Wildchild
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 19,411
- 21,938
Acha unaa,chuki,uchonganishi na uchochezi ndugu mzalendo wa mrengo uliouchagua na kuzamiamoo🤔Kuna mkataba ambao mimi binafsi sijawahi kuuona isipokuwa nasikia hauna ukomo na badala ya kuingiza chochote katika mfuko wa taifa huwa unakula tu na kudhoofisha wananchi kiuchumi na hata kiimani.
Mkataba huo ni ule kati ya kanisa katoliki na serikali ya Tanzania ambapo kwa mujibu wa mmoja wa masheikh anasema kama hivi: