Mkataba (MoU) kati ya Serikali na Kanisa Katoliki na Taasisi nyingine za Kidini

Moja ya mafunzo ya uislamu ni kuamini kuwa mkamilifu ni Allah peke yake.Hivyo hatuwezi kuamini hivyo.Jambo jengine ni kuwa waislamu hawatakiwi kudhulumu wala kukubali kudhulumiwa.
Achana na mambo ya Allah . U knw what? Mm na ww tunaomba misaada uko nje. Mm namwomba mzungu aniwezeshe nijenge SHULE na HOSPITALS ila wew kwasababu ni dhaifu kama ulivyoambiwa unaomba ujengewe Madrasa na misikiti 😂😂😂.
 
Na Ukweli ingekuta hiz hospital za kcmc na bugando ni zenu aseee kwa ninavyowajua mgeweka MASHARTI makali sana! Kuanzia wagonjwa mpaka wanaowapeleka. Lakin wakatolik na walutheri maskin hawana noma kabsa wala ukuda ukuda
Hawana noma,wakati wanalipia,sio matibabu ya bure.Sema waislamu hawana noma,hawakuzihomea hizi hospital,juu ya kuwa zina majina ya kikristo na kuzungukwa na misalaba.
 
Huu ndio ukweli
 
Hospital za waislamu zipo nyingi tu.Na zina madaktari Bingwa.Istiqama wanazo hospital,Agha Khani wanazo hospital.
 
Sawa mm nimesoma Aviation, sijaona takataka yeyote ya wavaa kobaz popote kwenye materials zangu. Aya niletee mvaa kobaz ambae ana mchango wowt uku
 
Na kwa nini ziwe hospital za kikatoliki,wakristo wengine hawana hospital?
Hili suala msilichukulie kijuujuu. Pateni facts zote. KCMC ina mkataba na ni ya Lutheran, Ikonda Hospital na Mbozi Missio zina mkataba lakini ni za Moravian.

Muheza DDH ina mkataba ila ya Anglican.

Wakati Serikali inaingia mikataba hii Waislamu hawakuwa na Hospitali zinazotibu wananchi. Je wangeingia mikataba na misikiti yao?
 
Zamani hizo hospitali zilikuwa zinatoa huduma hivyo ilikuwa ni sawa kabisa kusaidiwa na Serikali ila kwa sasa mambo yamebadilika kwani zinafanya Biashara sawa na hospitali za Binafsi; sasa kwa nini zichangiwe na Serikali?
Huu ndio ukweli,hutibiwi bure.
 
Hutibiwi bure,unalipia.
 
Huu ndio ukweli.
 
Povu loote Hilo Ni kwasababu hakuna signature ya mwakilishi wa BAKWATA au BALUKTA.
Sasa Kaka yangu Shee ponda, BAKWATA Wana siptali?
Jengeni siptali na nyie mpige hela.
FaizaFoxy
Hospital za Agha Khan na Istiqama ni za waislamu,wataka wajenge nini tena.
 
Hata kama zinatibu watanzania wasichukue pesa kutoka serikalini.Wachangishane wenyewe.

Alafu wakisha changishana wenyewe? Waanze kuwatibu wakristo wawaache waislam? Acheni udini mkuu.... kwanini mnaisi raisi anayo fanya anapingwa kwasababu ni muislam?

Hivi bandari niya wakristo au yawa tanzania? Tukubali mikataba mibovu kwasababu raisi ninmuislam? Raisi anahudumia watz wote,

Achane hizi mambo za waislam na wakristo tunajipoteza wenyewe
 
Kwaio hapa tunajadili mkataba au sahihi?nlidhani ungewekwa mkataba tuujadili...tutajuaje km hizo sahihi ni za mkataba husika?
 
Na wewe kama huna dini hamia Australia,kwa wasio na dini.
 
Inakuwaje serikali kuna sehemu isiwepo lakini kanisa lipo.Kwani hii ni nchi ya kanisa.Au kuna njama gani serikali iachie maeneo kwa kanisa kwa kutumia pesa za waislamu pia.
Huu ni kweli,kodi za waislamu ziweje ziingizwe kwa wasio waislamu.
 
Ww ni mpumbavu kwahiyo mtu akisema waisilam basi akili yako inakutuma kwa waarabu moja kwa moja kana kwamba waarabu ndo jamii yenye waisilam pekee?

Ngoja nikuelimishe waarabu ni sehemu ndogo sana ndani ya waisilam yaani waarabu wanawakilisha asilimia 20 tu ya waisilam duniani kwa hiyo mtu akisema waisilam basi jua kagusa kila asili ya watu hapa duniani.
Alafu kingine waarabu unawadharau bure kwasababu hata hiyo lugha uliyo itumia hapa kuwaponda asilimia 60 ya maneno yake yamebuniwa na hao hao waarabu.

Hizo namba ulizo tumia kusoma hesabu kuanzia chekechea mpaka ulipo ishia kusoma na yaani 0 mpaka 9 ni ubunifu wa waarabu kwahiyo usiwachukulie poa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…