#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

BAADA YA MHUSIKA KUMUONA BB AKIWA TAYARI AMESHATOKA NJE YA UZIO WA KANISA
Hapo hapo mhusika alibadilisha plan na kuamua kutokumchukua tena

  • Plan B ikawa ni kwamba atamchukulia Bajaj ambazo huwa zipo pale nje getini zikisubiria waumini wanaotoka Kanisani
  • Hata hivyo, baada ya kufika getini, huku BB naye akiwa tayari yupo maeneo yale nje ya uzio wa Kanisa; mhusika aligundua kuwa hapakuwa na Bajaj hata moja maeneo yale J2 hiyo
Mpaka hapa mhusika aliikumbuka Bajaj iliyokuwa imepaki ndani jirani na gari lake; na hatimaye tena alilikumbuka gari la Profesa (hata hivyo hadi kufikia muda huo mhusika alikuwa bado hajajua kuwa gari hilo lilikuwa ni la Profesa) na baada ya hapo alisimamisha gari lake pale pale getini na kumfuata BB akimweleza kuwa amepata udhuru na hivyo ameamua kubadilisha njia
  • Kwa hiyo mhusika alichukua nauli na kumpa BB
  • Baada ya tukio hilo BB alishukuru huku akiendelea kutembea kwa kusonga mbele, safari hii akiongeza kidogo kasi ya hatua zake alizokuwa anachukua kama vile anataka kuwahi kitu upande mwingine wa barabara aliyokuwa anakkatiza.
  • Possibly kasi hiyo ilikuwa ni kwa sababu ya magari ambayo huwa yanakatiza njia hiyo mara kwa mara, japo kwa muda huo mfupi hapakuwa na gari lolote karibu maeneno yale
Baada ya kumalizana na BB, mhusika alipanda tena kwenye gari lake na kuondoka maeneo ya Kanisani. By the time anaingia barabara kuu, moyo wake ndiyo ukawa umesukumwa sasa kurudi tena Kanisani kwenda kuchukua namba za Bajja na za gari la yule mtu aliyekuwa anaongea na SG

Mhusika alichukua njia ya mzunguko wa karibu wa kurudi Kanisani hapo na baada ya muda mfupi, alikuwa tayari ameshafika Kanisani na kupaki gari lake nje ya uzio, pembezoni mwa barabara, Baada ya hapo mhusika alishuka kwenye gari na kuingia ndani ya uzio wa Kanisa

Kwa bahati nzuri Bajaj ilikuwa bado ipo mahali pale pale alipokuwa ameiacha na SG naye pia alikuwa bado yupo.Hata hivyo, gari ya Profesa haikuwepo

………………………inaendelea
 
YALE YALIYOJIRI BAADA YA MHUSIKA KURUDI TENA KANISANI J2 HIYO
Musika alirudi Kanisani kwa nia ya kufanya mambo mawili tu makubwa na baada ya kuyatimiza, mara moja alitoka nje ya uzio wa Kanisa na kwenda kupanda kwenye gari lake alilokuwa amelipaki nje.
Baada ya kufika Kanisani:
  • Cha kwanza kabisa alichukua namba za Bajaj (MC 325 BQV)
  • Cha pili alimuomba SG, ambaye kwa wakati huo alikuwa umbali kidogo wakiwa na wawili na binti wanaongea asogee pale alipokuwa mhusika. Kulikuwa na kundi la waumini kiasi waliokuwa bado wapo Kanisani muda huo na mhusika alikuwa amejiunga pamoja nao
Kwa hiyo, sehemu alipokuwepo mhusika wakati anamuomba SG waongee, kulikuwa pia na kundi la waumini kadhaa maeneo yale. Kwa ujumla, mhusika alipenda afanye maongezi yake na SG wakiwa mbele ya waumini wengine na ndiyo maana aliamua kuchukua hatua hiyo ya kumuomba SG asogee pale alipokuwepo mhusika
  • SG alliitikia wito huo pasipo tatizo lolote na baada ya kufika, mhusika alimuuliza swali moja tu SG kuwa gari aliyoiona wakati anajaribu kugeuka ilikuwa ni ya nani
  • Huku na waumini wengine wakiwa wanasikiliza vizuri kabisa, SG alimjibu mhusika kuwa gari hiyo ilikuwa ni ya Profesa XXXX na baada ya jibu hilo, mhusika alianza kuondoka akitoka nje ya uzio akirudi kwenye gari lake
Maongezi haya kati ya mhusika na SG yalifanyika mbele ya waumini kadhaa waliokuwa bado wapo Kanisani muda huo

Baada ya mhusika kutoka nje na hatimaye kupanda kwenye gari lake tayari kwa kuondoka; SG aliamua kumuwahi tena mhusika pale kwenye gari; akiwaacha waumini waliokuwepo pale, kwa nia ya kufanya maongezi mengine tena ya faragha na mhusika

Mhusika kuona hivyo, alimrudisha SG, na kwa mood ambayo haikuwa ya kawaida sana kwa sababu alikuwa ameanza kukasirika kutokana na kitendo hicho cha maongezi ya faragha za kutengenezwa tengenezwa na SG, kujirudia tena kwa mara ya pili na ndani ya muda mfupi sana wa siku moja tu

HITIMISHO

Hadi hapa mhusika akawa amepata sasa ushahidi mwingine ambao aliona anaweza akautoa kwa waumini wa Kanisa A na wakamwelewa.

SG akawa amefanya kitendo ambacho kiliwathiwabitisha papo kwa papo waumini wote waliokuwepo hapo Kanisani muda huo, kuwa maelezo ya mhusika kuhusiana na SG na wenzake wawili kanisani hapo, ni ukweli mtupu

USHAURI MUHIMU SANA KWA VIONGOZI WA KANISA A AMBAO WAO WANAJUA KUWA SILAHA KUU KWA KILA MWANAUME NI MWANAMKE TU

Silaha yao hiyo na ambayo inaonyesha wanaitegemea sana, angalau inaweza ikafanya kazi kwa mwanaume aliyechelewa; ila si kwa aliyeahirisha. Kuitumia kwa mtu aliyeahirisha ni sawa na kuchukua bua kavu la mahindi na kuanza kulitumia kama silaha kupigana na mtu aliye na AK47

………………inaendelea

By the way
, mpaka muda huu, malipo yake ambayo yalipelekea barua ya likizo yake kuchelewa kutoka mwanzoni mwa mwezi wa 9, bado hayajafanyika

Vile vile, hela yake ya likizo ambayo alitakiwa alipwe kabla hajaenda likizo na ambayo baada ya kurudi kutoka likizo aliahidiwa kuwa ingelipwa ndani ya wiki iliyofuata, nayo pia bado hajalipwa

Mhusika alirudikutoka likizo tarehe 03/10/2022, zaidi ya wiki tano zilizopita

Ukiona hivi; the fact is, anatakiwa sasa awe anapita pita mara kwa mara maeneo ya jengo la Central Administration kufuatilia malipo hayo

UP NEXT: KILICHOKUWA KIMESHAJIRI UPANDE WA OFISINI KWA MHUSIKA KWA KUZINGATIA MIENENDO YA WATU WAWILI KWA MHSIKA AMBAO NI MR X NA MKUU WA IDARA
 
UPDATE: THURSDAY, 10 NOVEMBER 2022

NYONGEZA MUHIMU KUHUSIANA NA MATANGAZO YA ORGANISATION HIERARCHY” NA “ORGANISTAION STRUCTURE” YALIYOTOLEWA HIVI KARIBUNI HAPO KANISA A


Mhusika hakumbuki vizuri J2 ambayo tangazo la “Organization Hierarchy” lilitolewa hapo Kanisa A, lakini hazijapita siku nyingi sana tangu siku tangazo hilo litolewe, na possibly yaweza kuwa lilitolewa kwenye J2 ya kwanza kabisa ambayo KM-A alikuwa tayari ameshaanza likizo yake na hivyo hakuwepo Kanisani. Mhusika anachokumbuka kwa uhakika ni kuwa tangazo hilo lilitolewa kwenye J2 ambayo KM-A hakuwepo Kanisani

Tangazo hilo lilohusiana na “Organization Hierarchy” lilitolewa kwa kutangazwa moja kwa moja bila kufichwa fichwa kama ilivyofanyika kwa lile jingine la “Organization Structure” siku ya J2 ya tarehe 30/10/2022

Matangazo haya mawili yana uhusiano mkubwa sana na kile ambacho kinaendelea kwenye ulimwengu wa roho na ndiyo maana hili la pili lilifichwa, kwa nia ya kuficha pattern ambayo ingeweza kuwa obvious kiasi cha watu kupelekea watu wengi waanze kujiuliza maswali

Tuseme kwa mfano, mtu akisha-devise WEAPON ya kushambulia “stuructures” au “hierarchies” za organizations; weapon hiyo inaweza kuwa applied na ikafanya kazi vizuri kabisa kwenye “structure au hierarchy “ yoyote ya FAMILIA, MTAA, TAWI, KATA, TARAFA, WILAYA, MKOA HADI TAIFA

Kilichotokea J2 asubuhi huko Kagera kuna mtu aliwahi (na ni hivi karibuni), kutoa utabiri mtandaoni kuwa kitatokea! Assuming lilikuwa shambulio ambalo lilikuwa planned kupitia ulimwengu wa roho, litakuwa lilielekezwa Mkoa wa Kagera


Tukio hili nalo pia lime-coincide na wiki ya maombi ya Kanisa A; ila kwa namna iliyo tofauti kidogo na matukio yale ya awali

