUUMBATANISHA NA KISA CHA MAELEZO HAYA

KWA WAUMINI WA KANISA A WANAOWEZA KUWA BADO WANAKUMBUKA USHUHUDA ULIOWAHI KUTOLEWA NA MTUMISHI WA MUNGU: MTOTO MLEMAVU WA MIGUU ALIWAHI KUPOKEA UPONYAJI WA MIGUU ILIYOKUWA IMEPINDA KWENYE IBADA YA MAIGIZO YA WATOTO WALIOKUWA WANACHEZA UWANJANI


Nadhani ilikuwa mwaka 2011 au 2012 ambapo Kanisa A lilitembelewa na mtumishi wa Mungu mgeni na wakati anahudumu kwenye Ibada kuu aliwapa waumini wa Kanisa A ushuhuda huu ambao unaambatana na kisa cha kweli kilichowahi kutokea
  • Kwamba mahali fulani mtaani kundi la watoto walikuwa wakicheza na wengi wao walikuwa ni kutoka familia za waamini
  • Wakiwa wanacheza, ilifikia kipindi wakaamua kuigiza namna ambavyo huwa wanaona bada zinaendeshwa Kanisani wanapokuwa wapo kwenye Ibada Kanisani
Watoto hawa walianza kwa kuigiza mlolongo wote wa namna ambavyo Ibada huwa zinaendeshwa Kanisani hadi wakafikia kwenye hatua ya Matangazo kutoka Ofisi ya Wazee
Baada ya matangazo kutoka ofisi hiyo, ulifuata ukaribisho kwa watu wote wenye matatizo ili wapiti mbele ya madhabahu ili waweze kuombewa na Mchungaji
  • Watu walijitokeza na maombi yakaanza
  • Miongoni wa waliojitokeza alikuwa ni mtoto mwenzao ambaye alikuwa ni mlemavu wa miguu kwa kuzaliwa; miguu ilikuwa imepinda
MTOTO APOKEA UPONYAJI WA MIGUU ILIYOKUWA IMEPINDA

Wakiwa wanaendelea na maigizo hayo, kumbe at some point somewhere, walifanya kitu katika namna ambayo kitu hicho kilisababisha Roho Mtakatifu (RM) ashuke na hivyo wakati wanakaribisha watu wa kuombewa, RM alikuwa tayari ameshafunika eneo hlo walipokuwa
  • Maombi yalipoanza tu mtoto aliyekuwa na ulemavu wa miguu alipona; miguu ilinyooka.
  • Baada ya tukio la mlemavu kunyooka miguu, wenzake wote waliogopa na kila mmoja kuanza kutimua mbio kurudi makwao
Mtoto aliyepokea uponyaji wa kunyooka miguu naye pia alitimua mbio, kwa mara ya kwanza safari hii akiwa na miguu iliyokuwa imenyooka sawasawa

HITIMISHO
Pamoja na ukweli kwamba MADHABAHU YA KANISA A BADO HAIJAWEKWA WAKFU, KWA MARA YA MWISHO, MHUSIKA ANAMTAHADHARISHA KM-A AACHE KUENDELEA KUICHEZEA MADHABAHU YA BWANA. ASIPOACHA, MUDA SIYO MREFU MADHABAHU HIYO ITAMCHINJA

MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: WEDNESDAY; 02 NOVEMBER 2022

“VERY INTERSTING STORY”:MWISHONI MWA SEPTEMBA 1999 (ZAIDI YA MIAKA 23 ILIYOPITA) MHUSIKA ALIWAHI KUTOROSHWA NA JAMAA YAKE WA KARIBU KUTOKA DAR ES SLAAM NA KUPELEKWA MIKOANI NA PASIPO YEYE MWENYEWE KUJUA KUWA ALIKUWA ANATOROSHWA


Kipindi hicho wakati anatoroshwa, mhusika hakujua kama alikuwa anatoroshwa isipokuwa alikuja kugundua baadaye sana na kwenye kipindi cha hivi karibuni tu huku miaka mingi ikiwa imeshapita (possibly aligundua mwaka 2017 au 2018), na pia baada ya matukio mengine mengi kuwa yameshajitokeza
  • Mkoani alikotoroshewa aliwakuta baadhi ya watu aliokuwa akisoma nao alipokuwa anafanya shahada ya kwanza
  • Mmojawapo wa aliowakuta huko na swahiba wake wa karibu sana; walikuwa wanasoma kozi moja ya ualimu, ila masomo tofauti
  • Walikuwa wanafahamiana tu japo hawakuwa karibu sana
  • Wakiwa mwaka wan ne wa masomo yao, walikishi mabweni jirani na pia wanaongea lugha moja kwa sababu wote wanatokea sehemu moja
Swahiba huyu kwa sasa ni staff-mate wake ila wako idara tofauti; ofisi zao zikiwa kwenye majengo tofauti ila ambayo hayako mbali sana

NAMNA MHUSIKA ALIVYOTOROSHWA KUPELEKWA MKOANI

MAELEZO YA UTANGULIZI


Mwaka 1997 mhusika akiwa tayari anasoma masomo ya Shahada yake ya kwanza ambayo yalikuwa ni ya muda wa miaka minne (alimaliza 1999) alipata wazo la kubadilisha kozi na kuamua kusoma Shahada ya Biashara (Bachellor of Commerce) badala ya ile aliyokuwa anafanya wakati huo ambayo ilikuwa ni ya Ualimu (Physics na Mathematics)
  • Kutokana na hali hiyo, ilipofika Septemba 1997, mhusika aliamua kuomba upya kozi ya Biashara kwa kutumia vyeti vyake vya Diploma ya Uhasibu akiwa amepanga kuwa kama angefanikiwa, angeweza kuanza mwaka wa kwanza Septemba 1998.
  • Wakati anaomba kozi hiyo ilikuwa mwishoni mwaka 1997 na alikuwa mwanzoni mwa mwaka wake wa tatu kwa kozi aliyokuwa anasoma
Baada ya kukamilisha mchakato wote wa maombi; ilipofika June 1998 majibu yalitoka na mhusika alibahatika kuchaguliwa kwenye kozi hiyo aliyokuwa ameiomba, tayari kwa kuanza Septemba 1998. Kipindi hicho majina yalikuwa yanatolewa kwenye magazeti; jina lake lilitoka

BAADA YA KUCHAGULIWA KWENYE KOZI HIYO MPYA, MHUSIKA APATA MSUKOSUKO NA KUTISHIWA KUFUKUZWA MASOMO CHUONI

Kipindi hicho, muongozo uliohusu maombi ya kujiunga na kozi mbalimbali kwenye vyuo ulikuwa haukatazi mtu kuomba kusoma kozi nyingine ukiwa tayari unasoma kozi moja, ambayo ungependa kuiacha.
  • Kilichokuwa kinakatazwa ni mtu kuchukua mkopo wa fedha kutoka Wizara ya Elimu mara mbili na kwa wakati mmoja; hicho ndicho kilichokuwa kinakatazwa
  • Baada ya jina la mhusika kutoka na kuonyesha kuwa alikuwa amechaguliwa kozi ya Biashara na kwenye chuo hicho hicho alichokuwa anasoma; kumbe mahali fulani pale chuoni, ikachukuliwa na wakubwa fulani kuwa alikuwa anataka kuiba fedha, ili awe anapata hela ya mkopo mara mbili.
Katika hali ya kawaida, waliodhani kuwa anataka kuwa anachukua mikopo mara mbili walitakiwa wawajulishe Wizara ya Elimu; ambao ndiyo waliokuwa wanatoa fedha hiyo

