Mkasa wa kweli: Tulizichapa na member wa JF Tabata Shule

yani mtu kajiunga mwezi wa 4 mwaka huu eti anatuambia kuwa anajulikana na kwa mishe zake za kujiuuza[emoji23].

Dogo sikia kabishane na watoto wenzako Tuachie JF sisi wakongwe.

Huoni hapo verified Expert member.

We kweli ni douchbag
dogo ? dah aisee kweli uko gizani.

oya mwanangu umagombana hadi na pisi za kwenda aisee badala ya kutupia mistari kumtongoza huyu muhabesh unasutana nae🤣🤣🤣

aiseee kweli ishi uone mengi...
 
dogo ? dah aisee kweli uko gizani.

oya mwanangu umagombana hadi na pisi za kwenda aisee badala ya kutupia mistari kumtongoza huyu muhabesh unasutana nae[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

aiseee kweli ishi uone mengi...

hapa nilipo hakuna rangi ya Papa sijawahi kuona mpka nimekula wazambia botswana zimbabwe malawi nakdhalika kweny kuzunguka kwangu.


Huwa sinyenyekei Papa kiasi hiko.

Huyu manzi ni Mjinga sana
 
Oya naomba pambano ila tukapiganie baharini unachukua mashahidi zako wawili na mimi wawili hela ya boti natoa mimi tunaenda kuleee zinapopaki meli kubwa alafu tunapiga kachu kwanza uwanja utakua kwenye maji kama huwezi elea imekula kwako. Unasemaje mkuu ni kufurahisha nafsi na mazoezi kidogo.
 

mapigano gani.

Mimi nimechanganya
1.Nina basics za kick boxing hasa swing kicks
2.nina basics za boxing
3.Karate Dann 3

Nina uzito wa kilo 85 wewe je?

Pambano liendane na uzito sitaki kuua[emoji23]
 
Upuuzi
 
mapigano gani.

Mimi nimechanganya
1.Nina basics za kick boxing hasa swing kicks
2.nina basics za boxing
3.Karate Dann 3

Nina uzito wa kilo 85 wewe je?

Pambano liendane na uzito sitaki kuua[emoji23]
Huwezi niua mkuu mimi nina kilo 76 lakini umeelewa uwanja ni baharini kwenye maji mm nina uzoefu wa kuogelea kusukuma ngumi kwenye maji kumtumia adui kama boya la kuelea sasa jipange nisije nikakuua kwenye maji😂😂😂😂
 
Huwezi niua mkuu mimi nina kilo 76 lakini umeelewa uwanja ni baharini kwenye maji mm nina uzoefu wa kuogelea kusukuma ngumi kwenye maji kumtumia adui kama boya la kuelea sasa jipange nisije nikakuua kwenye maji[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Kwenye maji utaniweza, Panga kwingine mkuu siwez kuogolea kiasi hiko
 
Jamani msifike huko kikubwa kusameheana na kusonga mbele!
Huo ugomvi hakuna kusameheana mpaka ifanyike rematch.

Ugomvi wameuleta huku maana yake ushakuwa wetu sote. Hii lazima twende rematch tupate mshindi kihalali.

Ngoja waendelee kuzichapa kwenye komenti kabla ya kwenda uwanjani kiukweli kweli.

Mashabiki tujikusanye kuhipe hili pambano kabambe sana hapa jeiefu.

#UGOMVI #NIWETU #SOTE #PAMBANO #LIRUDIWE

Cc: Nshomile wa Muleba Medecin
 

mimi sina shida mkuu.

Nikweli nilimtamdika kisawasawa ila mktaka safari hii muwepo sawa sina shda
 
Na mimi ndicho ninachokitaka mkuu, nataka rematch ili nimuonyeshe kuwa aliniotea na nyundo ile siku. Andaa pambano siku yoyote akiwa free me napigana.
 
Wasioijua tabata shule watakuamin ...lakin hyo shule imepakana na kituo Cha polisi kiasi kwamba mda wote polisi wapo hapo uwanjani ni ngumu kutokea ugomvi eneo Hilo haswa kwa mda uliosema ..acha kudanganya watu
Ni kweli ila polisi hawanaga habari na hapo uwanjan, na pia jamaa walikua km wanafanya mazoez tuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…