Tofauti na ilivyokuwa inakuwa kwa matukio mengine ya ajali zilizopita ambazo mhusika amekuwa akilalama sana humu jukwaani, hili la sasa
  • Pamoja na kuwa limetokea kwenye wiki ambayo kwa mara nyingine tena Kanisa A kulikuwa na maombi ya kuanzia J5 hadi Ijumaa; limetokea mwisho wa wiki, yaani J2 asubuhi.
  • Ajali zingine zote zilizopita (ambazo zimekuwa zikiambatana na wiki ya maombi ya Kanisa A), zimekuwa mostlly zikitokea ndani ya wiki.
  • Kwa hiyo tunaweza kusema kuwa ajali ya sasa (na ambayo ilikuwa tayari imeshatabiriwa na mtu mtandaoni), haiangukii kwenye ajali zile ambazo zimekuwa ziki-coincide na maombi ya Kanisa A kwa sababu yenyewe imetokea J2 asubuhi.Hizo zingine si zimekuwa zinatokeaa ndani ya wiki?
Kwa hiyo hii ya juzi haiangukii kwenye ajali zile ambazo zimekuwa ziki-coincide na maombi ya Kanisa A kwa sababu yenyewe ilitokea J2 asubuhi; maombi yakiwa tayari yameshapita

Mhusika anayasema haya humu kwa kuunganisha na ushahidi mwingine alionao ambayo siyo rahisi akauunganisha na maelezo haya

Kilichopelekea aweze kufunuliwa alichokisema humu ni mambo matatu makubwa

MOJA: Tangazo la “Organisation Hierarchy (OH)” kutolewa Kanisa A pasipo kutolewa sababu za kutolewa kwake

MBILI: Tangazo hilo kutolewa kwenye J2 ya ambayo KM-A hakuwepo

TATU: Tangazo la “Organisation Structure (OS)” kutolewa na KM-A mwenyewe likiwa limefichwa kwenye mafumbo makubwa na kwa ujanja wa hali ya juu sana

Tahdhari kubwa ambayo mhusika anaomba kuwapa wasomaji wa taarifa hizi ni kwamba, kama kuna mahali waliwahi kuzi-doubt taarifa zake humu jukwani, basi ni vizuri wakaendelea kuzi-doubt hizo zilizopita na siyo hii ya sasa. The fact is, mhusika anazo pia “clues” zingine ambazo hana namna ya kuzi-present kwenye ulimwengu wa mwili, hizo anamwachia Mungu mwenyewe ndiye atakayezifanyia kazi kwa sababu yeye ndiye anayezijua kwa usahihi wote

MUBARIKIWE TENA NA BWANA

UP NEXT: KILICHOKUWA TAYARI KIMESHAJIRI UPANDE WA OFISINI KWA MHUSIKA KWA KUZINGATIA MIENENDO YA WATU WAWILI KWA MHSIKA AMBAO NI MR X NA MKUU WA IDARA
 
KWA WALE WASOMAO KWA MAKINI

Wanaombwa ku-link maelezo haya ya mhusika kwenye post iliyopita hapo juu, na matukio yaliyompata mhusika J2 iliyopita ya tarehe 06/11/2022 ambayo tayari ameshayaeleza humu

MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
KABLA YA TUKIO LA J2 ILIYOPITA KANISANI KWA MHUSIKA:

KILE AMBACHO KILIKUWA TAYARI KIMESHAJIRI UPANDE WA OFISINI KWA MHUSIKA KWA KUZINGATIA MIENENDO YA WATU WAWILI KWA MHUSIKA AMBAO NI MR X NA MKUU WA IDARA

KUHUSIANA NA MKUU WA IDARA (MWI)


Mara ya mwisho, mhusika na MWI walionana ofisini tarehe 30/08/2022. Siku hiyo mhusika aliingia ofisi ya kawaida ya MWI na kubahatika kumkuta yupo ndani

  • Siku hiyo, mhusika alifika ofisini kwake akiwa anahitaji ku-confirm kama barua yake ya likizo aliipitisha kwa sababu hadi muda huo, majibu ya barua hiyo yalikuwa bado hayajatoka
  • MWI alimhakikishia mhusika kuwa barua yake aliipitisha na baada ya hapo mhusika alitoka
Muda mfupi baada ya mhusika kutoka ofisini kwa MWI, yalitoka matangazo mawili yaliyoonyesha kuwa MWI pamoja na next immediate boss wake ambaye ni MKUU WA MAJOR UNIT (tumwite MJR) wote wanasafiri na hivyo wawili hao walikuwa wamekaimisha mamlaka zao kwa watu wengine kwa kipindi chote cha safari zao

  • MJR alikuwa anasafiri kwa takribani wiki moja
  • MWI yeye alikuwa anasafiri kwa takribani mwezi mmoja; tarehe ya kurudi kwake ikiwa imeonyeshwa kuwa ni tarehe 26/09/2022
UTARATIBU WA PEKEE AMBAO MHUSIKA ALIOUONA KWA MARA YA KWANZA KWENYE MATANGAZO YA BARUA HIZO ZA MWI NA MJR

Utaratibu ulivyo siku zote (utaratibu huu unaweza ukawa umebadilika pia) kwa wakuu wa UNIT zote wanapokuwa wanataka kusafiri, kuanzia IDARA kwenda juu, huwa wanatakiwa kutoa taarifa za safari zao kwa MKUU WA UTAWALA WA TAASISI NZIMA, ambaye ni wa tatu kutoka juu kwa mamlaka kwenye taasisi nzima

  • Taarifa hizo huwa zinatakiwa kupelekwa kopi kwa MKUU WA TAASISI NZIMA, ambaye ndiye the TOPMOST kwenye taasisi nzima na pia MKUU WA TAALUMA WA TAASISI NZIMA ambaye ni wa pili kwa mamlaka kwenye taasisi nzima
  • Hata hivyo matangazo hayo ya MWI na boss wake MJR hayakuwa katika utaratibu huo
  • MWI alikuwa ametoa taarifa ya safari hiyo kwa MJR na kopi yake kwenda kwa staff-members
Wakuu watatu wa taasisi ambao ndiyo the topmost, na ambao mmoja wao (yule wa tatu) ndiyo alitakiwa awe addressed kwenye barua hiyo, wao hawakupewa kopi ya barua hiyo

Baada ya watu hawa kuwa wamesafiri, MJR alionekana tena ofisini wiki iliyofuata J5 ya tarehe 07/09/2022; siku ambayo mhusika alilazimika kuanzia likizo yake pale baada ya barua ya likizo yake kuchelewa kutoka

Baada ya MWI na mhusika kuonana ofisini mara ya mwisho tarehe 30/08/2022, na hatimaye baada ya pale mhusika kuanza likizo yake huku MWI naye akisafiri, wawili hawa hawakuonana tena hadi kwenye wiki ya tarehe za kati ya 24-30 ya mwezi Oktoba; takribani miezi miwlili baadaye

  • Siku hiyo waligongana kwa bahati asubuhi kwenye parking za gari
  • Baada ya siku hiyo, hawakuonana tena hadi jana J5 ya tarehe 09/11/2022
Ni kwamba hapa katikati kuanzia mwishoni mwa August, MWI amekuwa akikaimisha sana mamlaka, na ilipokuwa imetokea hivyo, waliokuwa wakikaimishwa nao walianza kuwa wanakaimishana pia

Kwa hiyo kumekuwa kukitokea chain ya ukaimishanaji wa mamlaka pia kati ya makaimu wenyewe kiasi kwamba ilifikia hatua hadi MWI akawa hajulikani ni nani

Hii ni kutokana na ukweli kuwa unakuta kwenye chain ya makaimu waliokamishana, aliyekaimishwa wa mwisho hayupo lakini naye pia amwemwachia Kaimu mwingine kwa maneno ya mdomoni na si kwa maandishi

Kwa hiyo hili ndiyo zoezi ambalo limekuwa likiendekea kwa upande wa Makaimu Wakuu wa Idara tangu mhusika aliporudi kutoka likizo, kiasi kwamba wakati mwingine alikuwa hawezi kujua MWI ni nani. Hali ya kutokujua nani alikuwa ni MWI, wakati mwingine ilikuwa inampa alert kichwani kwa sababu wakati mwingine chain za confusion za mamlaka ya watu ofisini kwa njia ya ukaimishanaji zinaweza zikamaanisha kitu kingine kikubwa zaidi nyuma ya pazia” especially zinapokuwa zimetengenezwa makusdi.