Chuo kilikuwa kimempa admission ila waliokuwa wanamlipia masomo na kumpa fedha ya kujikimu, walikuwa ni Wizara ya Elimu

Kwa hiyo katika hali ya kawaida; chuo walitakiwa wawajulishe Wizara ya Elimu kwamba “wao Wizara ya Elimu walikuwa wanakaribia kuibiwa na mtu ambaye wao (chuo) walikuwa wanamfahamu” na baada ya hapo sasa Wizara ingejiridhisha yenyewe kama kweli huyu mtu alikuwa ni mwizi ama la

Kwa by Juni 1998, chuo walichukua jukumu la kukatalia matokea yake ya mwaka wa tatu na hivyo kupelekea mhusika kushindwa kwenda kufanya mazoezi ya vitendo (kufundisha Sekondari) mwaka huo, kitendo kilichopelekea alazimike kuyafanya mazoezi hayo mwaka uliofuata wa 1999, na kwenye muda ambao wenzake aliokuwa anasoma nao mwaka mmoja, walikuwa tayari wameshamaliza masomo na kurudi makwao

Zaidi mhusika alipata kesi nzito sana iliyokuwa ikimtishia kufukuzwa chuo na baada ya kusamehewa alipewa onyo kali sana

Haya ndiyo matatizo ya kutoka kwenye familia za kawaida; unahisiwa mwizi hata kama siyo mwizi (waTanzania inabidi tuchape kazi sana tuondoe umaskini na pia tusiibe; twendeni na Mama kwa Kishindo Kikuu mithili ya Mungu alivyoenenda na watu wale wane”)

………………..itaendelea kesho
 
UPDATE: MONDAY; 07 NOVEMBER 2022

KWA WAUMINI WA KANISA A:


Je, mmekisikia kile ambacho kimegongana tena na maombi ya wiki iliyopita, yaliyoanza J5 hadi Ijumaa, maombi ambayo yalikuwa ni ya mfungo wa maji tu?

UPNEXT: MATUKIO ALIYOYAONA NA PIA YALE ALIYOKUMBANA NAYO MHUSIKA ‘KANISA A’ J2 YA TAREHE 06 NOVEMBA 2022


Matukio hayo yalianza muda mfupi kabla ya Ibada kuanza

Kwa J2 hii hapakuwa na tatizo la usikivu kwenye sehemu aliyokuwa amekaa mhusika japo pale mwishon Ibada ikiwa inakaribia kuisha, aliliamua kubadilisha sehemu ya kukaa; na aliweza kukaa kwenye sehemu zingine mbili taofauti muda mfupi kabla ya Ibada kufungwa

Mojawapo ya wahusika kwenye matujio hayo ni Security Guard (huyu tumwite SG) na Professa (huyu tumwite PRF) ambaye hapo awali alikuwa ni mtumishi Kanisani hapo ila kwa sasa ameshapumzika

Details zaidi zitawajieni hivi punde
 
MATUKIO ALIYOYAONA NA PIA YALE ALIYOKUMBANA NAYO MHUSIKA AKIWA YUPO ‘KANISA A’ J2 YA TAREHE 06 NOVEMBA 2022

MAELEZO YA UTANGULIZI


Matukio ALIYOYAONA mhusika J2 ya tarehe 06/11/2022 yalitukia MUDA MFUPI KABLA YA IBADA KUANZA NA VILE VILE PIA, MUDA MFUPI KABLA YA IBADA KUISHA; wakati yale ALIYOKUMBANA NAYO, yote yalitukia MUDA MFUPI TU BAADA YA IBADA KUISHA, akiwa tayari yupo kwenye parking za gari akijiandaa kuwasha gari lake ili arudi nyumbani kwake

Tukio lile lililomtokea kwenye parking, ndiyo ambalo kwa sasa, analichukulia kuwa ni mojawapo ya matukio makubwa sana yaliyowahi kumkumba akiwa kwenye eneo la nyumba hiyo ya Ibada

Hadi kufikia J2 hiyo, mojawapo ya matukio makubwa ambayo yalikuwa yanashikilia rekodi, ni lile lililowahi kumtokea zaidi ya miaka miwili iliyopita kwenye J2 mbili mfululizo za tarehe 19/04/2020 na 26/04/2020 ambapo kwenye J2 ya kwanza kulitokea mgogoro wa SANITIZER, mgogoro uliopelekea kuwepo kwa tukio jingine J2 iliyofuata ya tarehe 26/04/2020

Kwa alichokiona yeye, pasipo kutumia akili kwenye J2 ya tarehe 26/04/2020, pangeweza kutokea fujo kubwa sana Kanisani hapo na ambazo zingepelekea mhusika kupigwa sana. Hiki ndicho alikiona kuwa kilikuwa kimepangwa na KM-A kufanyika Kanisa-A siku hiyo

Hata hivyo kwa upande mwingine, tukio la jana J2 ya tarehe 06/11/2022 lilikuwa kubwa mno kiasi kwamba limevunja rekodi ya matukio yote makubwa yaliyowahi kumtokea mhusika kwenye mazingira ya Kanisa A

Na ndiyo maana kwenye siku za J5 hadi J2 za wiki iliyoanzia tarehe 17 hadi 23 ya mwezi uliopita (Oktoba 2022), pamoja na kuwa kulikuwa na makongamano makubwa mawili kwenye makanisa yote mawili ambayo mhusika alishawahi kuwa muumini/ ni muumini (Kanisa B na Kanisa A yote kwa pamoja), mhusika aliamua kufuta kabisa ratiba ya makonganmano hayo ikiwa ni pamoja na Ibada yake ya J2 ambayo ilikuwa moja tu na ambayo ilifanyikia Kanisa A

Kwa kuchukua hatua hiyo, mhusika alikuwa yuko sahihi 100%. Hili analisema kutoka sasa kwenye experience ya tukio lililompata J2 iliyopita hapo kanisani kwake, yaani Kanisa A wakati anajiandaa kurudi nyumbani

SG aliyewahi kuhusika kwenye tukio la SANITIZER, zaidi ya miaka miwili iliyopita, ndiye aliyehusika tena kwenye tukio la jana J2 ya tarehe 06/11/2022

Details zaidi za tukio hilo zitawajieni hivi punde

BAADHI YA MATUKIO MUHIMU ALIYOYAONA MHUSIKA J2 YA TAREHE 06/11/2022 ALIPOKUWA YUPO KANISA A

………………..inaendelea
 
BAADHI YA MATUKIO MUHIMU ALIYOYAONA MHUSIKA J2 YA TAREHE 06/11/2022 ALIPOKUWA YUPO KANISA A

J2 hiyo mhusika aliingia Kanisani muda mfupi kabla ya saa 4:30 asubuhi; na katika muda ambao Ibada ya kwanza ilikuwa tayari imeshamalizika na Ibada ya pili ilikuwa inakaribia kuanza

