Mkataba (MoU) kati ya Serikali na Kanisa Katoliki na Taasisi nyingine za Kidini

Acha unaa,chuki,uchonganishi na uchochezi ndugu mzalendo wa mrengo uliouchagua na kuzamiamoo🤔
 
Na Ukweli ingekuta hiz hospital za kcmc na bugando ni zenu aseee kwa ninavyowajua mgeweka MASHARTI makali sana! Kuanzia wagonjwa mpaka wanaowapeleka. Lakin wakatolik na walutheri maskin hawana noma kabsa wala ukuda ukuda
 
Na kwa mujibu wa JPM, hospitali za wilaya alikuwa anajenga kwa Tshs. 1.5 Bilioni. Kwa hiyo shilingi bilioni 30 ni karibu kujenga hospitali 20 hivi kwa mwaka, mwaka unaofuata unanunua vifaa tiba, na kuajiri wahudumu. Aisee, hii mikataba ya ajabu sana
Huwezi jenga hospitali ya wilaya kwa 1.5 billion acha kudanganyika mkuu. Magufuli huyohuyo alipokea ruzuku kutoka Air Tanzania na TTCL alafu kumbe zinapata hasara. Sio mtu wa kuamini kwenye data za fedha.
 
Ndugu zangu tutulie.
PPW ndio kampuni pekee tutakayo fanya kazi nayo kwa uaminifu.

Wazungu wametupiga sana sana sana sana.
Na hawana maajabu. Dubai ni kama ndugu zetu. Wanatupenda sana. Na wamesema.

Hayo makubaliano waliyapendekeza wao kwa kuhofia kupoteza mtaji wao.

Kama wataleta mitambo yao ya ghalama sana ya kushusha makontena kwa haraka.
Sasa tutawaondowaje kwa ghafla? Ghalama Atalipa nani?
 
Na wao waislam wangejenga Hosp hizo kubwa kisha wawambie serikali kama watakataa halafu unazani kanisa huwa linawaita? Bali serikali hujipeleka yenyewe kama kondoo, halafu ukifuatilia kwa makini Hosp hizi za zamani ambazo zipo karibu na makanisa ya Katoliki zilikuwa za kanisa baada ya Uhuru Mwl alizitaifisha, na wao hawakuweka mikono kichwani bali walisongambele na kujenga nyingine .
 
Huwezi jenga hospitali ya wilaya kwa 1.5 billion acha kudanganyika mkuu. Magufuli huyohuyo alipokea ruzuku kutoka Air Tanzania na TTCL alafu kumbe zinapata hasara. Sio mtu wa kuamini kwenye data za fedha.
Lakini mkuu, kwa Tshs. 1.5B unaweza jenga majengo 15 ya chini yanayogharimu shilingi milioni 100 kila moja. Majengo hayo si unapata na mochwari kabisa, ICU nk.. 1.5B inatosha kabisa mkuu kujenga hospitali ya wilaya
 
Zamani hizo hospitali zilikuwa zinatoa huduma hivyo ilikuwa ni sawa kabisa kusaidiwa na Serikali mambo yamebadilika kwani kwa sasa zinafanya Biashara kama hospitali za Binafsi; sasa kwa nini zichangiwe na Serikali?
Nenda Mount Meru hospital ukatibiwe hapo utakuwa na majibu ya swali lako.
 
Lakini mkuu, kwa Tshs. 1.5B unaweza jenga majengo 15 ya chini yanayogharimu shilingi milioni 100 kila moja. Majengo hayo si unapata na mochwari kabisa, ICU nk.. 1.5B inatosha kabisa mkuu kujenga hospitali ya wilaya
Hospitali sio matofali. Yani kama ungejua hospitali za binafsi zinavyokula gharama kubwa sana kwenye vifaa na miundombinu yake, sasa za serikali ndio zinaongezeka gharama zaidi.

Ukitaka majengo tu labda iwe godowns. Labda ulitaja majengo ya hospitali ila sio hospitali yenyewe
 
Uzi unalazimisha mchangiaji atetee dini yake kiaina.Kutoka kwenye vipengele-chukizo vya mkataba wa DP World hadi kuoneshana umahiri wa kuvaa misalaba mikubwa vifuani kwa kanzu zenye mishono aina kwa aina.Tutachoka sana!
 
hiyo signature ya chini ni kama ya E Lowassa vile!
 
Mt meru is one of the best hospital in Arusha town kwa sasa; Mambo yamebadilika
Unaweza hata kulinganisha ward ya private ya mt meru na ya huko unakosema?
Usikariri....

Mount Meru Hospital 4
According to hospital staff, the largest barriers to provide health care services in Tanzania are lack of capacity to handle all, but especially acute patients, lack of funding and lack of accessibility to medicines, supplies and health care technologies. These issues are more or less apparent in all across governmental Tanzanian hospitals from the district level up to referral/consultant levels. Handling acute cases is a particularly large problem at district hospitals, which is why regional hospitals like Mount Meru experience a very high occupancy rate and a high number of patients, that do not reach the hospital in time for an ideal outcome of their treatment
 
Ndio maana nikasema Bilioni 30 ya mwaka wa 1 ijenge hospitali, bilioni 30 ya mwaka wa pili inunue vifaa tiba.. na mwaka wa 3 iajiri wafanyakazi.. hiyo miaka 3 wananchi watatibiwa kwenye hospitali za umma ambapo hakuna mkataba.

Ninaamini kabisa tukiweka complications pembeni, tunajenga hospitali kila wilaya
 
Povu loote Hilo Ni kwasababu hakuna signature ya mwakilishi wa BAKWATA au BALUKTA.
Sasa Kaka yangu Shee ponda, BAKWATA Wana siptali?
Jengeni siptali na nyie mpige hela.
FaizaFoxy
 
Aisee unaakili mavi matupu. Hiv hawa waislamu wa nchi hii wanajua nyuma ya DP world yupo mmarekan kweli.
 
Serikali ijenge Hospitali zake, iachane na ubia na huduma za kanisa.

Maana kelele ni dini. Siyo ubia.

Wakiingia ubia na sekta binafsi sawa, ila sekta binafsi ikiwa Kanisa tu mi tatizo.
Serikali Itaweza?Kuna Maeneo Serikali Haipo Kwa Huduma Zozote Za Afya Lakini Kanisa Utalikuta. Hata Shule Ikiachiwa Serikali Pekee Haiwezi Kutoa Huduma
 
Huu udini udini unatutafuna taratibu.
Dinu zote hizi ni Kafir kwetu Watanzania na Waafrica kwa ujumla yani huwa nakereka sana kuona watu au kusikia watu wakitumia hoja za kidini dini.
Nasemaje, kama unadhani wewe ni Mwarabu, hamia kwa waarabu Uarabuni, na kama Unadhani wewe ni Mzungu hamia Uzunguni huko Ulaya zaidi ya hapo shut t#3 faau¢k hap.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…