Kwa bahati nzuri au mbaya, mhusika hakuona kama chain hizi zilikuwa zimetengenezwa except zilikuwa coincidental

Kitu kingine kilichokuwa kinampa alert mhusika katika hili, ni wakuu watatu muhimu sana wa Taasisi kutokuwa na taarifa za maandishi kuhusiana na safari za MWI

Still, katika kipindi chote hicho ambacho kumekuwa na chain hii ya wakuu wa Idara, mhusika hana alichokuwa anakihitaji kutoka kwa MWI mweyenwe, isipokuwa tu anadhani kwamba pengine kama MWI angekuwa yupo muda mwingi idarani, pengine labda madai yake yangekuwa yameshalipwa. Ni kwa sababu taarifa za MWI kutokuwepo idarani mara zote zilikuwa zinakuwa hazijulikani na wakuu muhimu wa taasisi isipokuwa MJR

Yaweza kuwa kuna mabadiliko ya mawasiliano ambayo yameshapitishwa na Taasisi na hivyo kuanza kutumika, AU pengine kulikuwa na ruhusa maalumu ya MWI kutokuwepo ofisini bila ya wakuu wa Taasisi kupata taarifa za kutokuwepo kwake kimaandishi

MUBARIKIWE TENA NA BWANA

UP-NEXT MR X, MHUSIKA NA RAFIKI ZAKE MHUSIKA (WATOTO WAWILI WA MWISHO WA MR X) KWENYE MAZINGIRA YA OFISINI TAREHE 26-27 OKTOBA 2022
 
KUHUSIANA NA CHAIN YA UKAIMISHANAJI WA MAKAIMU

Chain ya ukaimishanaji kwa makaimu nayo pia iliendelea kufuata utaratibu ule ule aliowahi kuutumia MWI mwezi August 2022, na kwa kipindi cha hivi karibuni ndani ya mwezi huu wa Novemba, kuna waliokamishana kwa mara ya mwisho ambao aliyeandikwa kuwa amekaimishwa, mara ya mwisho alionekana ofisini Julai 2022, na kwa mara ya nyingine ya kwanza tangu muda huo, wameonana tena na mhusika leo asubuhi

UP-NEXT MR X, MHUSIKA NA RAFIKI ZAKE MHUSIKA (WATOTO WAWILI WA MWISHO WA MR X) KWENYE MAZINGIRA YA OFISINI TAREHE 26-27 OKTOBA 2022
 
MR X, MHUSIKA NA RAFIKI ZAKE MHUSIKA (WATOTO WAWILI WA MWISHO WA MR X) KWENYE MAZINGIRA YA OFISINI TAREHE 26-27 OKTOBA 2022

WATOTO WAAMUA KUPITIA KWA MUDA OFISINI KWA MHUSIKA WAKIWA WANATOKA GROUND FLOOR WAKIPANDISHA JUU OFISINI KWA MWI FLOOR YA PILI


Watoto wawili wa MR X ambao ni rafiki zake na mhusika, walipitia kwa muda maeneo ya ofisini kwa mhusika (na MR X pia) wakiwa wako njiani kuelekea nyumbani kwao

  • Wakiwa gorund floor (kwenye ofisi ya baba yao), waliamua kwenda kununua karanga ofisini kwa MWI, ambazo Katibu Muhtasi wa MWI (KMWI) huwa anaziuza kama vitafunio kwa ajili ya staff na watu wote ambao huwa wanakuwepo mazingira ya ofisini
  • Na kwa sababu watoto ni wenyeji kwenye mazingira ya jengo, wakiwa wanapandisha juu Floor ya pili, walipofika Floor ya kwanza waliamua kupitia kidogo ofisini kwa mhusika kumsalimia
  • Mhusika alifurahi kwa surprise ya kuwaona na pia kwa namna pilika pilikia zao zilivyokuwa siku hiyo; na baada ya muda kidogo mhusika aliamua kuwasindikiza kwenda ofisi waliyokuwa wanaenda kununua karanga
  • Ilikuwa ni surprise kwa mhusika kwa sababu mara ya mwisho wanafika ofisini kwake ilikuwa takribani miaka miwili iliyopita
Mhusika na rafiki zake walifanikiwa kumkuta KMWI na aliwauzia Karanga

Baada ya hapo walirudi ofisini kwa baba yao, mhusika akiwa naye ameowaongezea kidogp kwa ajili kununua karanga zingine baadaye. Muda siyo mrefu waliondoka mazingira ya ofisini.

Siku hiyo ikawa imepita ambayo ilikuwa ni J5 ya tarehe 26/10/2022

Kesho yake Alhamis tarehe 27/10/2022, wakiwa wanatoka kumchuka dada yao ambaye anasoma kozi fupi ya kompyuta mazingira ya ofisini, walipita tena kumsalimia mhusika

  • Kama ilivyokuwa jana yake, baada ya muda mhusika aliwaomba wapandishe juu ili na yeye akawanunulie tena karanga.
  • Zile za jana yake walikuwa wamenunua kwa hela yao, ila za siku hiyo (leo) mhusika alikuwa ameamua kuwapa ofa
MHUSIKA APANDISHA JUU OFISINI KWA MWI NA RAFIKI ZAKE KWENDA KUNUNUA KARANGA; KARANGA ZAKODSEKANA SIKU HIYO

Mhusika na rafiki zake walipandisha juu hadi ofisini kwa MWI lakini walichokuwa wanakitafuta walikikosa.

  • KMWI hakuwa amefika ofisini siku hiyo na hivyo karanga nazo pia hazikuwepo
  • Baada ya hapo mhusika alirudi akiwa ameambatana na rafiki zake hadi ofisini kwake
  • Wakati huo baba yao alikuwa anaendelea na mjadala mfupi wa kiofisi na MKUU WA MAJOR UNIT, jirani tu na ofisi ya mhusika
Baada ya kukosa karanga siku hiyo, mhusika aliamua kuwapa hela aliyokuwa ameikusudia kuwanunulia karanga na kuwaelekeza kuwa wataikata katikati kwa chenji halafu wagawane

  • Mhusika na rafiki zake walikubaliana na baada ya hapo rafiki zake waliendelea kuwepo ofisini kwa mhusika kwa muda wakicheza game huku wakiwa wanamsubiria dada yao na baba yao
  • Baada ya muda dada yao naye aliwasili; na alinyoosha moja kwa moja hadi ofisini kwa mhusika akasalimia na baada ya muda mfupi, aliondoka kuelekea ofisi nyingine jirani ambayo baba yao alikuwepo (ofisi ya MKUU WA MAJOR UNIT)
Baada ya muda, marafiki wengine hawa wawili waliokuwa wakicheza game, nao pia waliamua kuondoka

  • Staili ya kuondoka kwao ilikuwa ni ile ya uagaji wa ghafla tu unaofuatiwa na mbio za kasi kiasi, na hivyo mwenyeji hata huwezi ukapata nafasi ya kuwasindikiza wageni
  • Marafiki waliondoka na mhusika hakupata nafasi ya kuwasindikiza
Baada ya kuondoka kumbe walienda wakaanza kujadili kwa faragha namna ya kugawana hela yao ya karanga za siku hiyo na hatimaye walishindwa kufikia muafaka

  • Walivyoshindwa kufikia muafaka, walirudi tena ofisni kwa mhusika na kumwambia kuwa wanahitaji awape kila mmoja hela yake
  • Mhusika naye aliwatimizia kama walivyohitaji na walifurahi sana
  • Baada ya hapo wakakumbuka kuwa dada yao alikuwa bado hajapata chochote kwa hiyo wakamuomba mhusika awape na ya dada pia ili naye wampelekee
Mhusika aliwajibu kuwa dada yao alikuwa hajaomba hela ya karanga, huku moyoni akiwa na nia ya kumpa dada yao kwa kupitia kwa baba yao na si kupitia kwao

  • Baada ya mhusika kuwajibu hivyo marafiki hawa hawakumbishia na waliaga tena na hatimaye kuondoka kwa mbio za kasi kama ilivyo kawaida yao
  • Baada ya kupita takribani dakika 10-15, mhusika alimpigia MR X akitaka kujua alikuwa wapi, na hapa ndipo lilipoanzia jambo ambalo lilimtanisha kidogo mhusika siku hiyo.
Mhusika alishasema tangu siku nyingi huko nyuma kwamba ukimuona MR X anaanza kuwa “human” kwako ujue anajiandaa ku-STRIKE

………………..inaendelea
 
MR X AMSHAURI MHUSIKA AMTUMIE (MHUSIKA) NAMBA YA SIMU YA MTOTO, ILI MHUSIKA AMTUMIE MTOTO HELA KWENYE SIMU YAKE (MTOTO)

Baada ya mhusika kumpigia MR X akitaka kujua alikuwa wapi, MR X alisema alikuwa tayari ameshaondoka maeneo ya ofisini
  • Mhusika alimjulisha MR X kuwa anataka atume hela ya dada wa marafiki zake kwenye simu yake
  • MR X alirudisha majibu akimweleza mhusika kuwa anaweza (MR X) kumtumia namba ya simu ya mtoto na akamtumia kwenye namba yake
  • Hapo hapo mhusika alimuuliza swali MR X akitaka kujua kama amemnunulia simu mtoto mdogo
  • MR X alijibu kuwa kwa sasa anayo simu ambayo ni kwa matumizi ya nyumbani na hivyo ameanza kuitumia baada ya kumaliza shule
Wakati mhusika na MR X wanafanya maongezi haya, ilikuwa ni mida ya saa sita (12:43) na mhusika alimtumia pesa MR X (kwenye namba yake MR X na si kwenye namba ya mtoto) muda wa 12:47 kwa kutumia Airtel Money

Baada ya kupita takribani saa moja, MR X alirudi tena ofisini kwa MKUU WA MAJOR UNIT

Akiwa bado yupo kwenye korido anajiandaa kuiingia ndani ya ofisi hiyo, MR X alimshukuru mhusika. Wakati huo mlango wa ofisi ya mhusika ulikuwa wazi, hana AC tangu kipindi kile cha sakata la FUNDI WA AC; (hili nalo ni sakata jingine linalohitaji muda wake peke yake, kuharibika kwa AC hiyo ya mhusika kumbe kulikuwa na maana kubwa sana)

MUBARIKIWE TENA NA BWANA
UP-NEXT:
SENIOR MSTAAFU WA KIUME KUONEKANA TENA KWA MARA YA KWANZA MAZINGIRA YA OFISINI WIKI JANA (ILIKUWA J4 AU J5) BAADA YA KUWA AMEPOTEA KWA ZAIDI YA MIEZI MINNE AU MITANO
…………………..itaendelea tena
 