  • Kutokana na ukweli kuwa Ibada ya kwanza ilikuwa tayari imeshamalizika, magari ya waumini wengi wa Ibada ya pili yalikuwa tayari yameshatoka nje na hivyo kulikuwa tayari kuna nafasi ya kutosha ndani kwa ajili ya parking kwa waumini wa Ibada ya pili
  • Kwa hali hiyo mhusika aliingia moja kwa moja ndani ya uzio wa parking na baada ya kuingia aliona sehemu mbili karibu pale zilizokuwa wazi kwa ajili ya parking
  • Baadhi ya parking (kama tatu hivi) zilikuwa ni zile za hapa mwanzoni kabisa upande wa kushoto mwa geti kuu la kuingilia ndani ya uzio wa Kanisa
  • Parking nyingine tena moja ilikuwa jirani na lango la kuingilia ndani ya Kanisa na ilikuwa kwenye sehemu ile ambayo haina ngazi isipokuwa ina kilima tu kidogo ambacho waumini huwa wanakitumia kupandisha au kuteremka wanapokuwa wanaingia ndani au wanapokuwa wanatoka nje ya Kanisa
Kwenye sehemu jirani na kilima hicho, mojawapo ya gari zilizokuwa zimepaki pale ilikuwa ni gari ya mama wa kiroho wa mhusika

  • Baada ya kuiona parking hiyo, mhusika naye aliamua kupaki gari lake pale.
  • Mojawapo ya sababu zilizopelekea achague sehemu hiyo ni kwamba pale mlangoni palikuwa ni salama zaidi kwa gari yake ukilinganisha na parking zile zingine tatu ambazo zilikuwa karibu mno na domo la geti la kuingilia ndani ya uzio wa Kanisa
Kwa hiyo mhusika aliamua kupaki pale, pembezoni tu mwa gari la mama wa kiroho, kulia kwa gari la mama wa kiroho

Zaidi ni kuwa mhusika hakumbuki ni lini mara ya mwisho aliwahi kupaki gari lake jirani na la mama wa kiroho pale Kanisani isipokuwa anachokumbuka ni kwamba kwa mara ya mwisho (zaidi ya mwaka umepita), mama wa kiroho aliwahi kumpisha mhusika kwenye nafasi ili apaki gari lake, mhusika akiwa anaingia ndani kwa ajili ya Ibada ya pili, na mama wa kiroho naye akiwa anatoka nje, baada ya Ibada ya kwanza kuwa imemalizika. J2 hiyo, mama wa kiroho naye alichelewa kidogo kutoka, na inawezekana kuwa hata J2 ya tarehe 06/11/2022 mama wa kiroho alikuwa amechelewa kutoka pia; kwa sababu inaonyesha alikuwa amehudhuria Ibada ya kwanza. Baada ya Ibada ya pili kumalizika mhusika alikuta gari nyingine tofauti ikiwa imepaki kwenye nafasi ile ambayo awali lilipaki gari la mama wa kiroho, huku gari la mama wa kiroho likiwa halipo tena kwenye mazingira yale

WAKATI MHUSIKA ALIPOKUWA ANAPAKI GARI LAKE SEHEMU ILE ALIYOCHAGUA

Akiwa bado yupo kwenye pilika za kupaki gari lake pale, kwa umbali kidogo mhusika alimuona rafiki yake wa karibu akipita mbio maeneo yale. Huyu alikuwa ni mtoto wa pili kutoka mwisho wa MR X. Baada ya mhusika kuwa ameshuka kwenye gari, alitamani amfuate mtoto huyo lakini baadaye alighairi baada ya kukutana na muumini mwingine eneo hilo hilo na ambaye walikuwa wamepotezana kwa kipindi kirefu Kanisani hapo

  • Huyu alikuwa ni mdogo wake na Kiongozi ambaye aliwahi kuwepo hapo Kanisa A kipindi cha nyuma, kabla hajahamishiwa sehemu nyingine
  • Muumini huyu alikuwa amevaa shati la Kitenge na baada ya mhusika kutupa macho mbele, kwa mbali kidogo alimuona muumini mwingine wa pili (wa kiume) naye pia akiwa amevaa shati la kitenge cha aina hiyo hiyo
  • Muumini huyu (wa pili) alikuwa anatoka nje akielekea ndani Kanisani
  • Wakati huo mhusika na muunini huyu mwingine wa kwanza walikuwa wanaendelea kubadilishana mawili matatu huku nao wakiwa wameshika uelekeo wa kuelekea ndani Kanisani
Haukupita muda mrefu kabla mhusika na muumini huyu hawajaachana na hatimaye mhusika aliingia ndani ya Kanisa na kuelekea kwenye eneo lile lile la siku zote ambalo amezoea kukaa

Muda si mrefu baada ya mhusika kuchukua nafasi yake, muumini wa pili aliyekuwa amevaa sare, alipandisha juu madhabahuni na kuwaomba waumini wasimame tayari kwa kuanza Ibada ya pili kuanza

Hata hivyo, kabla hajaendelea mbele zaidi na Ibada

  • Muumini huyu alishuka chini kutoka madhabahuni na kuelekea kwenye viti vya mbele kabisa
  • Baada ya mhusika kutupa jicho sehemu ile, alimuona muumini huyu wakiwa anateta kitu na KM-A huku KM-A akiwa amekaa chini peke yake kwenye mojawapo ya viti vilivyokuwepo eneo hilo
Muda siyo mrefu, muumini na KM-A waliachana; muumini akapandisha tena juu madhabahuni na KM-A naye akatoka nje ya Kanisa

Baada ya hapo Ibada ilianza huku KM-A akiwa hayupo. Baada ya takribani dakika kumi au robo saa kuwa imepita; KM-A naye ndiyo aliingia sasa Kanisani, Ibada ikiwa tayari imeshaanza

Ilikuwa ni mara ya kwanza kwa mhusika kumuona KM-A akiwa katika mazingira ya aina ile, tangu Desemba 2021 Ibada zilipohamia kwenye nyumba hiyo mpya ya Ibada

Ni mara nyingi tu mhusika alishawahi kumuona KM-A akiwa yupo kwenye hali ya pilika pilika za kutoka nje ya nyumba hiyo ya Ibada, mara baada ya Ibada ya kwanza kuwa imemalizika ila si kumuona akiwa amekaa mahali peke yake kwenye kiti na katika namna ambayo ilionyesha kuwa alikuwa pale akimsubiri mtu mwingine

………………………inaendelea
 
IBADA YA KUSIFU NA KUABUDU

Ibada ya Kusifu na Kuabudu ilianza na baadaye ilihitimishwa kwa sala na Kiongozi wa zamu.