BY THE WAY:
Mhusika amesikia kwenye vyombo vya habari kwamba kuna uwezekano wa baadhi ya ndege zetu kuwa grounded sababu ya matatizo ya injini, kitu ambacho yeye kama layman, kimemchanganya kidogo.
Yeye kwa uelewa wake, anajua kuwa swala la ndege kuwa grounded kutokana na matatizo ya injini huwa linaamuriwa na MANUFACRURER wa Injini hizo na huwa halihusu nchi moja tu bali nchi mbalimbali kote duniani ambako ndege zenye injini za aina hizo huwa ziko kwenye operation
Maswali kadhaa ambayo mpaka muda huu ameshajiuliza ni kama yafuatayo
  • Je, hatua hiyo imechukuliwa kutokana na tukio hili la juzi?
  • Na kama inatokana na hili la juzi, je kwa nini ndege hizi zinataka kuwa grounded just a few days hata kabla ya ripoti ya kitaalamu ya uchunguzi wa tatizo la sasa haijatoka? Zinakuwa grounded kwa kutumia basis ipi ya kitaalamu?
  • Na kama pengine grounding ya sasa hivi haitokani na tatizo la juzi, je kuna technical report nyingine ya siku nyingi ambayo tayari ipo kwa ajili ya ku-support grounding ya sasa? Na kama ipo, utafiti wake ulifanywa lini? Na kwa nini utelekezaji wake ulikuwa haujafanyika hadi umesubiria tatizo jingine kubwa litokee kwanza ndiyo utekelezaji wake ufanywe?
Mhusika amejiuliza haya maswali kwa kuhofia kuwa pengine tunataka kuzi-ground ndege zetu kwa kutumia observation tu ya tukio la juzi.

Still anachojua yeye ni kuwa grounding ya ndege kutokana na tatizo la injini huwa inaamuriwa na manufacturers wa injini hizo na siyo wamiliki wa ndege zenye injini hizo. Mbali na hilo, grounding ya aina hiyo huwa pia ina-apply kwenye nchi zote ambazo injini za ndege hizo zinatumika

Unless labda kama mhusika alisikia vibaya tu na si kwamba grounding hiyo inayotaka kwa kufanywa muda huu inatokana na matatizo ya injini

MUBARIKIWE TENA NA BWANA

UP-NEXT:
  • AMBACHO EXACTLY KILITOKEA WAKATI WA PILIKA PILIKA ZA MR X MAZINGIRA YA OFISINI KWAO (MR X NA MHUSIKA) TAREHE 26-27 OKTOBA 2022
  • SENIOR MSTAAFU WA KIUME KUONEKANA TENA KWA MARA YA KWANZA MAZINGIRA YA OFISINI WIKI JANA (ILIKUWA J4 AU J5) BAADA YA KUWA AMEPOTEA KWA ZAIDI YA MIEZI MINNE AU MITANO
 
UPDATE: FRIDAY 11TH NOVEMBER 2022

AMBACHO EXACTLY KILITOKEA WAKATI WA PILIKA PILIKA ZA MR X MAZINGIRA YA OFISINI KWAO (MR X NA MHUSIKA) SIKU ZA TAREHE 26-27 OKTOBA 2022

Kwa kuanzia, tarehe 25 Oktoba 2022 ulitoka utabiri mtandaoni kuwa ndani ya siku za hivi karibuni kuna ndege itapata ajali; utabiri ambao upo kwenye post hii hapa #1


Baada ya utabiri huo kutoka, pilika pilika za MR X zilianza kesho yake na kwa siku mbili mfululizo

NAMNA MAZINGIRA YA OFISINI YALIVYO KUANZIA NJE KWENYE PARKING HADI NDANI YA JENGO

Parking ziliizo nje ya jengo la ofisi zimejengwa kwa lami, na zikawa partitioned kwa mistari ya rangi ya njano

Reserved Parkings (RP’s) ziko mbili tu na label zake zinazoonyesha majina/ vyeo vya wamiliki wa RP hizo ni za aina mbili.

Zaidi ni kwamba, label zote mbili ni za maandishi meusi yaliyoandikwa kwenye zege iliyopakwa rangi nyeupe

Mojawapo ya label hizo za RPs imeundwa kwa kuunganisha cheo cha mtu ambacho kinapatikana kwenye Organisation Hierarchy (OH) na jina la UNIT ile yenye kuambatana na cheo hicho ambayo yenyewe inapatikana kwenye Organisation Structure (OS)

Hii ya kwanza ni RP ya MKUU WA MAJOR UNIT

Kwa hiyo mojawapo ya labels za RPs imeundwa kwa kuunganisha entities mbili; entity moja ikiwa inatoka kwenye OH na nyingine ikiwa inatoka kwenye OS

Label nyingine ya pili ya RP imeundwa kwa kuunganisha “professional/ academic title ya mtu na jina la mtu. Hii ni parking ya SENIOR MSTAAFU WA KIUME ((SMK)

Parking zote kwa ujumla wake zimejengwa kwa lami isipokuwa ile ya SMK ina nyongeza kidogo. Kuna siku mafundi waliwahi kufanya kazi wakiwa kwenye parking hiyo, kwenye mojawapo ya siku ambazo gari la SMK lilipokuwa halipo na hivyo kupelekea sehemu ya kutosha ya parking hiyo kufunikwa na zege yenye mchanganyiko wa cement na mchanga

Mbali na hilo, kuna eneo jingine mbele ya parking ambalo hapo awali ilikuwa ni open space. Eneo hilo nalo pia lilikuja baadaye kujengwa kwa kutumia zege ya iliyotumia mchanganyiko wa cement na mchanga ila hadi leo hii bado ni open space isipokuwa iliyofunikwa na zege. Umeshapita takribani mwaka mmoja tangu sehemu hiyo ijengwe ila haijwahi kuwekewa kitu chochote juu yake hadi leo. Zaidi ni kuwa wapita njia wa miguu wengi tu huwa wanapita wakiikanyaga sehemu hiyo mara kwa mara mara ambayo ni ya zege yenye mchanganyiko wa cement na mchanga

Vile vile, RP ya SMK nayo pia iko njiani na hivyo kama hakuna gari linalokuwa limepaki pale, wapita njia wa miguu huwa wanapitia pale, wakiikanyaga pia zege ya mchanganyiko wa cement na mchanga iliyoko kwenye parking hiyo

Ukizingatia kuwa muda mwingi SMK amekuwa hayupo mazingira ya ofisini na alionekana wiki jana tu baada ya takribani miezi minne au mitano iliyopita, parking yake hiyo imekuwa iko wazi kwa kipindi kirefu sana

Kwa siku mbili zilizotajwa hapo juu, kwa observation zake mhusika kuhusiana na MR X, ni kwamba (MR X) alikuwa anaitumia parking hiyo ya SMK ila alikuwa anaonyesha dalili kama alikuwa anaitumia kwa machale kidogo

……………………….inaendelea
 
ALICHOKUWA AKIFANYA MR X KWA SIKU HIZO MBILI MFULULIZO:

ALIKUWA ANAFANYA KITU KWENYE ARDHI AKIANZIA KWENYE PARKING HADI NDANI YA JENGO KWENYE FLOOR ZOTE ZA JENGO KUANZIA GROUND FLOOR HADI 2ND FLOOR


Alikuwa anashughulika na ardhi kuanzia, yenye vumbi hadi ile iliyofunikwa na zege au lami

Attributes (alizozielezea mhusika hapo juu) zilizoko kwenye parking (zege, lami, rangi za njano, rangi nyeupe) ndiyo attributes zile zile ambazo huwa zipo pia kwenye runways za ndege kwenye viwanja vya ndege

Hapo awali, parking hizi zilikuwa zimekuwa partitioned kwa kutumia mistari myeupe lakini baadaye na hivi karibuni tu zlikuja kuchorwa mistari hiyo ya njano iliyopo sasa.

Kwenye siku ile ya kwanza tu MR X aliweza-kukava kila kitu alichokihitaji

  • Siku hiyo alikuwa ameanzia kwenye parking, huku parking ya SMK ikiwa wazi. Kwa hiyo anaweza kuwa alipaki pale au alipitia pale akiwa pamoja na watoto
  • Baada ya hapo aliingia ofisini kwake Ground Floor (GF)
  • Kutoka pale, aliwatuma watoto kwenda kununua Karanga FLOOR-2 (F2) akijua kuwa lazima tu wangeanzia FLOOR-1 (F1) ofisini kwa mhusika, kitu ambacho watoto walifanya
  • Baada ya hapo mhusika na watoto walipandiisha juu F2
Mpaka hapa FOOR zote za jengo lote la ofisi zikawa covered. Parking nazo pia vile vile; kwa sababu huko ndiko alianzia. Ikumbukwe kuwa hadi hapa alikuwa tayari ameshafanya mawasiliano ya awali na Katibu Muhtasi wa Mkuu wa Idara (KMWI) kabla ya siku hiyo

Hiyo siku ya kwanza ikapita

SIKU YA PILI ALHAMIS YA TAREHE 27/10/2022


Ni siku ambayo alirudi sasa kuja ku-test potency ya weapon yake aliyokuwa amei-devise jana yake. Siku hiyo, KMWI akawa hayupo ofisini na haikuwa kwa bahati mbaya; ilikuwa planned

Ikumbukwe pia kuwa kwenye siku zote hizi mbili, MR X alikuwa akifika ofisini akiwa kwenye mfumo wa FAMILIA na hivyo alikuwa ana-operate akiwa kwenye FAMILY LEVEL; familia ambayo ina ORGANISTAION STRUCTRE (OS) na ORGANISATION HIERARCHY (OH)

Kwa hiyo kwa siku ya pili MR X alikuja mahususi kwa ajili mambo mawili

  • Kwanza ilikuwa ni ku-TEST POTENCY ya WEAPON yake aliyokuwa amei-DEVELOP jana yake, kuona kama itafanya kazi vizuri
  • Pili; alihitaji angalau hata sh 1000/= tu kutoka mfukoni kwa mhusika na ambayo aliipata kirahisi tu
Kujua kama weapon yake ingeweza kufanya kazi, MR X alimhitaji KMWI asiwepo ofisini na hivyo AKAIMISHE nafasi yake hiyo kwa mtu mwingine; kuwe na mtu anaye-KAIMU nafasi yake siku hiyo, kitu ambacho nacho kilikuwa kimefanyika.