Sala iliyohitimisha Ibada hiyo ilimalizia kwa neno AMINA na baada ya hapo waumini walishangilia kwa kupiga makofi; kitu ambacho ni kawaida kabisa

  • Hata hivyo, baada ya makofi hayo kupigwa, Kiongozi wa zamu aliwaomba waumini waliokuwa tayari wameshakaa wasimame juu na mhusika naye pia alifanya hivyo
  • Baada ya waumini kusimama, Kiongozi wa zamu aliwaomba waumini wapige makofi mengine tena; makofi ambayo safari hii mhusika hakufanikiwa kupata nafasi ya kuyapiga.
WAKATI WA MAHUBIRI

Baada ya waumini kupiga makofi ya pili na hatimaye kuombwa wakae, Kiongozi wa Zamu alimkaribisha mhubiri au mwalimu wa somo la siku hiyo

Baada ya mwalimu wa somo kukaribishwa na hatimaye kutoa salaamu zake kwa waumini, alitambulisha somo lake lililokuwa na kichwa chenye kusisitiza heshima na/ adabu ndani ya NYUMBA YA BWANA

Somo hilo lilikuwa zuri mno na lilifundishwa vizuri mno, ukizingatia kuwa kichwa chake kilikuwa kinazidi kutambua uwepo wa NYUMBA YA BWANA, tofauti na lile jingine llililowahi kufundishwa hapo awali siku ya J2 ya tarehe 04/09/2022

Kama ambavyo mhusika aliwahi kugusia hivi karibuni, pamoja na uzuri wa namna lilivyofundishwa somo lile la mwanzo J2 ya tarehe 04/09/2022 bado somo hilo halikutambua uwepo wa nyumba ya Bwana kwa sababu lilitumia mafungu ya Biblia yaliyosema kuwa Bwana hakai kwenye majengo yaliyojengwa kwa mikono ya wanadamu

Kwa hiyo, kwa upande mwingine somo la J2 ya tarehe 06/11/2022 lilikuja na kitu kingine cha ziada na kikubwa zaidi, na hivyo lilifanya kazi ya ku-OVERWRITE baadhi ya mambo ambayo hayakuwa yamewekwa vizuri sana kwenye somo la J2 ya Septemba 2022

Kwa ujumla somo hilo lilikuwa zuri mno na lilifundishwa vizuri sana; mwalimu wa somo alikuwa mzuri mno

BAADA YA KIPINDI CHA SOMO KUU LA IBADA YA SIKU HIYO KUPITA NA HATIMAYE KUINGIA KIPINDI CHA MATANGAZO

Matangazo ya awamu ya kwanza yalitoka ofisi ya wazee

Kiongozi wa zamu aliyehusika na matangazo hayo; japo mwenyeji wa miaka mingi kwenye ofisi hiyo:

  • Kwa kipindi cha kuanzia Desemba 2021 Ibada zilipohamia kwenye Kanisa jipya hadi J2 hiyo ya matangazo, mhusika anakumbuka kumuona Kiongozi huyu mara moja tu akiwa amesimama kwenye madhabahu na kusimama huko haikuwa kwa ajili ya kutoa matangazo
  • J2 pekee hiyo ambayo mhusika aliwahi kumuona kiongozi huyu akiwa amesimama madhabahuni (mhusika hakumbuki kama ilikuwa ni wakati wa Ibada ya pili au ya kwanza; mara chache chache mhusika amekuwa akilazimika kubadilisha ratiba na hivyo wakati mwingine kuhudhuria Ibada ya kwanza badala ya Ibada ya pili), ilikuwa ni kwa ajili ya salaam kwa waumini baada ya kuwa amerudi kutoka safari ambayo ilipelekea asiwepo Kanisani kwa muda fulani wa kutosha
Hata hivyo mara nyingi sana mhusika amekuwa akimsikia Kiongozi huyu akiwa anatajwa kwenye RATIBA ya matangazo ya J2, kuwa J2 inayofuata angekuwa zamu lakini siku za Ibada husika zilipokuwa zinawadia, zamu hizo zimekuwa zikichukuliwa na viongozi wengine na hivyo kwa muda mwingine wote ulipoita, viongozi wengine tu na si yeye, ndiyo wale ambao wamekuwa wakisimama kwenye zamu zake

Takwimu hizi hasa ni kwa mujibu wa Ibada za pili tu za Kanisa A ambazo mhusika ndiyo huwa anahudhuria.

Anachokijua mhusika kuhusu Kiongozi huyu ni kwamba kwenye RATIBA YA ZAMU huwa yupo kama kawaida na kwenye matangazo ya zamu kwa kila J2 huwa anatajwa kama kawaida ila linapofikia swala la kusimama madhabahuni kama ratiba ambavyo imekuwa ikisomwa, Kiongozi huyu amekuwa haonekani madhabahuni

Kwa hiyo J2 iliyopita ilikuwa mara ya kwanza kwa Kiongozi huyu kusimama madhabahuni kutoa matangazo wakati wa Ibada ya Pili

Mbali na huyu, kuna kiongozi mwingine tena ambaye naye pia anaangukia kwenye scenerio hii na ambaye wako pamoja idara moja na huyu wa sasa. Huyu ni DR yule ambaye alikaribishwa na KM-A kusimama madhabahuni kusalimia waumini J2 ya tarehe 30/10/2022

Huyu naye pia pamoja na kuwa mara kwa mara jina lake limekuwa likitajwa kwenye matangazo ya zamu, ni mara moja tu mhusika amemuona kiongozi huyu akisimama madhabahuni kusoma matangazo wakati wa Ibada ya pili

Kwa Ibada za kwanza, mhusika hana details za mtu huyu isipokuwa labda za kwenye J2 moja tu ambayo mhusika alibahatika kuwahi sana Kanisani na kukuta Ibada ya kwanza haijaimalizika, kitendo kilichopelekea kubahatika pia kumkuta Kiongozi huyu akiwa anamalizia kutoa matangazo ya Ibada ya kwanza.

Kwa hiyo, kwa Ibada za pli, viongozi hawa wawili wamekuwa mara kwa mara wakitajwa kwenye ratiba lakini ni mara moja tu mhusika amebahatika kumuona kila mmoja wao akisimama kwenye zamu hizo kama zinavyotolewa kwenye matangazo ya kila J2. Hiki kitu kimetokea mara baada tu ya kuhamia kwenye Kanisa jipya, yaani kuanzia Desemba 2021

Mhusika hana ukakika zaidi ila anachokumbuka pia ni kwamba J2 ya tarehe 21/08/2022 Ibada ilipohamishiwa kwa dharaula kwenye Kanisa la zamani, siku hiyo DR alisimama kusoma matangazo. Baada ya Ibada kurudi tena kwenye Kanisa jipya DR alipotea tena madhabahuni, hadi leo hii

Hata hivyo mhusika anazidi kusisitiza kuwa kwa Ibada za kwanza, kabisa mhusika hana details za kutosha za viongozi hawa isipokuwa kwa Ibada za pili tu!

………………..inaendelea
 
BAADA YA MATANGAZO YA AWAMU YA KWANZA KUMALIZIKA

Yalifuatia matangazo ya awamu ya pili kutoka kwa Kiongozi wa Zamu; na baada ya hapo, yalimalizia matangzao ya mwisho kutoka kwa KM-A

Mahali fulani wakati KM-A alipokuwa anaendelea na matangazo yake, na baada ya kuwa amemkaribisha Kiongozi mwingine mgeni kutoka Dodoma ambaye naye pia ilikuwa ni mara yake ya kwanza kusimama kwenye madhabahu ya Kanisa jipya, mhusika aliamua kubadilisha makao yake. Ilikuwa ni baada ya kitoto kidogo kufika sehemu alipokuwa amekaa. Ikumbukwe kuwa safari hii hakulazimika kubadilisha makao hayo ila alipendelea mwenyewe tu kufanya hivyo

KILICHOPLELEKEA MHUSIKA APENDELEE KUBADILISHA MAKAO; KITOTO KILICHANGIA

Kitoto kodogo ambacho ni rafiki yake na mhusika, kilifka kwenye eneo lile alilokuwa amekaa mhusika, na mhusika hakujua exactly kilikuwa kimetokea wapi maana kiliibuka kwa ghafla tu
  • Baada ya kukiona, mhusika alikiita kitoto hicho na kikasogea na hatimaye walikaa wote huku akiwa amekipakata miguuni pake
  • Haikuwa mara ya kwanza kwa kitoto hicho kufika sehemu hiyo ambayo mhusika huwa anakaa; kinaifahamu sehemu hiyo siku zote na huwa kinafika pale mhusika mara kwa mara kumsabahi wakati wa Ibada
Kitoto hiki kilikuwa ni cha mwalimu wa somo kuu la Ibada ya siku hiyo

Uhakika alionao mhusika kuhusiana na mahali kitoto hiki kilipokuwa kimetokea ni kwamba hakikuwa kimetokea kwa baba yake kwa sababu baada ya kuhitimisha somo, baba alienda akakaa mbele kwenye eneo lile ambalo viongozi wenzake walikuwa wamekaa
  • Sehemu hiyo ambayo baba mtoto alikaa baada ya kuhitimisha somo lake, ilikuwa inaonekana vizuri mno kutokea pale alipokuwa mhusika amekaa na hivyo kabla kitoto hicho hakijaja kwake (mhusika), hakuwahi kukiona kikiwa kimekaa sehemu ile ambayo baba yake alikaa baada ya kuwa amehitimisha somo lake
  • Baada ya muda mfupi kupita, kitoto hiki kilimweleza mhusika kuwa kingependa kuondoka
Badaa ya kusikia ombi hilo, mhusika aliamua kukisindikiza kuelekea sehemu ile ambayo baba yake alikuwa amekaa kuhofia kisije kikapotea kwenye umati wa watu Kanisani; na kilipomkaribia na kumuona, alikiacha kikaenda chenyewe hadi kwa baba yake huku akikisindikiza kwa macho

Baada ya hapo, mhusika naye aliamua kukaa maeneno yale yale eneo si mbali sana na pale alipokuwepo baba wa kitoto

Huku matangazo ya KM-A yakiwa yanaendelea, mhusika alikumbuka kuwa eneo hilo hilo alikaa pia shemeji yake ambaye wiki kadhaa zilizopita, mhusika aliwahi kubadilisha sehemu ya makao na hivyo kulazimika kumfuata mama huyu kwenye eneo lake (shemeji), kuhama ambako kulisababishwa na usikivu mbovu kutoka kwenye spika

Akiwa tayari ameshakaa maeneo hayo aliyohamia; na kwa mara nyingine tena karibu na shemeji yake, mhusika alijaribu ku-imagine situation kwamba Ibada imeisha sasa halafu kwenye pilika pilika za kutoka nje ya Kanisa, wamegongana tena maeneo yale na shemeji yake na baada ya hapo wameonekana na waumini wengine angalau wakiwa wakisalimiana tu, huku ikiwa inajulikana fika kabisa kuwa mhusika hakuwa amekaa eneo hilo tangu mwanzo isipokuwa aliamua tu kuhamia huko baada ya matangazo huanza
  • Kitendo hicho kingepelekea “theory” na siyo “hypothesis” kwamba uhakika ni kuwa mhusika ndiye huwa anamfuata shemeji yake sehemu ambazo huwa anakuwa amekaa
  • Baada ya kuliona hilo, mhusika aliamua kubadilisha tena sehemu ya kukaa, alihama tena pale na kwenda kukaa sehemu nyingine nyuma; sehemu ambayo haikuwa mbali sana na pale alipokuwa amekaa mwanzo
………………………itaendelea
 
DOKEZO MUHIMU SANA KUHUSIANA NA MATANGAZO YA WAZINZI YAILYOTOLEWA NA KM-A J2 YA TAREHE 06/11/2022
Kama ambavyo umekuwa utaratibu uliofichika wa namna ambavyo KM-A amekuwa siku zote za nyuma akitoa matangazo yake ya aina hii, kawaida matangazo hayo yalitakiwa yatolewe J2 hiyo hiyo ya tarehe 30/10/2022 na kwa kuendana na somo la J2 hiyo kwa sababu hivyo ndivyo ambavyo KM-A amekuwa akifanya mara zote, several times
Hata hivyo, baada ya KM-A kuwa ameona kuwa utaratibu huo wa zamani umeshajulikana, aliamua kubadilisha na hivyo kuja na version nyingine ya ku-delay kwa angalau wiki moja huku akiwa na uhakika kuwa atawahi kutangaza na katika time window ambayo upako ule aliouhitaji kutoka kwenye somo hilo husika la J2 ya tarehe 30/10/2022 utakuwa bado upo, haujapotea
Kwa bahati mbaya safari hii upako huo umekutana na NYUNDO NZITO YA SOMO LA J2 YA TAREHE 06/11/2022 NA HAUTAKUWEPO TENA MILELE KWENYE MADHABAHU YA KANISA A
Kwa kumwangalia matendo yake tu kwa sasa, KM-A anaonekana wazi kabisa kuwa ana-operate kwenye extremes na katika namna ambayo anaonekana kama hajitambui anafanya nini; na wale wote ambao bado hawajaliona hilo inabidi wajishangae wenyewe
 
UPDATE: TUESDAY 08 NOVEMBA 2022

BAADA YA MHUSIKA KUWA AMEBADOILISHA TENA SEHEMU YA KUKAA HUKU MATANGAZO YA KM-A YAKIWA YANAENDELEA


Mhusika aliendelea kusikiliza matangazo hayo yaliyokuwa yanaendelea kutolewa na KM-A yaliyokuwa yakihusiana na wazinzi waliokuwa wakitengwa siku hiyo.

Kwa kutumia uzoefu wa nyuma na ukizingatia yale ambayo mhusika amewahi kuyaleta humu jukwaani, yeye (mhusika) alitarajia matangazo haya yangetoka siku ya J2 iliyopita ya tarehe 30/10/2022 na siyo J2 ya tarehe 06/11/2022. Ni kwa sababu mafundisho yaliyokuwa yanaendana na matangazo hayo yalikuwa ni yale ya J2 ya tarehe 30/10/2022 na si ya J2 ya tarehe 06/11/2022.