Siku hiyo ya pili mhusika alipopandisha juu akiwa na watoto, karanga hazikuwepo na pia vile vile kiti ambacho KMWI huwa anakaa kilikuwa kimekaliwa na mtu mwingine

………………………inaendelea
 
BAADA YA MR X KUWA AMEFANYA MAJARIBIO YA SILAHA YAKE NA KUONA KUWA INAFANYA KAZI ALIVYOHITAJI

Baada ya MR X kufanya majaribio ya silaha yake siku ya pili na kuhakikisha kuwa inafanya kazi vizuri; alirudisha mrejesho Kanisani kwa KM-A

Baada ya KM-A kupata mrejesho, aliandaa mtu kwa ajili ya kushugulika na MADHABAHU YA KANISA A J2 ya tarehe 30/10/2022 ambaye ndiye mhubiri aliyesimama madhabahuni siku hiyo

Baada ya madhabahu kushughulikiwa vizuri, KM-A alipanda juu MADHABAHUNI kwa ajili ya kushughulika na ORGANISATION STUCTURE katika namna ambayo hakuna muumini ambaye angeweza kufahamu

Kama ambavyo ameshadokeza kwenye maelezo yake huko nyuma, ORGANISATION HIERARCHY (OH) yenyewe ilikuwa tayari imeshashughulikiwa na makamanda wake wengine wawili wiki kadhaa nyuma

MAELEZO MAFUPI KUHUSIANA NA LIKIZO YA KWANZA KABISA YA KM-A NA AMBAYO ILIKUWA NDEFU KIASI; WIKI SABA

Mhusika ana JUMLA ya takribani miaka 9 tangu aanze kuabudu Kanisa A lakini katika miaka yote hiyo, hakuwahi kusikia KM-A amechukua likizo angalau ile ya wiki moja tu

  • Hata hivyo mara moja moja, KM-A amekuwa akipata dharura za kifamilia kwa muda kwa wiki kadhaa (mara nyingi 2 au 3) na kila anapokuwa hayupo, kila J2 waumini wamekuwa wakipata feedback za kwamba yuko wapi, ana hali gani, ANAFANYA NINI na anaendeleaje.
  • Vile vile yeye mwenyewe alikuwa anakuwa na tabia ya kuwatumia salaamu waumini kwa Ibada zote mbili, ya kwanza nay a pili
Kwa likizo hii ya kwanza kuwahi kutokea kwa KM-A, hali haikuwa hivyo

Likizo yake hii na ya kwanza kabisa (kwa mhusika kuwahi kushuhudia likzo ya KM-A) ilianza J3 ya tarehe 29/08/2022 na kumalizika Jumamosi ya tarehe 15/08/2022. Ilisemekana kuwa kesho yake J2 ya tarehe 16/08/2022 alikuwepo kwenye Ibada ya kwanza

  • Katika kipindi chote hiki cha wiki saba (7) waumini hawakuwahi kujulishwa kuwa alikuwa likizo wapi, ana hali gani na ALIKUWA ANAFANYA NINI
  • Walichotangaziwa waumini ni kuwa KM-A alichukua likizo na haikusemwa kama alisafiri au aliendele kuwepo nyumbani kwake
  • Vile vile, waumini walikuwa hawajulishi ana hali gani na wala yeye mwenyewe alikuwa hatumi salamu kwa waumini Kanisani kama ilivyokuwa kule mwanzo
Katika kipindi chote hicho cha wiki saba, haikuwahi kutokea kwa waumini angalau kutangaziwa tu kuwa KM-A alikuwa amewatumia salaam

Likizo hii ya KM-A

  • Ilikuwa ni ya kwanza kwa mhusika kuwahi kushuhudia KM-A akiwa amechukua likizo
  • Ilikuwa ni ndefu kiasi, wiki saba
  • Ilikuwa ina privacy fulani ya hali ya juu kwa sababu hakuwahi kuwasiliana RASMI na waumini kama kanisa, japo possibly kuna baadhi aliokuwa anawasiliana nao kwa simu as individuals
Kwenye J2 ya kwanza kabisa ambayo KM-A alikuwepo Kanisani baada ya kutoka likizo, ndiyo J2 ambayo waumini walitangaziwa kwa mara ya kwanza kuwa ndani ya wiki inayofuata, kungekuwepo kongamano la jimbo ndani ya wiki hiyo. Kawaida matukio makubwa kama haya huwa yanatangazwa wiki kadhaa nyuma lakini kwa hili haikuwa hivyo.

Kwa mfano, kuna mkutano mdogo tu wa chama cha wanaume wa jimbo ambao uliwahi kufanyika January 2022 hapo Kanisa A, na kuhudhuriwa na watu angalau 70, wengi wao wakiwa ni kutoka Kanisa A lenyewe. Mkutano huo ulianza kutangazwa mwezi mmoja kabla

………………..inaendelea
 
KUHUSIANA NA SWALA HILI LA KILA YANAPOFANYIKA MAOMBI HASA YA ZAIDI YA SIKU MOJA “KANISA A” NA YENYE KUAMBATANA NA MFUNGO WA MAJI TU, ZINATOKEA AJALI MBAYA SANA NDANI YA WIKI HIYO

Mhusika anazo clues zingine ambazo ni za kiroho mno kuhusiana na swala hili na hivyo hawezi kuziandika humu kwa sababu alichoakiandika mpaka muda huu, kinaweza kuzaa matunda mazuri tu yanayohitajika, assuming kinafanyiwa kazi

Ukiiangalia vizuri ajali hii iliyotokea J2 iliyopita unakuta ina mambo kadhaa kama yalivyoainishwa hapa chini

KWA KUYAANGALIA BAADHI TU YA YALE YALIYOKUWA YAKIENDELEA KANISA A WAKATI AJALI INATOKEA J2 ILIYOPITA

Ajali imetokea J2 asubuhi saa 2.53, muda ambao KM-A alikuwa yupo madhabahuni (madhabahu ambayo ilikuwa imshambuliwa tangu J2 ya wiki iliyopita) akitoa matangazo yake ya UZINZI

Ni almost katika muda huo huo J2 iliyokuwa imepita nyuma yake, KM-A alikuwa tena yupo madhabahuni akitoa matangazo yake yaliyohusiana na ORGANISATION STRUCRURE, mara baada ya mwalimu wa somo lenye kichwa NGUVU YA JINA LA “JOSHUA” kuhitimisha somo lake huku akiiacha madhabahu ya Kanisa A ikiwa taabani

KWA KUYAANGALIA BAADHI TU YA YALE YALIYOJIRI UPANDE WA MHUSIKA J2 HIYO

Kwa yale ambayo tayari yameshajiri upande wa mhusika hadi muda huu, mhusika anaona kuwa J2 hiyo alipokuwa yupo maeneo ya Kanisani, kuna uwezekano kuwa mama wa kiroho alikuwa ameacha gari lake makusudi pale kwenye parking nzuri kwa lengo la kum-scare mhusika ili asipaki pale na badala yake aende akapaki kwenye parking zile zingine zilizokuwa karibu na gate la kuingilia ndani ya uzio wa Kanisa

Kulikuwa na mpango wa hatari kwa mhusika na ambao possibly, mama wa kiroho alikuwa anaufahamu vizuri, uliokuwa umenuiwa kwa maisha ya mhusika

Mbali na hilo, inaonyesha ingekuwa vizuri zaidi kama mpango ungekamilika siku hiyo hiyo na papo kwa papo. Hadi Profesa alikuwa anahusika kwenye mpango huo

KILE KILICHOKUWA KINAENDELEA KWENYE ENEO LA AJALI YENYEWE J2 HIYO HUKU IBADA IKIWA INAENDELEA “KANISA A”

  • Kijana aliyeenda kuwaokoa marubani alishindwa kufanya hivyo baada ya watu kumzuia kubomoa kioo, wakati marubani wenyewe walikuwa wanampa ishara ya kubomoa kioo ili waweze kujiokoa
  • Hii inaonyesha kuwa watu hawa walimzuia kijana huyo makusudi ukizingatia kuwa pamoja na wao wenyewe kuwepo eneo la ajali, hatujataarifiwa kuwa waliokoa angalau mtu mmoja
Kwani ndege ikianguka kwenye maji, usalama ni kubaki ndani ya ndege au kutoka nje kwenye maji? Hizo life jackets ambazo huwa zinaonyeshwa kwenye demo, huwa zinamaanisha nini?