Katika hili linalohusiana na matangazo haya, labda mhusika inabidi akumbushie tena jambo moja muhimu sana kwamba:

Mhusika hana shida kabisa na aina ya matangazo hayo kwa sababu waumini wote ndani ya nyumba za Ibada hawawezi kulingana kitabia isipokuwa ANA SHIDA NA UTARATIBU AMBAO UMEKUWA UKITUMIKA KUTOA MATANGAZO HAYO KWA SABABU HADI MUDA HUU, UTARATIBU HUO BADO UNAENDELEA KUONYESHA PATTERN YA WAZI KABISA KAMA IFUATAVYO


  • Matangazo haya huwa yanatoka tu baada ya somo la ajabu kuwa limefundishwa madhabahuni, kitu ambacho kwa sasa kinaonyesha dhahiri kabisa kuwa matangazo hayo huwa yanatolewa mara tu baada ya madhabahu kuwa imeshambuliwa
  • Kipijdi waumini walipokuwa bado wanaabudu kwenye Kanisa la zamani, mara zote, matangazo hayo yalikuwa yakitoka baada tuu ya KM-A kuwa amepitisha muda mrefu bila kusimama madhabahuni kwa ajili ya kufundisha maandiko matakatifu.
  • Anaweza kuwa alikuwa akisimama madhabahuni kila J2 ila si kwa ajili ya kufundisha neno.
  • Pattern hii iliwahi kujionyesha dhahiri kabisa kipindi waumini walipokuwa bado wanaabudu wakiwa kwenye Kanisa la zamani
Kwa hiyo karibia mara zote, matangazo hayo yamekuwa yakitoka baada ya kuwa J2 iliyokuwa imepita nyuma yake alisimama madhabahuni mwalimu mwingine wa somo., na kwa sasa mwalimu anayeshikilia rekodi ya aina hii ni huyu aliyesimama madhabahuni J2 ya tarehe 30/10/2022

  • Mwalimu huyu huwa anaanza anasimama kwanza yeye madhabahuni halafu wiki inayofuata, ndiyo KM-A mwenyewe naye hupanda juu madhabahuni kufundisha maandiko matakatifu
  • Kabla ya mwalimu huyu wa tarehe 30/10/2022, alikuwepo kiongozi mwingine ambaye huyo ndiyo alikuwa ana kawaida ya kumtangulia KM-A kwanza. Kiongozi huyo alihama na baada ya hapo nafasi yake indiyo kachukuliwa na huyu wa sasa
Kwa hiyo huu ndiyo ukweli uliopelekea mhusika kusema kuwa angalau matangazo hayo yangetoka tarehe 30/10 kwa sababu tarehe 06/11 KM-A hakusimama yeye mwenyewe madhabahuni kufundisha somo

Kama ilivyowahi kutokea kwenye matangazo yote ya nyuma ambayo mhusika aliwahi kuyalalamikia humu jukwaani, kawaida ilikuwa ni kwamba J2 ya tarehe 06/11 KM-A alitakiwa sasa asimame mwenyewe madhabahuni halafu baada ya Ibada ndiyo sasa matangazo hayo yangetoka.

Safari hii amebadilisha utaratibu kidogo na amefanya kosa ambalo lazima tu litakuja kumgharimu sana huko mbele ya safari; amekiuka kidogo maelekezo ya namna utaratibu ulivyo siku zote

…………………….inaendelea
 
BAADA YA MATANGAZO YA KM-A KUMALIZIKA

Ibada ilifikia mwisho. Hata hivyo kabla ibada haijafungwa na kabla ya matangazo ya KM-A kuanza, wageni waliruhusiwa kuondoka kwanza ili kupisha matangazo yaendelee na kwa kweli safari hii kulikuwa na uhalali wa wageni hao kuondoka, ila si kwa J2 zile ambazo mhusika tayari ameshaziongelea humu

Mhusika anaomba atanhibishe kitu katika hili kwamba:

Alichokiongelea awali mhusika ilikuwa ni scenario ya wageni kuruhusiwa kuondoka huku matangazo yakiwa tayari yameshatolewa na huku kitu pekee kilichokuwa kimebaki ikiwa ni sala tu ya kufunga Ibada. Kwa hiyo mhusika alikuwa anaongelea scerios nyingi sana za aina hii zilizotokea huko nyuma ambazo wageni walitakiwa kuondoka, na baada ya kuwa wameondoka, sala ya kufunga Ibada ilitolewa huku wageni hao wakiwa excluded bila sababu yoyote ya maana

Kwa J2 iliyopita; KM-A alikuwa sawa kuwaruhusu wageni hao waondoke kutokana na nature ya matangazo aliyokuwa nayo ila kwa cases karibia zote za nyuma, wageni hao walikuwa wanatolewa kwenye Ibada pasipo sababu yoyote ya msingi

Baada ya Ibada kufungwa, mhusika alisalimiana na watu kadhaa nje ya Kanisa na baadaye tena aliingia ndani ya Kanisa na kuanza kuelekea kwenye sehemu alipokuwa amepaki gari lake, kwa kupitia ndani Kanisani

Kabla hajatoka nje, kwa mbele kidogo alimuona Bibi (tumwite BB) yule ambaye huwa anakaa kwenye kiti chake “SPECIAL” cha mbao.

  • Kutokana na ufinyu wa mahali walipokuwepo, mhusika aliamua kumwachia njia BB kwa kuchepuka kidogo.
  • Kwa mbele kidogo alimuona tena rafiki yake ambaye walikuwa wamepotezana swiki kadhaa akiwa na mama yake.
  • Mhusika aliamua kupitia pale na kumbeba rafiki yake huyo.
  • Muda siyo mrefu mhusika aliondoka sehemu hiyo akiwa anaelekea mlangoni ambako pembeni yake ndiyo gari lake likikuwa limepaki
YALE ALIYOKUMBANA NAYO MHUSIKA BAADA YA KUFIKA SEHEMU LILIPOKUWA LIMEPAKI GARI LAKE

Baada ya kufika kwenye eneo alilokuwa amepaki gari lake, cha kwanza kabisa alichokiona ni kwamba pembeni ya gari lake kulia, kulikuwa kuna Bajaj yenye namba za usajili MC325BQV ambayo ilikuwa imekuja na kupaki pale na hivyo kupelekea kuziba kwa kiasi kikubwa, njia ya waumini waliokuwa wanatoka ndani Kanisani kwa kupitia njia hiyo

Wakati anapaki asubuhi, Bajaj hiyo haikuwepo na hakutarajia kwamba kuna chombo kingine kingeweza kuja kupaki pale jirani yake kwa sababu parking aliyokuwa amechukua ilikuwa ni ya mwisho upande wa kulia, huku ikiwa imepakana na njia ya kuingila ndani ya Kanisa

………………….inaendelea
 
YALE ALIYOKUMBANA NAYO MHUSIKA BAADA YA KUFIKA SEHEMU LILIPOKUWA LIMEPAKI GARI LAKE

Ikumbukwe kuwa akiwa anatoka nje, mahali fulani kabla hajatoka nje ya Kanisa, mhusika alichepuka njia ili kumpisha BB aliyekuwa mbele yake.

  • Baada ya hapo mhusika alipitia sehemu nyingine tena; utoto mwingi huwa hatulii utafikiri naye ni mtoto mdogo
  • Baada ya hapo mhusika ndiyo alinyoosha tena njia kuelekea kwenye parking
Baada ya kufika mahali lilipokuwa gari lake, huku akiwa bado anashangaa kwa nini Bajaj ilikuja na kupaki pale wakati parking zilikuwepo za kutosha kiasi kwamba ingeweza kuwa imepaki sehemu nyingine; BB naye ndiyo akawa amefika hapo mlangoni; anateremsha taratibu kwenye kikorido cha mlangoni akiwa anashuka chini

Baada ya BB kumuona mhusika akiwa pembeni mwa gari lake, BB alimuuliza mhusika kuwa huwa anapita njia gani ili kama ikiwezekana ampatie BB lift

  • Mhusika naye katika kujaribu kumchenga BB ili asije akaotea njia, alimuuliza BB kwamba yeye huwa anapita njia gani
  • BB alijibu kuwa huwa anapitia Sinza Kijiweni
  • Mhusika alimjibu kuwa anaweza kumshusha pale kwa sababu ndiyo njia ambayo huwa anapita
Baada ya hapo BB alimweleza mhusika kuwa aendelee tu kugeuza gari halafu yeye angepandia hapo mbele kidogo

Mhusika akiwa anajua kuwa ataweza kugeuza gari BB akiwa bado hajatoka ndani ya uzio na kama atachelewa kugeuza, basi BB atasimama mahali ndani ya uzio wa Kanisa akiwa anamsubiria:

  • Alipoanza kugeuza gari Bajaj iliyokuwa jirani ilimchelewesha kidogo ila haikuwa sana; bado mhusika alikuwa nayo nafasi ya kugeuza gari haraka haraka na kwa muda mfupi tu na hivyo angeweza kumpakia BB wakiwa bado wapo ndani ya uzio wa Kanisa
  • Bajaj ilileta shida kidogo kwenye ugeuzaji
  • Still, Bajaj haikuleta shida kivile na baada ya kuwa ameiacha, shida ilikuja kusababishwa tena na gari nyingine tena iliyokuwa imejibanza maeneo yale jirani ambayo ilipelekea mhusika achelewe zaidi kugeuza gari irahisi
  • Gari hiyo ilikuwa imejibanza kwa sababu hayupo muumini ambaye alikuwa sehemu ya uelekeo wa Kanisa ambaye angeweza kuiona
  • Gari hiyo ilikuwa na uwezekano wa kuonekna tu na mtu aliyekuwa pale maeneo ya jirani, au mtu aliyekuwa amekaa kwenye Post ya ma-SG au kwenye lango kuu la kutokea nje ya uzio wa Kanisa
Kulikuwa na nafasi nyingine kubwa tu ya kutosha kuweza kugeuza gari kirahisi mahali pale lakini nafasi hiyo ilikuwa imezibwa na gari la mtu ambaye alikuwa ndani ya gari

Ni mtu aliyekuwa yuko njia moja kuondoka hapo Kanisani lakini badala ya kuondoka, alikuwa ameweka gari lake pembeni kidogo na katika namna ambayo ilikuwa haimpi mhusika uwezekano wa kugeuza gari lake kirahisi

Mtu huyu alikuwa kwenye gari aina ya VANGUARD, huku gari likiwa limeelekezwa kwenye uelekeo ambao haikuwa rahisi kwa mhusika kumuona aliyekuwa ndani ya gari

  • Mtu huyu alikuwa anaongea na SECUIRITY GUARD (SG)
  • Baada ya mhusika kumuona SG akiwa yupo pale pembezoni mwa gari hilo, alimweleza (SG) kuwa mwenye gari hilo ndiyo alikuwa anamchelewesha kutoka na angeweza kutoka kirahisi zaidi kama mtu huyo asingekuwa amepachika gari lake pale
Mpaka hapa mhusika alikuwa hajajua ni nani alikuwa kwenye gari hilo; kumbe alikuwa ndiyo Profesa

Kitendo cha mhusika kumsemesha SG ndiyo kilichopelekea kosa la kwanza la kiufundi kutokea.

Baada ya kusemeshwa na mhusika, SG alitoka mahali lilipokuwa gari la Profesa na kusogea kwenye gari la mhusika na kumjulisha mhusika kuwa mtu huyo na yeye (SG) walikuwa kwenye maongezi

…………………itaendelea
 
Kabla hatujaendelea tena na post yetu iliyopo jukwaani muda huu ambayo maelezo yake yako hapo juu
NYONGEZA MUHIMU KUHUSIANA NA MAELEZO YA NYUMA KIDOGO YALIYOKUWA NA KICHWA KILICHOSEMA
“DETAILS ZA “CODE” YA KILA KUNDI LILILOBAHATIKA KUPANDISHA JUU MADHABAHUNI J2 HIYO” AMBAYO YAKO KWENYE POST HII HAPA #1,177


Wale wote waliobahatika kupandisha juu madhabahuni siku hiyo, mbali na CODE zao kuwa na uwakilishi kwenye majina na vyeo, kwa upande mwingine, waumini hao kwa ujumla wao wote walikuwa wanawakilisha pia idara zote zilizopo hapo Kanisa A kama ifuatavyo
  • Kiongozi senior aliyeitwa kupeleka Biblia juu madhabahuni alikuwa anawakilisha OFISI YA KAIMU KIONGOZI MKUU (Kaimu KM-A), huku KM-A mwenyewe akiwa anawakilisha ofisi yake mwenyewe
  • Kiongozi aliyesoma matangazo ya ofisi ya wazee alikuwa anawakilisha OFISI YA WAZEE
  • Kiongozi aliyekuwa zamu alikuwa anawakilisha OFISI YA VIONGOZI WASAIDIZI WA KM-A
  • Kuna kiongozi mwingine tena ambaye ni kijana kabisa na ambaye mhusika alisahau kumtaja kwenye post iliyotajwa hapo juu.
  • Huyu naye pia aliitwa na kupandisha juu madhabahuni kuwasalimia waumini baada ya kuwa ametoka safari
  • Kiongozi huyu kijana yupo kwenye ofisi ya viongozi wote wasaidizi wa KM-A lakini pia ni mwanachama wa idara ya vijana na hivyo huyu aliitwa kwa ajili ya kuwakilisha IDARA YA VIJANA
  • Vile vile, waumini wawili walioitwa kwa pamoja, (mmoja DR na mwingine MR; Dr alikuwa ana uwakilishi kwenye jina na title tu) yule MR alikuwa anawakilisha pia IDARA YA SECURITY GUARDS
  • Na mwisho kabisa, mama aliyeitwa alikuwa anawakilisha OFISI YA AKINA MAMA
BAADHI YA MATANGAZO YA MADHABAHU YA KANISA A UKIYAHUSIANISHA “Organistaion Structure (OS)”na “Organisation Hierarchy (OH)”

Kwa hiyo kwa upande mwingine, kwenye J2 hiyo tajwa, waumini hao walikuwa wanawakilisha sehemu ya “Organistaion Structure (OS)” nzima ya Kanisa na hapa ina-miss idara moja tu ambayo ni ya watoto. Unless kama mama ni mwalimu wa mtoto pia. Iwapo pengine mama ni mwalimu wa watoto, basi hata idara ya watoto nayo pia iliwakilishwa