Mpaka muda huu kitu pekee tunachotaarifiwa kuhusiana na watu hao ni kwamba walimzuia kijana kubomoa kioo cha ndege na hivyo kupelekea marubani hao kupoteza maisha, na hicho ndicho kitu pekee walichofanya watu hao

Kwa tafsiri nyingine ni kwamba marubani hao hawakutakiwa kuwa hai “The Dead Stay Dumb” by James Hardley Chase

Swali la msingi la kujiuliza hapa ni kwamba kwa nini watu hawa walienda kwenye eneo la tukio, ilhali kitu pekee walichofanya wakiwa hapo ni kumzuia mtu kuwaokoa marubani?

Ukizingatia kitu kingine kwamba ajali hii ilikuwa tayari imeshatabiriwa na mtu mmoja mtanaaoni (#1 ) tarehe 25/10/2022 siku moja kabla MR X kuanza pilika pilika zake pale ofisini kwake, yanajitokeza maswali mengi zaidi ya majibu

Kama ambavyo mhusika ameshaelezea hapo awali, MR X ALIKUWA ANASHUGHULIKA NA ARDHI, IKIWA PAMOJA NA VILIVYO KWENYE ARDHI KAMA AMBAVYO. NA NDIYO MAANA HATA MAOMBI YA KANISA A KWA WIKI HIYO YALIKUWA NI YA MFUNGO WA MAJI TU; KWANI MAJI HUWA YANAKAA WAPI?

Ndege ikishazima injini huwa haina tena mfumo wa hewa wa ndani kwa ndani na ndiyo maana marubani walikuwa wanamwashiria kijana atoboe kioo ili watoke nje ya maji waweze kuwa salama

Je, hawa watu waliomzuia kijana kutoboa kioo, wao walikuwa hawajui hilo?

Tuseme abiria mpo ndani ya ndege nchi kavu, na katika hali ambayo ni ya salama tu na si ya hatari. Ikitokea tuseme injini ya ndege ikazma halafu mkaendelea kuwa mmefunga milango lazima mtakufa kwa kukosa hewa.

Je, hawa watu waliomzuia kijana kutoboa kioo ili aweze kuwaokoa marubani, ni kweli kwamba “they are that much dumb” kiasi kwamba hawakulijua hilo?

……………………….itaendelea
 
Kwamba wewe juzi tu ulikuwa uko likizo ndefu isiyo ya kawaida, na kawaida huwa huchukui likizo.

  • Umeenda likizo wala hukujulikana ulikuwa wapi, umewaficha waumini wako muda wote hawakujua ulikuwa wapi.
  • Umerudi kutoka likizo umeanza kufanya uchakakuaji madhabahuni mambo ya kipumbavu, halafu all of a sudden inatokea ajali mbaya nyumbani kwenu unakotoka, ambako inaonyesha pengine ulienda huko ila kwa kificho
Kuna uwezekano mkubwa huyu mtu akatoa mwongozo mzuri katika hili!
 
UPDATE: SATURDAY 12TH NOVEMBER 2022

BREAKING NEWS!!!!:

TAFSIRI SAHIHI YA MATENDO YA MR X NA YA KIONGOZI MKUU WA KANISA A YALIYOELEZWA HAPO JUU
MR X
NA KM-A WAMEANZA KUFANYA OPERATION KWA KUTUMIA “DATABASE YA MAKAZI NA WATU”


Kwenye matukio ya hivi karibuni ambayo mhusika ameshayaeleza humu kuhusiana na MR X na KM-A, wawili hawa wameanza operation inayofanya kazi kwa kutumia DATABASE ya makazi na watu

Ikumbukwe kuwa mnamo Desemba 2020, baadhi ya waumini wa Kanisa A waliwahi kuhudhuria hafla mahali fulani na baada ya kutoka huko, walirudi Kanisani na kulalamika kwa KM-A kuwa walionyeshwa picha chafu zilizokuja kuwaletea matatizo baadaye siku hiyo usiku
  • Kabla ya siku hiyo, KM-A alikuwa akisimama mfululizo madhabahuni akifundisha somo liliohusiana na mwili, nafsi na roho ikiwa ni pamoja na milango mitano ya fahamu (kuona, kusikia, kuonja, kunusa, kugusa)
  • Baada ya kuwa amefundisha somo hilo kwa wiki kadhaa, baadaye iliwadia siku ya hafla na hiyo ambayo waumini wa Kanisa A walienda kuonyeshwa picha chafu, huku KM-A akiwa hayupo kwenye hafla hiyo
Alipokuwa anaendelea kufundisha somo hilo, kumbe KM-A alikuwa anatayarisha silaha ambayo alikuwa amepanga iende kuwa tested kwa mara ya kwanza, kwenye hafla hiyo, na ndiyo maana yeye mwenyewe hakuwa amehudhuria hafla hiyo siku hiyo

Baada ya waumini waliokuwa wamehudhuria hafla hiyo kutoka huko na hatimaye kurudisha majibu Kanisani, KM-A akajua kuwa WEAPON (tuiite WEAPON-1) hiyo aliyokuwa amei-devise, iko safi na kuanza kuitumia tangu wakati huo, na amekuwa akiitumia kuanzia pale hadi muda huu

Baada ya zoezi la Sensa ya Watu na Makazi kupita hivi karibuni huku WEAPON-1 ikiwa imekaa kipindi kirefu na possibly, kuwa imekosa nguvu aliyoihitaji; KM-A ameamua kutengeneza WEAPON nyingine (tuiite WEAPON-2) inayo-operate kwenye DATABASE YA SENSA YA MAKAZI NA WATU inayotokana na zoezi lililopita hivi karibuni mwaka huu

KILICHOFANYIKA BAADA YA WEAPON-2 KUWA DEVISED

Mr X alipewa assignment ya kui-test kwa mara ya kwanza kwenye FAMILY LEVEL (majumbani) na DEPARTMENTAL LEVEL/ CO-WORKER LEVEL (maofisini).
  • MR X alitekeleza zoezi la ku-test WEAPON-2 kwenye siku mbili za J5 na Alhamis za tarehe 26 na 27 Oktoba 2022
  • Baada ya hapo MR X alirudisha majibu wa namna utendaji kazi wa silaha hiyo ulivyo, kwa KM-A
Baada ya MR X kurudisha majibu, KM-A naye ndiyo akaamua kui-apply kwenye kwenye ORGANISATIONAL LEVEL, siku alipokuwa anawatambulisha watu J2 ya tarehe 30/10/2022 wakiwa wametokea kwenye idara mbalimbali tofauti Kanisani hapo

Details zaidi ikiwa ni pamoja na ushahidi wa kutosha kuthibitisha haya zitawajieni baadaye

…………………..itaendelea
 
TUKIO JINGINE MUHIMU ALILOKUMBANA NALO MHUSIKA KWENYE MAZINGIRA YA OFISINI WIKI HII SIKU YA IJUMAA JIONI TAREHE 11/11/2022 WAKATI ANAKARIBIA KUONDOKA OFISINI

MAELEZO YA UTANGULIZI KUHUSIANA NA TUKIO LENYEWE


  • Mhusika aliripoti tena ofisini J3 ya tarehe 02/10/2022 baada ya kuwa amemaliza likizo yake ya mwaka 2022
  • Tangu siku hiyo hadi J4 ya wiki hii tarehe 8/11/2022, hapakuwahi kutokea mtu yeyote kufanya kazi kwenye chumba kilicho jirani na ofisi ya mhusika
  • Muda wote huo chumba hicho kilikuwa hakina mtu aliyekuwa anafanyia kazi zake humo
  • Hata hivyo, ilipofika J5 ya wiki hii tarehe 9/11/2022, MR X aliingia humo kwa mara ya kwanza, akiwa ameambatana na mwanafunzi binti wa ngazi za juu
Kwa hiyo, viashiria vya tukio lenyewe vinaanzia siku hiyo ya J5 tarehe 9/11/2022 na hatimaye kuhitimishwa kwa tukio siku ya Ijumaa tarehe 9/11/2022, japo halikutokea kama lilivyokuwa limepangwa

Baadhi tu ya watu muhimu waliohusika na tukio hilo ukiondoa mhusika mwenyewe ni wafuatao

  • MR X
  • Staff mwanaume aliyehamia kutoka Dodoma (huyu tumwite SDOM)
  • Bibi muuza vitabu ambaye mara zote huwa anafika ofisini akimtafuta mstaafu aliyewahi kuwa MWI miaka ya 2006-2012 na mara zote huwa hamkuti
  • SENIOR Mstaafu mwingine wa kiume (huyu tumwite SMK-2) ambaye kwa mara ya kwanza ndani ya muhula huu, Ijumaa jioni alikuwa na darasa chumba cha jirani na ofisi ya mhusika
  • Staff binti ambaye ni MWI wa idara nyingine (huyu tumwite BMWI) iliyowahi ku-merge na ile ya mhusika na kuunda MAJOR UNIT iliyopo sasa
MAELEZO YA UTANGULIZI KUHUSIANA NA MATUKIO YENYEWE

  • Mhusika aliripoti tena ofisini tarehe 02/10/2022 baada ya kumaliza likizo yake ya mwaka 2022
  • Tangu siku hiyo mhusika aliporudi kutoka likizo hadi kufikia J4 ya wiki hii tarehe 8/11/2022, hapakuwahi kutokea mtu yeyote kufanya kazi kwenye chumba hicho kilicho jirani na ofisi ya mhusika
  • Muda wote huo chumba hicho kilikuwa hakina mtu aliyekuwa anafanyia kazi zake humo
  • Hata hivyo, ilipofika J5 ya wiki hii tarehe 9/11/2022, MR X alifingia humo kwa mara ya kwanza, akiwa na mwanafunzi wa ngazi za juu
  • Siku hiyo hiyo tena SDOM naye pia aliingia kwenye chumba
Kwa hiyo kuanzia J5 hiyo hadi Ijumaaa, chumba hicho kilianza kutumika at FULL SCALE, na hadi kufikia jioni, SMK-2 aliingia kwenye chumba hicho akiwa ameambatana na kundi la wanfunzi kadhaa