Mbali na OS “Organisation Hierarchy (OH)” yenyewe ilikuwa tayari imeshafanyiwa kazi wiki kadhaa nyuma kwenye J2 moja ambayo KM-A hakuwepo Kanisani, alikuwa amepata dharula ya safari
  • Nadhani ilikuwa mwezi wa 7 au wa 8 mwanzoni; na ilikuwa kabla KM-A hajaenda likizo yake ya hivi karibuni
  • J2 hiyo baada ya Ibada kumalizika, Kiongozi mmoja mwandamizi alikaribishwa na Kiongozi wa zamu na kupandisha juu madhabahuni na kuchukua takribani dakika 10, akiwasomea waumini “Organisation Hierarchy” ya Kanisa A
Katika kipindi chake chote ambacho mhusika amekuwa akiabudu Kanisa A, Ilikuwa ni mara yake ya kwanza kupokea tangazo la aina hiyo kutokea madhabahuni

Mbali na hilo, Kiongozi mtoa tangazo (mkaribihswa) pamoja na yule wa zamu (mkaribishaji) hawakueleza sababu kwa waumini za kwa nini tangazo hilo lilitolewa ukizingatia pia kuwa lilitolewa katika siku ambayo KM-A alikuwa amepata dharula ya kutokuwepo Kanisani hapo

MUBARIKIWE TENA NA BWANA

UP-NEXT
: YALE ALIYOKUMBANA NAYO MHUSIKA KANISANI J2 YA TAREHE 06/11/2022
 
YALE ALIYOKUMBANA NAYO MHUSIKA KANISANI J2 YA TAREHE 06/11/2022

ALICHOKIONA MHUSIKA KWENYE INTERACTION KATI YAKE NA SECURITY GUARD (SG) J2 HIYO

Kuna baadhi ya SG’s (watatu) Kanisani hapo ambao kwa kipindi cha hivi karibuni wamekuwa na tabia ambayo mhusika anaiona kuwa ni ya hatari kwa usalama wake
SG’s hawa wamekuwa na tabia ya wao wenyewe kuwa wanatengeneza mazingira ya kufanya maongezi na mhusika kwa kumvizia na katika namna ambayo wamekuwa wakikusudia kuwaonyesha waumini wengine waliopo Kanisani A kuwa mhusika huwa mara kwa mara, ana aina fulani ya maongezi na wao katika namna ambayo ni ya usiri sana

SG’s ambao mhusika tayari ameshawafanyia utafiti na kujiridhisha kabisa kuwa wamekuwa na tabia hii, idadi ya ni watatu
  • Wa kwanza ni yule mzee, THE MOST SENIOR kwa umri
  • Wa pili ni huyu aliyekuwa anaongea na Profesa J2 iliyopita. Huyu wa pili hata kwa J2 iliyopita, alifanya kitu tena kingine cha nyongeza tena mbele ya baadhi ya waumini wa Kanisa A, na ambacho kiliwathibitishia pasipo shaka waumini hao kuwa nyuma ya matendo yake, ni kweli kuwa SG huyu huwa ana nia ovu kwa mhusika
  • Wa tatu ni yule mgeni, THE MOST JUNIOR ambaye ameajiriwa hivi karibuni tu
Kwa sasa, mhusika atapenda kutaoa maelezo ya SG mmoja tu ambaye alikuwepo Kanisani J2 iliyopita
Interaction ya kwanza kabisa iliyotokea kati ya mhusika na SG huyo J2 hiyo ilitokea asubuhi pale getini wakati mhusika alipokuwa ndiyo anaingia tu ndani ya uzio wa Kanisa akitokea nyumbani, huku akiwa ndani ya gari lake
  • Asubuhi hiyo. mhusika na SG walipishana pale getini, SG akiwa anatoka nje ya geti na mhusika naye akiwa anaingia ndani
  • Wakiwa wanapishana getini asubuhi hiyo,mhusika alimpungia SG lakini SG hakurudisha response; “alipotezea”
Baada ya hapo, interaction nyingine ya pili kati ya wawili hawa ilikuja kutokea tena baada ya Ibada kuisha, wakati huo mhusika akiwa yuko kwenye pilika pilika za kugeuza gari ili atoke nje ya uzio wa Kanisa

Kama ambavyo ameshatoa maelezo yake hapo juu, baada ya mhusika kulazimika kumsemesha SG, wakati huo mhusika akiwa yuko ndani ya gari lake na SG naye akiwa yuko chini anaongea na Profesa aliyekuwa ndani kwenye gari jingine
Kitendo hicho cha mhusika ndiyo kilimpelekea SG kuamua kusogea pale alipokuwa mhusika na kuanza kumweleza (mhusika) kuwa ni yeye (SG) aliyekuwa anaongea na mtu aliyekuwa kwenye gari hilo ambalo (SG) alikuwa amesimama pembeni yake

Maongezi yao yaliishia hapo na kilichofuata ni SG kuanza kumuelekeza kwa nyuma mhusika, namna ya kutoka vizuri mahali alipokuwepo, msaada ambao SG aliamua kuutoa mwenyewe kwa hiari yake. Mhusika hakuuomba msaada huo kutoka kwa SG lakini aliuhitaji na hivyo alishukuru sana
  • Baada ya hapo, by the time mhusika anaachana na SG na kuanza kunyoosha njia kuelekea getini, BB mwenye kuhitaji LIFT kutoka kwa mhusika, alikuwa anamalizia kukatiza mlango wa geti kuu na hivyo alikuwa tayari yuko nje ya uzio wa Kanisa.
  • Mhusika alishangaa kidogo na kuanza kudhani kuwa pengine BB alikuwa ameamua kuahirisha kuchukua LIFT kwa sababu katika hali ya kawaida, BB angeweza kumsubiria ndani ya uzio, wa Kanisa, mhusika alipokuwa bado anageuza gari, na baada ya hapo ndiyo angepanda kwenye gari; ukizingatia kuwa (BB) alimweleza mhusika kuwa ageuze gari halafu atamkuta hapo mbele kidogo, ndani ya uzio wa Kanisa
J2 hiyo, Ilikuwa ni mara yake ya pili mhusika ku-interact na BB huyu Kanisani hapo.
Mara ya kwanza ilikuwa ni miezi kadhaa nyuma (ndani ya mwaka huu huu) na sehemu alipomkuta ilikuwa ni pale nje ya gate, sehemu ambayo huwa kuna binti anauza keki za watoto.
  • J2 hiyo mhusika akiwa anasubiria Ibada ya kwanza imalizike halafu achukue gari lake nje na kuliingiza ndani, BB huyu alikaa hapo pembezoni mwa muuza keki akiwa ameambatana na watoto wawili ambao mhusika hakuwafahamu
  • Mhusika alifika kwenye eneo hilo kwa ajili ya kuwanunulia keki watoto rafiki zake na baada ya kufanya hivyo, aliamua kuwanunulia pia watoto wawili waliokuwa wameambatana na BB yule.
Hii ndiyo ilikuwa ni siku ya kwanza kwa mhusika ku-interact na BB huyu, na ya pili ilikuwa ni J2 iliyopita
Muumini aliyekuwa anauza keki getini siku hiyo, ni binti wa huyu muumini mwingine ambaye asubuhi ya J2 iliyopita, muumini huyo alisalimiana na mhusika na hatimaye kuongea mawili matatu, kabla mhusika hajaingia ndani ya nyumba ya Ibada tayari kwa Ibada
……………………..inaendelea
 
Back
Top Bottom