Wakati SMK-2 anakuja ili aingie ndani ya chumba hicho, alikikuta kiko wazi, kilikuwa tayari kimeshafunguliwa na SDOM ambaye alikuwa pia ameacha funguo ndani ya chumba hicho

Baada ya SDOM kufungua chumba hicho, hakuonekana tena hadi SMK-2 anatoka

Wakati anatoka, SMK-2 ndiye aliyemjulisha mhusika kuwa funguo za chumba zilikuwa humo ndani na hapa ndipo mambo ya tukio hili yanapoanzia, aliyetakiwa ku-execute tukio ni SMK-2, japo

……………………..inaendelea
 
BAADA YA SMK-2 KUHITIMISHA DARASA LAKE LILILOKUWA LIKIENDELEA CHUMBA JIRANI NA OFISI YA MHUSIKA

Akiwa ametoka nje yupo kwenye korido usawa wa mlango wa chumba alimokuwa, SMK-2 alimsemesha mhusika akimuuliza swali kuwa funguo za chumba hicho huwa anakaa nazo nani

Mhusika alimjibu SMK-2 kuwa huwa anakaa nazo SDOM

Baada ya hapo SMK-2 alimweleza mhusika kuwa SDOM atakuwa ameacha funguo zake humo ndani ya chumba; na mhusika naye alimjibu SMK-2 kuwa kama ameziacha basi atakuwa yupo around na lazima atakuja baadaye afunge

Chumba hicho cha jirani na ofisi ya mhusika, kina-share gate kuu moja la kuingilia ndani ya kila mojawapo ya ofisi hizo

………………..inaendelea
 
BY THE WAY:

KABLA MHUSIKA HAJAENDELEA NA MADA ILIYPO JUKWANI MUDA HUU


Mhusika angependa kurejea vitu kadhaa kwenye mambo kadhaa ambayo hivi karibuni amekuwa akiyaongelea huku jukwani

1. KUHUSIANA NA TETESI ZILIZOVUMA KWENYE ENEO LA AJALI YA NDEGE J2 ILIYOPITA KWAMBA:

  • Idadi ya abiria waliokuwa majeruhi ukiunganisha na wengine ambao walikuwa tayari wameshatwaliwa na Bwana, ilizidi idadi ya wale waliookuwepo kwenye boarding list ya abiria wa ndege kwa siku hiyo
  • Kijana mahiri Majaliwa aliyefanikiwa kuokoa abiria 29 majeruhi alipigwa kwa nahati mbaya na mkanda wa ndege (????) hadi kuzimia hali iliyopelekea naye pia kujikuta ni miongoni mwa majeruhi waliokimbizwa hospitalini
  • Kuna abiria ambaye yeye mara baada ya kuokolewa alitimua mbio (??????) kiasi kwamba walinzi walipojaribu kumfuatilia hakufanikiwa kumpata
ASSUMING HIZI TETESI NI UKWELI NA HIVYO NI FACTS TUPU; kwa kuzingatia mambo haya matatu tu ukiongezea na FACT nyingine ambayo yenyewe haina shaka na ambayo imesikika kutoka kwenye kinywa cha shujaa Majaliwa mwenyewe akisema kwamba KUNA WATU AMBAO WALIMZUIA KUTOBOA KIOO ALIPOKUWA ANATAKA KUWAOKOA MARUBANI

Kama taarifa hizi zote hapa zote ni facts tu na kwamba hakuna ambazo ni tetesi; chances kubwa ni kwamba

  • Kuna watu foreigners ambao hawakuwa wezi wala vibaka, waliokuwa wamevamia kwenye eneo la ajali na si kwa kuwasaidia abiria bali kuwahujumu abiria
  • Kama point hii hapo juu ni kweli, mmojawapo wa watu hao atakuwa ni yule aliyekimbia mbio akidhaniwa kuwa abiria aliyeokolewa
Unless kama abiria huyu alikuja kupatikana baadaye na ameshajulikana kuwa alikuwa ni nani; na pia ameshathibitishwa kuwa kweli alikuwa mmoja wao abiria waliokuwemo kwenye ndege siku hiyo

Vile vile yaweza kuwa Majaliwa alishambuliwa na wavamizi hao wa kwenye eneo la ajali, kipindi alipokuwa kwenye harakati za kuokoa abiria zaidi, ili asiendelee kufanya hivyo

  • Madai kwamba Majaliwa alipigwa na mkanda wa ndege; mkanda gani? Huo mkanda huo huwa upo sehemu gani kwenye ndege?
  • Huo mkanda wa kufyatuka na kufanikiwa kumpiga mtu mahiri kama Majaliwa hadi kuzimia pasipo yeye kufanikiwa kuuona au kuukwepa, hadi kujikuta yupo Hospitali bila kufahamu, huwa upo sehemu gani kwenye ndege?
  • Na kama ilikuwa ni hii mikanda ya kwenye viti vya abiria, mikanda hiyo inawezaje kumpiga mtu mahiri kama Majaliwa hadi azimie?
Mwisho kabisa, NABII ALIYETABIRI MTANDAONI KUWA NDEGE ITAANGUKA NA KUVUNJIKA VIPANDE VIWILI, alikuwa ameandaliwa ili kuwajenga watu kisaikolojia kwenye tukio hili ambalo; doubts za kwamba halikuwa limepangwa zinazidi kupotea kila kunapokucha

Mhusika anajaribu kuongea tu kutokana na yale ambayo amekuwa akiyasikia kutoka kwenye mitandao ya jamii, akiunganisha na yale aliyoyasikia kwa masikio yake mwenyewe KUTOKA KWENYE KINYWA CHA SHUJAA MAJALIWA MWENYEWE

Kama atapata nyongeza nyingine katika hili, mhusika atarudi tena

KUHUSIANA NA STAILI YA NAMNA KIONGOZI MKUU WA KANISA A ALIVYOONDOKA KWENDA/ KURUDI KUTOKA LIKIZO YAKE YA WIKI SABA

NAMNA ALIVYOONDOKA


Kwanza kabisa likizo hii ilikuwa ni ya kwanza kabisa kwa KM-A kuwahi kuchukua katika kipindi chote ambacho mhusika amekuwa akiabudu Kanisa A; kipindi ambacho kinakaribia miaka tisa ((9) sasa

Kawaida, huwa kila anapokuwa anataka kusafiri kwa safari zote ambazo siyo za dharula, mara zote safari zake huwa zinatangazwa siku kadhaa kabla ya siku ya safari, angalau J2 ya mwisho ambayo anakuwa yupo pamoja na waumini wa Kanisa A kwenye Ibada

Safari hii haikuwa hivyo

  • Waumini walitangaziwa siku ya J2 ambayo KM-A alikuwa tayari ameshasafiri
  • J2 ya mwisho ambayo waumini wa kanisa A walikuwa pamoja naye (tarehe 29/08/2022), safari yake haikutangazwa bali ilikuja kutangazwa J2 iliyofuata akiwa tayari alishaondoka
Baada ya kuondoka, taarifa zake hazikusikika hata J2 moja madhabahuni, hadi ilipofika tena tarehe J2 ya tarehe 16/10/2022 ndipo waumini wa Ibada ya pili walitangaziwa na KAIMU wake kuwa Wiki iliyokuwa inafuata kungekkuwa na kongamano la Jimbo na kwamba KM-A tayari amesharudi kutoka likizo huku waumini hao wakielezwa kuwa KM-A alikuwepo kwenye Ibada ya kwanza na alikuwa ameambatana na Mama kama ilivyo kawaida siku zote

Kwa hiyo baada ya kurudi kutoka likizo;

  • KM-A alifikia kwenye wiki ya Kongamano la Jimbo
  • Waumini wote wa Kanisa A walijumuika naye kwenye kongamano hilo
  • Kwa hiyo kwenye wiki hiyo ya kongamano KM-A hakupata nafasi ya kuwaweleza waumini kama Kanisa, machcahe tu juu ya likizo yake hiyo kwa sababu Ibada zilizokuwa zainaendelea Kanisani muda huo zilikuwa na mchangayiko wa waumini wengine wageni kutoka sehemu mbali mbali za nchi.
  • Mbali na hilo, waliokuwa wanaendesha program kwenye wiki hiyo ni viongozi/ waumini wengine kutoka makanisa mengine mbali mbali ndani ya nchi, huku wakimpa yeye nafasi ya kuendekea kupumzika zaidi
  • Kwa hiyo ni kwamba KM-A aliondoka kwenda likizo bila ya yeye mwenyewe kuwa amewaaga waumini kwa kinywa chake mwenyewe
  • Pia KM-A amerudi kutoka Kanisani kutoka likizo na hadi J2 iliyopita, alikuwa hajawahi kusimama madhabahuni kuwaeleza chochote juu ya likizo yake hiyo, waumini wa Ibada ya kwanza na ile ya pili pia
Kama atakuwa amefanya hivyo, basi atakuwa amefanya kwenye Ibada za katikati ya wiki ambazo huwa wanahudhurioa waumini wachache tu almost 30% tu ya waumini wa Kanisa zima

  • Kwa nini KM-A anakwepa kusimama madhabahuni kusema kitu wakati wa Ibada za J2 kwa waumini wa Ibada ya kwanza na ya pili, wakati hata alipokuwa anaondoka, aliondoka kimya kimya bila kusimama madhabahuni kuwaaga?
  • Huu ni uhusiano wa aina gani sasa kwa Kiongozi na waumini wake, au mahusiano ni kwenye sadaka tu halafu mambo mengine hapana?
Kwa kifupi tu ni kwamba, KM-A anatoka kule lilikowahi kutokea tetemeko kubwa la Ardhi na kumaliza watu wengi sana mwaka 2016 na ambako ndiko ilikotokea ajali hii ya sasa ya ndege

Safari ya likizo ya Kiongozi huyu inaleta maswali mengi zaidi kuliko majibu

Unless kama KM-A amebadilika tabia lakini kwa alivyokuwa mwanzo, KITENDO CJHAKE CHA KURUDI TU KUTOKA LIKIZO YAKE YA KWANZA NA NDEFU KIASI HICHO (WIKI 7); hiyo pekee ingekuwa ni burudani tosha kabisa kwa waumini wa Kanisa A

Kiongozi huyu ana asili ya vichekesho na huwa hana mood inayobadilikabadilika, always mood yake iko vile vile siku zote

Ingekuwa kama ilivyokuwa zamani, baada ya kurudi kutoka likizo, KM-A angesimama madhabahuni akiwa ameambatana na Mama halafu angetoa vionjo vya vichekesho vya kuwafurahisha waumini na lazima tu wangechekea sana.

Huwa ana tabia ya ucheshi sana na ni mtu ambaye huwa hana mood inayobadilika; mood yake iliivyo leo na ndiyo itakavyokuwa na kesho na mwakani; huwa habadiliki. Hiki kitu ni cha pekee sana na ni talent ya watu wachache sana. Hata hivyo ,tahadhari katika hili ni kwamba kwa watu wenye mood za aina hii, tatizo linaweza kuwa tu iwapo mood hiyo inaweza kuwa imeficha kitu kingine kikubwa ndani yake

Katika hili la likizo yake, ilikuwa ni vyema kama rafiki yetu angeweza kupita kwenye SCANNER anayostahili ili aweze kuwa “cleared of doubts” za namna hii na iweze kujulikana kama alikuwa na likizo njema ama la!

MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
…………………….inaendelea

TUKIO ALILOKUMBANA NALO MHUSIKA IJUMAA JIONI TAREHE 11/11/2022

BAADA YA SMK-2 KUHITIMISHA DARASA LAKE LILILOKUWA LIKIENDELEA CHUMBA JIRANI NA OFISI YA MHUSIKA


SMK-2 yeye aliwahi kuondoka; kama dakika kadhaa hivi kabla ya mhusika huku (SMK-2) akiwa amemjulisha mhusika kuwa aliyefungua chumba hicho alikuwa ameacha funguo zake humo chumba jirani.

  • Pamoja na uwepo wa funguo hizo humo ndani ya chumba na kwamba SMK-2 ndiye aliyekuwa na darasa humo, bado SMK-2 hakuona umuhimu wa yeye mwenyewe kufunga chumba hicho, kitu ambacho kiliashiria wazi kabisa kuwa tayari mahali fulani kulikuwa na tatizo fulani kuhusiana na mazingira ya chumba hicho
  • Zaidi ni kuwa baada ya SMK-2 kuondoka, chances ni kwamba mhusika alibaki peke yake kwenye sakafu hiyo.
  • Yule bibi muuza vitabu (bibi ambaye mara zote huwa anakuja kuwafuta aliyewahi kuwa MWI 2006-2012 na mwenzake lakini mara zote huwa hawakuti) alikuwa amefika kwenye sakafu hiyo majira fulani siku hiyo na kugusa kila kitasa cha ofisi za watu wengine wote walioko sakafu hiyo lakini hawakuwepo
Zaidi ni kuwa kuna ofisi nyingine ambayo mmiliki wake walikuwa hawajaonana na mhusika tangu mwezi wa saba

  • Huyu ni yule aliyewahi kukaimishwa ukuu wa Idara huku akiwa hayupo mazingira ya Idarani.
  • Huyu yeye alikuwa amefika ofisini asubuhi na hiyo na baada ya muda mfupi aliondoka tena na kufunga mlango wa ofisi yake kwa kutumia grill
Kwa hiyo chances ni kwamba, baada ya SMK-2 kuondoka, mhusika alikuwa amebaki peke yake kwenye sakafu hiyo; wengine wote hawakuwepo

  • Mbali na hayo,mhusika vile vile hakumbuki kumuona SDOM akiingia kwenye chumba hicho siku ya hiyo ya Ijumaa.
  • Hata Alhmis pia mhusika hakumbuki kumuona SDOM akiingia humo
  • Anachokumbuka ni kwamba wote SDOM na MR X waliingia humo siku ya J5 tu na baada hapo hawakuingia tena, isipokuwa mabinti wawili tu ambao ni wanafunzi wa ngazi za juu
  • Kwa hiyo baada ya J5, angalau mhusika aliendelea kuwaona mabinti hao wawili wakiingia humo na kutoka, kila mmoja kwa wakati wake, ila siyo SDOM na MR X.
Kwa hiyo chances ni kwamba SDOM hakuwa amefungua chumba hicho Ijumaa hiyo isipokuwa mmojawapo wa wale mabinti wawili waliokuwa wakiendelea kuingia na kutoka humo tangu J5,; kila mmoja kwa wakati wake

KILE ALICHOKIONA KWENYE CHUMBA HICHO JIRANI WAKATI MHUSIKA ANAJIANDAA KUONDOKA OFISINI KWAKE

Baada ya mhusika kufunga ofisi yake ili aondoke, aliweza kuona kwenye chumba hicho jirani funguo zikiwa zimewekwa kwenye kitu kama maganda mannne hivi ya CD/DVD; yale ya plastic, yakiwa juu ya Meza kubwa. Juu ya maganda hayo kulikuwa na bundle ya funguo, possibly zile ambazo SMK-2 alisema kuwa zimeachwa.

Kwa kukumbushia tu hapa ni kwamba tarehe7/10/2022 baada ya mhusika kurudi kutoka likizo, alipandisha juu jengo la Central Administration kufuatilia madai ya fedha zake
  • Kule alienda akakutana na mtandao uliokuwa umejipanga ambao baadaye ulimwelekeza aende kwenye ofisi fulani ambayo ipo karibu kabisa na watu wa masjala
  • Baada ya kufika kwenye ofisi husika, mwenye ofisi alitaka kutoka kidogo ofisini akiwa anataka amwache mhusika peke yake humo.
  • Kilichotokea baada ya hapo ni kwamba mwenye ofisi na mhusika walipita pamoja mlangoni wakiwa wamepangana utafikiri ni askari wawil wanamachi kwenye mstari wa kwata
Baada ya kuziona funguo hizo zikiwa juu ya meza, mhusika hakuingia humo, isipokuwa alifunga ofisi yake tu na hatimaye alisogea kwenye grill ya gate kuu na kuirudishia tu bila kulifunga kwa funguo

KIPINDI SMK-2 ALIPOKUWA ANAENDELEA NA DARASA LAKE, KABLA MUDA WA KUHITIMISHA DARASA HILO HAUJAWADIA

Kuna binti mmoja mrembo ambaye yupo pale idarani kwa muda mrefu sasa, alikuja na kuingia ndani ya darasa hilo
  • Huyu binti amekuwepo idarani kwa zaidi ya mwaka sasa lakini mhusika hakumbuki kumuona hata mara moja akiingia kwenye chumba hicho
  • Mara zote huwa anakuja na kuishia kwenye ofisi ya MKUU WA MAJOR (MJR) lakini mhusika alishangaa kumuona safari hii binti akipitiliza bila kuingia ofisi ya MJR na kunyoosha moja kwa moja kama uelekeo wa pale alipokuwa mhusika amekaa, mlango wa ofisi yake ulikuwa uko wazi
  • Kabla hajaingia kwenye chumba alimokuwa SMK-2, mhusika alidhani pengine mrembo huyo alikuwa ametamani tena kuingia kwa mara ya pili ofisini kwa mhusika.
  • Mara ya kwanza aliingia ofisini kwa mhusika ilikuwa ni mwishoni mwa July 2020, zaidi ya miaka miwili iliyopita na ilikuwa baada ya mhusika kuwa amemkaribisha; alipokuwa anatoka ofisini kwa MJR.
  • Binti alikuwa amebeba FILE jepesi na lilionekana kuwa jembamba kiasi kwamba halikuwa limebeba nyaraka nyingi sana ndani yake
  • File lilikuwa la rangi ya kakhi na alikuwa amelibeba kwenye mkono wake wa kushoto, mkono akiwa ameukunja mithili anataka kuubana kifuani
Binti huyu alikaribia kabisa kwenye ofisi ya mhusika na kujaribu kama anataka kuingia humo kwa sababu mlango wake ulikuwa wazi, halafu baadaye aligueza uelekeo na kuingia kwenye chumba alimokuwa SMK-2 akiwa anaendelea na darsa
Mhusika hakufuatilia ni muda gani binti huyu alikaa ndani ya chumba hicho na wala hakumuona wakati anatoka. Ni kwa sababu hadi muda huo binti anakuja, mhusika alikuwa bado hajapata alert yoyote. Mhusika alikuja kupata alert pale tu SMK-2 alioanza kuongea vitu visivyokuwa na logic kuhusiana na maswal ya funguo za chumba (SMK-2) alimokuwa
………………..inaendelea
 
Back
Top Bottom